Ziara ya Rais Ruto: Yule Mkalimani achukuliwe hatua za kinidhamu!

Ziara ya Rais Ruto: Yule Mkalimani achukuliwe hatua za kinidhamu!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594

Mkalimani anatakiwa kuongea verbatim, neno kwa neno kile anachoongea yule anayemsikiliza.
Na huo ndio ukalimani proffessional!

Mkalimani HATAKIWI kuongeza au punguza maneno ya mtoa hotuba.

Tulichoshuhudia mkalimani kuongea vitu ambavyo ni mawazo yake, kunaiweka nchi katika matatizo si ya kidiplomasia tu, bali hata wakalimani toka Tanzania kutoaminika.

Hivyo basi tunataka kusikia hatua zilizichukuliwa kwa huyo mkalimani na kiongozi wa idara yake kwa kuiaibisha nchi, hadi Rais Ruto kumkataa hadharani.
 
View attachment 2385572
Mkalimani anatakiwa kuongea verbatim, neno kwa neno kile anachoongea yule anayemsikiliza.
Na huo ndio ukalimani proffessional!

Mkalimani HATAKIWI kuongeza au punguza maneno na ya mtoa hotuba.

Tulichoshuhudia mkalimani kuongea vitu ambavyo ni mawazo yake kunaiweka nchi katika matatizo si ya kidiplomasia tu, bali hata wakalimani toka Tanzania kutoaminika.

Hivyo basi tunataka kusikia hatua zilizichukuliwa kwa huyo mkalimani na kiongozi wa idara yake kwa kuiaibisha nchi, hadi Rais Ruto kumkataa hadharani.
Achukuliwe hatua, anamuaibisha Mama Samia mbele ya kadamnasi na mbele ya Rais mgeni.
 
Hata kwenye msiba wa Magu mkalimani alikuwa akienda tofauti kabisa sijui kwa nini serikali inawachukua wakalimani vilaza kutuabisha kwa makosa ambayo hata aliyemaliza kidato cha Nne St Kayumba hawezi kuyafanya.
 
View attachment 2385572
Mkalimani anatakiwa kuongea verbatim, neno kwa neno kile anachoongea yule anayemsikiliza.
Na huo ndio ukalimani proffessional!

Mkalimani HATAKIWI kuongeza au punguza maneno na ya mtoa hotuba.

Tulichoshuhudia mkalimani kuongea vitu ambavyo ni mawazo yake kunaiweka nchi katika matatizo si ya kidiplomasia tu, bali hata wakalimani toka Tanzania kutoaminika.

Hivyo basi tunataka kusikia hatua zilizichukuliwa kwa huyo mkalimani na kiongozi wa idara yake kwa kuiaibisha nchi, hadi Rais Ruto kumkataa hadharani.

Kwanza utambue kuwa Yule wa msiba wa magufuli sio huyu wa juzi

Na huyo wa msiba wa magu anasema mawasiliano yalikatika so hakusikia rais alisema nn na Kwa heshima uwez kumwambia rais rudia

Ruto alikataaa because alitaka kuchanganya English na swahili ndio maana alimwambia atarudia
 
Achukuliwe hatua, anamuaibisha Mama Samia mbele ya



kadamnasi na mbele ya Rais mgeni.dug

Hata kwenye msiba wa Magu mkalimani alikuwa akienda tofauti kabisa sijui kwa nini serikali inawachukua wakalimani vilaza kutuabisha kwa makosa ambayo hata aliyemaliza kidato cha Nne St Kayumba hawezi kuyafanya.

Nyie vijana ndio maana mnafeli Sana shida yenu ni ujuaji mwingi bila hata kufanya simple research

Mkaliman wa Ruto hakuna kosa alifanya Ila Ruto hakutaka mkaliman ndio maana aliuliza hakuna mtu anajua kizungu hapa?

Wakamwambia mkaliman ni Kwa ajili ya wanainchi ambao wanaangalia kwenye TV

Yeye Ruto akasema basi ataongea English and swahili

Sasa hapo shida ya mkaliman ni nini?
 
Hata kwenye msiba wa Magu mkalimani alikuwa akienda tofauti kabisa sijui kwa nini serikali inawachukua wakalimani vilaza kutuabisha kwa makosa ambayo hata aliyemaliza kidato cha Nne St Kayumba hawezi kuyafanya.
Watasema alifanya vile kwa maslahi mapana ya Taifa, uzalendo.
 
Ni kweli kabisa huwezi kuamini wale ni wakalimani kutoka ikulu ni aibu ajabu. Hapa ndio utajua madhara ya kubebana, yule alibebwa na dizain yake ndio wamejaa ikulu. Mtu wa kabwela atapenyaje ikulu?

Sijui km kuna kiongozi atakuja kuiponya nchi hii ktk mambo km haya. Ukiangalia mfumo wa ajira nchi hii tena sehemu nyeti utakata tamaa. Wanatuaibisha mpaka basi
 
Hata kwenye msiba wa Magu mkalimani alikuwa akienda tofauti kabisa sijui kwa nini serikali inawachukua wakalimani vilaza kutuabisha kwa makosa ambayo hata aliyemaliza kidato cha Nne St Kayumba hawezi kuyafanya.

Hao unaodhani wanarungu la kuweza kumchukulia hatua, hawana uwezo wa kuwa wakalimali pia!
 
View attachment 2385572
Mkalimani anatakiwa kuongea verbatim, neno kwa neno kile anachoongea yule anayemsikiliza.
Na huo ndio ukalimani proffessional!

Mkalimani HATAKIWI kuongeza au punguza maneno na ya mtoa hotuba.

Tulichoshuhudia mkalimani kuongea vitu ambavyo ni mawazo yake kunaiweka nchi katika matatizo si ya kidiplomasia tu, bali hata wakalimani toka Tanzania kutoaminika.

Hivyo basi tunataka kusikia hatua zilizichukuliwa kwa huyo mkalimani na kiongozi wa idara yake kwa kuiaibisha nchi, hadi Rais Ruto kumkataa hadharani.

Hizo hatua unataka achukue nani?
Hao wenye mamlaka unaodhani wanaweza kumchukulia hatua, wangelikuwa ndio wakalimali ungelia....!!
 
Hizo hatua unataka achukue nani?
Hao wenye mamlaka unaodhani wanaweza kumchukulia hatua, wangelikuwa ndio wakalimali ungelia....!!
Idara ya Protokali, Wizara ya Mambo ya Nje hapa wanahusika moja kwa moja.
 
View attachment 2385572
Mkalimani anatakiwa kuongea verbatim, neno kwa neno kile anachoongea yule anayemsikiliza.
Na huo ndio ukalimani proffessional!

Mkalimani HATAKIWI kuongeza au punguza maneno na ya mtoa hotuba.

Tulichoshuhudia mkalimani kuongea vitu ambavyo ni mawazo yake kunaiweka nchi katika matatizo si ya kidiplomasia tu, bali hata wakalimani toka Tanzania kutoaminika.

Hivyo basi tunataka kusikia hatua zilizichukuliwa kwa huyo mkalimani na kiongozi wa idara yake kwa kuiaibisha nchi, hadi Rais Ruto kumkataa hadharani.
Aibu
 
Amekosea angalia sana angalia clip sehemu ya kwanza ile Ruto anahutubia uwanjani anapomzungumzia President Magufuli halafu linganisha na alichosema mkalimani kisha jiulize ni Sawa ?

Kwenye msiba wa Magufuli Ruto alikuja? Ruto aliongea?

So Ruto na Uhuru wote waliongea?

Nyie vijana vipi?
 
Back
Top Bottom