Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

Bila kuwafurusha hawa masisiem, Mpaka 2030, kila mtanzania atakuwa akidaiwa deni la milioni 200 kila kichwa kimoko
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Worse leader ever. Mzanzibari kaenda kuiwakilisha tanganyika kwenye boom
 
Halafu wazee wakutengeneza control number wana zoom tu
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Hii nchi itakujapigwa mnada soon (chanzo -NDUGAI)
 
Safi kabisa mama,watumishi wa umma tuko pamoja na wewe,nasasa nasema sio mikumi tena,wewe endelea tu hadi utakapochoka,kiufupi watumishi unawakonga nyoyo zao😍😍
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Pumzika kwako ndugu JOB NDUGAI au karibu huku ACT
 
Kwani Mapato yatokanayo na bandari baada ya DP World kuingia yameishia wapi????
 
MKOPO UONGEZWE .alafu kila kijiji kipewe trekta MOJAA..(hatakama hawalimi)

Au#kausha DAMU [emoji23][emoji23]
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470


Cha ajabu hao waarabu wanapewa vitu kama ngorongoro, bandari na nasikia wanataka wawape KIA hawatoi mkopo wala nini wanawapa apartment’s huko kwao watu wanauza nchi. Badala ya mikopo tungepewa viwanda
 
Mtia Saini mkopo kutoka singida na mkopaji kutoka unguja. Ukija ukauza mkoa wa singida na unguja huwezi kupata Tsh 6 Trillions.
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
 
Mikopo tumechoka sasa tunataka ndoo au pipa. Utani!
Huo mkopo ukichukuliwa msisahau kuboresha pale mlima Kitonga naona kuna mkandarasi hajiwezi.
Walau pia nimeona kuna mradi wa kutanua barabara njia ya Kimara/
Wangeomba kujengewa Highway toka Kibha hadi Dodoma na Chalinze -Kilimanjaro njia 6 kama alivyofanyiwa RUTO
Nairobi- Mombasa.
 
Back
Top Bottom