Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

Trillions 6 ni pesa nyingi sana lazima ituambie inaelekezwa kwenye miradi gani
Naona mkopo huu ni moja ya mikopo mikubwa sana ambayo nchi hii imewahi kukopa. Hilo la kuambiwa riba nafuu ni kutaka kujifurahisha tu. Riba ya asilimia moja kwa mikopo wa trillion 6 ni Sawa na billion 60. Hapo nimeitoa mfano tu. Ikipendeza tuambiwe hiyo riba nafuu ni kiasi gani.
 
Huku kukopakopa kuna Siku tutakuja kutapishwa fedha za wenyewe bila kupenda.
Ukiambiwa ulipe kodi na leseni ya biashara haulipi,dai risiti hau dai yaani hatupendi kulipa kodi na huo utamaduni hatuutaki, watu wakikopa miradi pia isonge mbele wa kwanza kupiga kelele, hakika tuna watu wa ajabu sana.
 
Ukiambiwa ulipe kodi na leseni ya biashara haulipi,dai risiti hau dai yaani hatupendi kulipa kodi na huo utamaduni hatuutaki, watu wakikopa miradi pia isonge mbele wa kwanza kupiga kelele, hakika tuna watu wa ajabu sana.
Kwahio unataka kusemaje?
Binadamu wa wapi amelipa Kodi kwa hiari?
1.Weka Kodi
2. Weka mfumo wa ukusanyaji
3.Simamia ukusanyaji
4.Weka mfumo wa ulinzi wa ulichokusanya
5.Simamia mfumo wa ulinzi uliouweka
6.Panga matumizi Bora ya fedha ulizokusanya
7.Weka mfumo wa matumizi hayo
8.Simamia mfumo wa matumizi hayo

Step hizo nane ndizo zilizowapa mafanikio ya utozaji Kodi kokote duniani
Kodi si suala la kuhubiri Kama unavyojaribu kutuhubiria hapo

Uwajibikaji wa ulipaji Kodi unaanza kwa mifumo Bora ya Kodi, mapato na matumizi Bora we mbwiga!


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ameenda kutafuta hele ya familia zao na genge lao la watu wachache.
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Hizo pesa anazokopa ovyo ovyo atakuja kuzilipa nani?
 
Ukiambiwa ulipe kodi na leseni ya biashara haulipi,dai risiti hau dai yaani hatupendi kulipa kodi na huo utamaduni hatuutaki, watu wakikopa miradi pia isonge mbele wa kwanza kupiga kelele, hakika tuna watu wa ajabu sana.
Una uhakika na ulicho kiandika?.
 
"kama Kuna mtu ana amini kwamba taifa hili,litapata maendeleo kwa kupewa msaada,anajidanganya.Narudia kama Kuna mtu ana amini kwamba taifa hili litapata maendeleo kwa kupewa msaadaa anajidanganya"Hayati BWM
Huo ni mkopo,Kuna tofauti ya mkopo na msaada
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Pia atawashukuru Korea Kusini Kwa miradi ifuatavyo

Salender bridge
Muhimbili-Mlonganzila na
Daraja la mto Malagalasi

View: https://www.instagram.com/p/C7qSe5aqfqE/?igsh=MTNpZmVqc3luYmgwNw==
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Pia atawashukuru Korea Kusini Kwa miradi ifuatavyo

Salender bridge
Muhimbili-Mlonganzila na
Daraja la mto Malagalasi
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Pia atawashukuru Korea Kusini Kwa miradi ifuatavyo

Salender bridge
Muhimbili-Mlonganzila na
Daraja la mto Malagalasi
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Mkuu mbona unaingilia kazi ya Lucas Mwashambwa?
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Hawana hela wanaenda kuombaomba bandari wameuza kwa jamaa zao
Hi nchi Ina laana
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)

Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Kusaini mkopo ndo kabeba na wasanii, ama kweli hii nchi ngumu sana.
 
Back
Top Bottom