Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado anafikiri akiongea Kiingereza ndio ataheshimika.Kwann Ruto hakuongea kiswahili? Tuanzie hapo.
dhalimu ni dhalimu tu... ukweli ni kwamba magufuli alikuwa hajui ngeliKwanini Samia hakutaka kusikiliza kingereza?
Kwani nae hajui kama yule dhalimu wenu?
Kwenye hili Ruto ni Mshenzi sana hapa watanzania mnapaswa kujua historia, Wakenya feels with ego akija Tanzania aongee English, huyu mjinga Ruto used Kiswahili fully in his campaign for his ascendance to the presidency, In fact ni dharau kubwa Kwa host country na Rais wake, look kinly at his confidence alifanya upumbavu sana huyo Ruto, he should have used his Kenyan Swahili dialect simple as that.
Ruto alitukosea heshima mjinga yule.
Watasema alifanya vile kwa maslahi mapana ya Taifa, uzalendo.
Kama ulivyoagiza anzia dakika ya 9:27Duh, yan mkaliman hajui hata salamu acheni mambo yenu bwana, weka clip tusikie
Tutajuaje, samaki mmoja akioza............!Sio Yule ni watu 2 tofaut kabisa, huyu wa Ruto ni Yule alikuwa anakaliman wakati wa mambo ya makanikia Yule wa msiba ni mwingine kabisa ana kipara
Mkuu kama umetoka Igunga juzi, waachie wenyewe katika protokali.Hivi mtu mzima na akili zake timamu anaweza poteza muda na nishati ya akili yake kuandikia jambo dogo km hili lisilokuwa na impact yoyote mahali popote, hii ni sawa na kuwasha tochi mchana, kichaa ndio anaweza kufanya hivi..hakuna mjuzi wa lugha isiyo yake.
Alikataaa hotuba yake kuwa translate mbona sio ishu mnakuuuuuzaTutajuaje, samaki mmoja akioza............!
Embarrassment ya kukataliwa na Rais Ruto iwaingie hadi utosini.
Kama wanataka huo umaalum, waambie wawe wanatafsiri hotuba atakayosoma mgeni na kuwapa wasikilizaji wasome wakati akianza kuhutubia, vinginevyo huwezi kumlaumu mkalimani anapotafsiri on the spot..kwanza siyo lugha yake, pili maneno yana tafsiri nyingi kwa lugha nyingine..muhimu ni maana ya ujumbe na si tafsiri ya neno kwa neno anayosema mtoa hotuba. Ruto alitoa sababu ya kumzuia mkalimani si hii unayoleta wewe..lakini kutafsiri kunachukua muda zaidi tofauti na kama mzungumzaji angeongea peke yake..pengine Ruto alitaka kutunza muda, hayo ndio unapaswa uelewe na si kumlaumu mkalimani.Mkuu kama umetoka Igunga juzi, waachie wenyewe katika protokali.
Kwa taarifa yako, kuna idara mahsusi serikalini wenye kazi ya kutafsiri lugha kwa ajili ya viongozi kutoka lugha moja hadi nyingine.
Na wanalipwa kwa kodi/tozo yako.
Umesahau uliandikaKitu gani amekosea?
Duh, yan mkaliman hajui hata salamu acheni mambo yenu bwana, weka clip tusikie
Umesahau uliandika
Nami kama wako mtiifu nikaiweka. Hivyo nilitimiza maagizo yako. Masuala ya kukosea sipo
Nimeweka hotuba zote! Kazi kwenu, mie masuala ya mkalimani sihusikiNilitaka clip unioneshe sehem ambayo mkalimani amekosea kutafsiri