Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

Kaiga ya JMK....
Kutwa kutembea na bakuli nchi za nje!
Hapo yeye na msururu wake wamepiga bilions za shilingi!
Hovyo kabisa...
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Hamuoni aibu kuikopa Korea ilhali ni agemate wa Tanganyika? Yenyewe iliwezaje kuwa tajiri wakati ilikuwa na hali mbaya kuizidi Tanganyika?
 
Nchi ya mikopo Tangia uhuru mpaka leo tunakopa tu aisee.
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Cha msingi ifanye kazi iliyo kusudiwa na Kwa usimamizi makini. Chondechonde asije akaigawa Kwa walamba asali na wale mbuzi walao Kwa urefu wa kamba zao, huku siye wana-wa- nchi tukibeba mzigo mzito wa madeni.

Namkumbusha tena asije kufanya makosa yale ya trl 1.3 za COVID-19 Kwa kuwapakulia Shea kubwa wazanzibari zaidi ya ile 4% iliyo wekwa kisheria, siye huku watanganyika tunaona na kuweka kumbukumbu. Tafadhali asituchokonoe.
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470

Doh mkopo tena
 
Utakuta zote zinaishia huko huko na hata mia haiji huku, zaidi tunalipa riba tu. Sasa huo mkopo ni wa mradi upi?!
 
watu wafupi mtanisamehe.

Akili zenu nazo huwa ni fupi. for sure!!!!!!
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Ziara inayofuata ataenda na umoja wa madereva wa bodaboda,next ataenda na umoja wa machawa tz...utawala usio na plan zozote yani upoupo tu haujui unafanya nini.
 
Samahani wakulungwa naomba mnikumbushe ni kiongozi gani yule Alie sema billion 2 ni ela ya mboga na alichukuliwa hatua gani.
 
Mama ni mama. Ameshindwa kutengeneza njia za kuingiza mapato katika nchi yake pamoja na ongezeko la kodi kila kona. Hatimae nchi yote imeingizwa kwenye VICOBA.
Yaani jinsi wale wamama wa uswahilini wanavyoendesha familia zao kwa mikopo ya kausha damu ya kukopa kopa kila mahali na yeye ndio anaendesha nchi hivyo hivyo sema tu yeye anaifanya katika macro-level.

Maarifa aliyonayo ni kidogo sana huyu mama
 
Yaani jinsi wale wamama wa uswahilini wanavyoendesha familia zao kwa mikopo ya kausha damu ya kukopa kopa kila mahali na yeye ndio anaendesha nchi hivyo hivyo sema tu yeye anaifanya katika macro-level.

Maarifa aliyonayo ni kidogo sana huyu mama
Nchi hii kila mtu apambane na familia yake tu.
 
Nchi hii kila mtu apambane na familia yake tu.
Na hili ndio chanzo cha matatizo yaliyotufikisha huku ambayo yamechagizwa sana sana na kukosa uzalendo...

Sasa hivi watanzania wamebaki kuwa wazalendo kwa familia zao na si kwa taifa..

Leo hii mtanzania akiskia kuna ufisadi umefanyika mahali anaumia sana sio kwa sababu analionea huruma taifa, bali anaumia kwa sababu yeye hajapata fursa ya kushiriki kwenye huo ufisadi.

Leo hii mtnzania ukiajiriwa serikalini halafu ukawa muadilifu,mchapa kazi na sio mwizi mwizi unaonekana FALA sio tu kwa majirani mpaka kwa ndugu zako watakudharau sana.

Ukipita mitaani utakuta vijana wamejenga majumba makubwa yenye thamani ya kuanzia 300m halafu ukiulizia chanzo chake cha mapato unaambiwa ni muajiriwa wa serikalini na hajafikisha hata miaka minne tangu aanze kazi na tena hapo unakuta kila mtu anamsifu kwamba eti ni mchapa kazi kumbe ni JIZI la pesa za uma.

Serikali ya Samia ndio imekuja kuhalamisha kabisa UZALENDO nchi hii, ukiwa mzalendo sijui muadilifu kwenye serikali hii ya awamu ya sita wewe utaonekana kama kirusi ambacho kinahitaji kuwa formatted haraka sana.

Acha tuendelee kutengeneza kizazi cha watanzania ambao watakuwa ni wazalendo kwa familia zao tu..
 
Back
Top Bottom