Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
- Thread starter
- #21
Kingine Lissu ali downplay umuhimu wa vita vya Uganda. Anaona ilikuwa ni mchakato wa Nyerere kumrudisha madarakani Milton Obote.Vigazeti uchwara vimeanza kuibuka kuelekea uchafuzi mkuu mwaka huu. Wahariri lugha ya Kingereza haipaandi ndiyo maana hawakuelewa na alichosema Lissu na wameamua kupotosha, CCM ina upuunguani sana.
This is crazy!! Leo Afrika Mashariki na Kusini haijatulia kwa sababu ya instability ya DRC inayosababishwa na PK wa Rwanda.
Kuyatoa majeshi ya M23 ambayo ni vibaraka wa Rwanda hakuna tofauti na JK Nyerere alivyomfagia Iddi Amin ambaye alitaka kujimegea ardhi ya Tanzania.
Huyu Lissu anataka ku UNDO historia ya Tanzania wakati familia yake inaishi Belgium, hastahili heshima yeyote