Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafulila atafulia tu nayeye.Kafulila ana anafuatilia bandiko hili kwa ukaribu zaidi
Worse leader ever. Mzanzibari kaenda kuiwakilisha tanganyika kwenye boomSerikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Ni utapeli tupuTuwe tunaambiwa ni miradi ipi na gharama za kila mradi vinginevyo tutabiwa zimetumika kwenye mradi fulani wakati uligharamiwa na pesa za ndani.
Za kununulia V8 na kulipana poshoDuh mikopo ni mingi sana! Na hali ni ileole tu mbona, ikiwapendeza na sisi wananchi tupate mgao hata miliooo moja moja
Aibu tupuMama ni mama. Ameshindwa kutengeneza njia za kuingiza mapato katika nchi yake pamoja na ongezeko la kodi kila kona. Hatimai nchi yote imeingizwa kwenye VICOBA.
Hii nchi itakujapigwa mnada soon (chanzo -NDUGAI)Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Pumzika kwako ndugu JOB NDUGAI au karibu huku ACTSerikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Nimeamini wamama wanapenda mikopo
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Wangeomba kujengewa Highway toka Kibha hadi Dodoma na Chalinze -Kilimanjaro njia 6 kama alivyofanyiwa RUTOMikopo tumechoka sasa tunataka ndoo au pipa. Utani!
Huo mkopo ukichukuliwa msisahau kuboresha pale mlima Kitonga naona kuna mkandarasi hajiwezi.
Walau pia nimeona kuna mradi wa kutanua barabara njia ya Kimara/