Ziara ya Lissu Uganda: Alimsifia Nyerere kwa 20% lakini alimdhalilisha pia kwa 80%

Ziara ya Lissu Uganda: Alimsifia Nyerere kwa 20% lakini alimdhalilisha pia kwa 80%

Mleta uzi unatumia vichwa vya magazetini kuhukumu. Ni vema badala yake ukazipangua hoja za Lisu, moja baada ya nyingine.
Lissu hana hoja. Huwezi kwenda nchi ya kigeni na kuanza kumsema vibaya Baba wa Taifa nasi tukakaa kimya
 
Nasikia Mama ameajiri "vichwaboga" kumpambania mitandaoni km huyu mleta uzi..
Na wewe umeajiriwa na nani? Lissu ndiyo anakulipa?

Cheki vizuri profile yangu, niko hapa kabla hujamaliza masomo ya Sekondari
 
Mimi sitetei hayo "mapambano" kama kweli yapo, na hili nilisha liandika humu siku nyingi sana za nyuma.
Lakini ni muhimu pia ufahamu hawa wanao kazania na kukumbushia hili nia yao ni nini hasa.

Lissu hawezi kamwe kupata umashuhuri wowote kwa kupambana na kivuli cha Mwalimu Nyerere, naye hili nina hakika analitambua vyema.
Naunga mkono hoja.
 
Makosa gani hayo aliyofanya, yataje!! Kama wewe ni mbumbumbu hata upelekwe Havard utapata SIFURI tu kama Bashite
Simba keshataja nirudie nini sasa nijibu hizo toilet papers ulizopost? Hujui unachootype hapa
 
Nyerere ni lazima awe criticized. Hakuwa mtakatifu Kwanza kwenye awamu ya pili ya uongozi wa Mzee mwinyi tungekuwa tumeisha irudisha Tanganyika yetu kama asingekuwa yeye kuingilia kati. Hovyo kabisa.
Irudiishe sasa hiyo Tanganyika maana ni 26 toka Nyerere afariki
 
Ila ni sawa kusifiwa kwa aliyofanya akiwa madarakani.
Usiendekeze ujinga kisa Lissu ni boss wako CHADEMA, saa zingine tumia akili yako.

Yaani usafiri kwenda Uganda kumponda Nyerere??? Stupid
 
Usiendekeze ujinga kisa Lissu ni boss wako CHADEMA, saa zingine tumia akili yako.

Yaani usafiri kwenda Uganda kumponda Nyerere??? Stupid
Ninachojua Lisu husema ukweli kuhusu Nyerere regardless yuko nchi gani. Mnaotaka sifa za Nyerere ziwe ni zile mzipendazo tu, hilo sio kosa la Lisu bali lakwenu. Weka uongo aliousema Lisu huko Uganda ili tuupime.
 
Kingine Lissu ali downplay umuhimu wa vita vya Uganda. Anaona ilikuwa ni mchakato wa Nyerere kumrudisha madarakani Milton Obote.

This is crazy!! Leo Afrika Mashariki na Kusini haijatulia kwa sababu ya instability ya DRC inayosababishwa na PK wa Rwanda.

Kuyatoa majeshi ya M23 ambayo ni vibaraka wa Rwanda hakuna tofauti na JK Nyerere alivyomfagia Iddi Amin ambaye alitaka kujimegea ardhi ya Tanzania.

Huyu Lissu anataka ku UNDO historia ya Tanzania wakati familia yake inaishi Belgium, hastahili heshima yeyote

..Lissu hakujipeleka Uganda, alialikwa na chuo kikuu cha Makerere idara ya Sheria.

..pia hakuitwa kujadili vita vya Kagera, bali alialikwa kutoa mada kuhusu legacy ya Mwalimu Nyerere ktk masuala ya Kikatiba ktk ukanda wa Afrika Mashariki.
 
Ninachojua Lisu husema ukweli kuhusu Nyerere regardless yuko nchi gani. Mnaotaka sifa za Nyerere ziwe ni zile mzipendazo tu, hilo sio kosa la Lisu bali lakwenu. Weka uongo aliousema Lisu huko Uganda ili tuupime.
Kuhusu vita dhidi ya Uganda. Lissu anasema ni Nyerere alitaka kumrudisha rafiki yake Obote.
 
..Lissu hakujipeleka Uganda, alialikwa na chuo kikuu cha Makerere idara ya Sheria.

..pia hakuitwa kujadili vita vya Kagera, bali alialikwa kutoa mada kuhusu legacy ya Mwalimu Nyerere ktk masuala ya Kikatiba ktk ukanda wa Afrika Mashariki.
Waliomualika wanafadhiliwa na NGOs zinazomfadhili Lissu huko Belgium
 
Ninachojua Lisu husema ukweli kuhusu Nyerere regardless yuko nchi gani. Mnaotaka sifa za Nyerere ziwe ni zile mzipendazo tu, hilo sio kosa la Lisu bali lakwenu. Weka uongo aliousema Lisu huko Uganda ili tuupime.
Lissu anasema uwongo sana, kama hujui basi siyo kosa lako maana nyinyi ndiyo watoto wa 2000. Nyerere alikufa 1999
 
Ni uongo?
Ni uwongo wa kipumbavu. Hivi kama Iddi Amin laiti angefanikiwa kukata sehemu ya ardhi ya Tanzania na kuiunganisha na Uganda, tungemuongelea vipi Nyerere kwa leo?

Say mkoa wa Kagera wanakoishi Wahaya na Wanyambo na Wahangaza ungekuwa sehemu ya Uganda.

Acheni bwana kumshabikia MROPOKAJI Tundu Lissu
 
Back
Top Bottom