Ziara ya Rais Ruto: Yule Mkalimani achukuliwe hatua za kinidhamu!

Ziara ya Rais Ruto: Yule Mkalimani achukuliwe hatua za kinidhamu!

Kama wanataka huo umaalum, waambie wawe wanatafsiri hotuba atakayosoma mgeni na kuwapa wasikilizaji wasome wakati akianza kuhutubia, vinginevyo huwezi kumlaumu mkalimani anapotafsiri on the spot..kwanza siyo lugha yake, pili maneno yana tafsiri nyingi kwa lugha nyingine..muhimu ni maana ya ujumbe na si tafsiri ya neno kwa neno anayosema mtoa hotuba. Ruto alitoa sababu ya kumzuia mkalimani si hii unayoleta wewe..lakini kutafsiri kunachukua muda zaidi tofauti na kama mzungumzaji angeongea peke yake..pengine Ruto alitaka kutunza muda, hayo ndio unapaswa uelewe na si kumlaumu mkalimani.

..hapo unaleta visingizio tu.

..wakalimani wetu hawana viwango.

..hicho alichofanya mkalimani ni sawa na mhandisi ajenge daraja chini ya kiwango halafu likaporomoka.

..tunatakiwa tuwahimize wajiongeze ili tusiendelee kuingia aibu.
 
..hapo unaleta visingizio tu.

..wakalimani wetu hawana viwango.

..hicho alichofanya mkalimani ni sawa na mhandisi ajenge daraja chini ya kiwango halafu likaporomoka.

..tunatakiwa tuwahimize wajiongeze ili tusiendelee kuingia aibu.
Mbona mkalimani alitafsiri sawa sawa tu...! Mlitaka atafsiri vipi?
 
Ni hatari sana pale hadi "anayekalimaniwa" anaposhtukia kuwa mkalimani aliyepewa na wenyeji wake tena "ikulu" ni wa "mchongo".

Hili ni tusi la wazi wazi kwa nchi mwenyeji, kuwa haina wakalimani profesional.
 
Kama hujasikiliza rudia kusikiliza hata yale maneno ya kwanza tu ilikuwa ni aibu. Ruto alichosema na alichokisema mkalimani ni vitu viwili tofauti. Ruto aligundua akaamua kutufichia ile aibu. Ukizingatia Ruto na wakenya wanajua kiswahili ingelikuwa ni aibu wa mwaka. Tumshukuru Ruto kutusetiri.
Na huo ndio ukweli. Ruto alishtukia kuwa mkalimani alisema kitu tofauti na alichoongea. Na hii advantage alikuwa nayo kwa kuwa naye kiswahili cha hapa na pale anakipata.
 
Hivi mtu mzima na akili zake timamu anaweza poteza muda na nishati ya akili yake kuandikia jambo dogo km hili lisilokuwa na impact yoyote mahali popote, hii ni sawa na kuwasha tochi mchana, kichaa ndio anaweza kufanya hivi..hakuna mjuzi wa lugha isiyo yake.
Lugha inaweza isiwe yako na bado ukajifunza ukaijua. Mpaka unapewa kazi ya ukalimani ni wazi unaijua lugha husika.
 
dhalimu ni dhalimu tu... ukweli ni kwamba magufuli alikuwa hajui ngeli
waliokereka sana na kututoka kwake wakamfufue wazikwe wao
"Umekuwa kasuku wa Zitto". Mwenzako analia kupoteza uenyekiti wa maisha wa kamati ya Bunge ya PAC. Ambako walipiga hela ya mashirika yenye miradi uchwara mfano NSSF ya Dau (PhD)
 
View attachment 2385572
Mkalimani anatakiwa kuongea verbatim, neno kwa neno kile anachoongea yule anayemsikiliza.
Na huo ndio ukalimani proffessional!

Mkalimani HATAKIWI kuongeza au punguza maneno ya mtoa hotuba.

Tulichoshuhudia mkalimani kuongea vitu ambavyo ni mawazo yake, kunaiweka nchi katika matatizo si ya kidiplomasia tu, bali hata wakalimani toka Tanzania kutoaminika.

Hivyo basi tunataka kusikia hatua zilizichukuliwa kwa huyo mkalimani na kiongozi wa idara yake kwa kuiaibisha nchi, hadi Rais Ruto kumkataa hadharani.
Unazungumzia mkalimani yupi? Huyo mkalimani kaambiwa,"Shut up!".
 
Kama hujasikiliza rudia kusikiliza hata yale maneno ya kwanza tu ilikuwa ni aibu. Ruto alichosema na alichokisema mkalimani ni vitu viwili tofauti. Ruto aligundua akaamua kutufichia ile aibu. Ukizingatia Ruto na wakenya wanajua kiswahili ingelikuwa ni aibu wa mwaka. Tumshukuru Ruto kutusetiri.
Tayari ni aibu tu ......
 
View attachment 2385572
Mkalimani anatakiwa kuongea verbatim, neno kwa neno kile anachoongea yule anayemsikiliza.
Na huo ndio ukalimani proffessional!

Mkalimani HATAKIWI kuongeza au punguza maneno ya mtoa hotuba.

Tulichoshuhudia mkalimani kuongea vitu ambavyo ni mawazo yake, kunaiweka nchi katika matatizo si ya kidiplomasia tu, bali hata wakalimani toka Tanzania kutoaminika.

Hivyo basi tunataka kusikia hatua zilizichukuliwa kwa huyo mkalimani na kiongozi wa idara yake kwa kuiaibisha nchi, hadi Rais Ruto kumkataa hadharani.
Kwani yule aliyetabiri Kwa makusudi tofauti kabisa na alichosema Rais wa South Africa kwenye msiba wa uncle Dodoma alichukuliwa hatua Gani????
 
Kwani yule aliyetabiri Kwa makusudi tofauti kabisa na alichosema Rais wa South Africa kwenye msiba wa uncle Dodoma alichukuliwa hatua Gani????
Hao watabiri maneno au wakalimani?
Wasulubiwe!
 
Hii nchi imejaa ujanja ujanja mpaka Ikulu. Fikiria nchi inatoa rais kilaza, wasaidizi wake watakuwaje
 
Natafuta mkaliwoman kuna kigori mmoja wa kijapan hajui kirengesa wala kiiswahili na nataka nifyetue nae.
 
Kwenye hili Ruto ni Mshenzi sana hapa watanzania mnapaswa kujua historia, Wakenya feels with ego akija Tanzania aongee English, huyu mjinga Ruto used Kiswahili fully in his campaign for his ascendance to the presidency, In fact ni dharau kubwa Kwa host country na Rais wake, look kinly at his confidence alifanya upumbavu sana huyo Ruto, he should have used his Kenyan Swahili dialect simple as that.

Ruto alitukosea heshima mjinga yule.
Humu Kuna chawa wengi, wavumilie, hawaoni ujinga na dharau ya Ruto, kampeni zake kafanya kiswahili hata kama ni kibovu with Kenyan accent inatosha na tutaelewa, lakini kaka hapa ana act kuongea kiingereza eti kasahau kiswahili, huo ni upumbavu sana , Rais ana toka ndani ya EAC ambayo kiswahili ni lugha ya mawasiliano lakini anaogopa kuongea kiswahili, huo ni ulimbukeni na ushamba.
 
Kwanza utambue kuwa Yule wa msiba wa magufuli sio huyu wa juzi

Na huyo wa msiba wa magu anasema mawasiliano yalikatika so hakusikia rais alisema nn na Kwa heshima uwez kumwambia rais rudia

Ruto alikataaa because alitaka kuchanganya English na swahili ndio maana alimwambia atarudia
Mawasiliano gani? Kwani huyo mkalimani alikuwa anatumia radio?
 
Back
Top Bottom