KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Naona mkopo huu ni moja ya mikopo mikubwa sana ambayo nchi hii imewahi kukopa. Hilo la kuambiwa riba nafuu ni kutaka kujifurahisha tu. Riba ya asilimia moja kwa mikopo wa trillion 6 ni Sawa na billion 60. Hapo nimeitoa mfano tu. Ikipendeza tuambiwe hiyo riba nafuu ni kiasi gani.Trillions 6 ni pesa nyingi sana lazima ituambie inaelekezwa kwenye miradi gani
Uko sahihicha muhimu ni kuongeza mkopo tununue trekta we unaonaje
Ukiambiwa ulipe kodi na leseni ya biashara haulipi,dai risiti hau dai yaani hatupendi kulipa kodi na huo utamaduni hatuutaki, watu wakikopa miradi pia isonge mbele wa kwanza kupiga kelele, hakika tuna watu wa ajabu sana.Huku kukopakopa kuna Siku tutakuja kutapishwa fedha za wenyewe bila kupenda.
Kwahio unataka kusemaje?Ukiambiwa ulipe kodi na leseni ya biashara haulipi,dai risiti hau dai yaani hatupendi kulipa kodi na huo utamaduni hatuutaki, watu wakikopa miradi pia isonge mbele wa kwanza kupiga kelele, hakika tuna watu wa ajabu sana.
Hizo pesa anazokopa ovyo ovyo atakuja kuzilipa nani?Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Una uhakika na ulicho kiandika?.Ukiambiwa ulipe kodi na leseni ya biashara haulipi,dai risiti hau dai yaani hatupendi kulipa kodi na huo utamaduni hatuutaki, watu wakikopa miradi pia isonge mbele wa kwanza kupiga kelele, hakika tuna watu wa ajabu sana.
VikobaNimeamini wamama wanapenda mikopo
Ndugai dalaliHII NCHI ISHAANZA KUUZWA.
Huo ni mkopo,Kuna tofauti ya mkopo na msaada"kama Kuna mtu ana amini kwamba taifa hili,litapata maendeleo kwa kupewa msaada,anajidanganya.Narudia kama Kuna mtu ana amini kwamba taifa hili litapata maendeleo kwa kupewa msaadaa anajidanganya"Hayati BWM
Ni sahihi. Hizo pesa zote zitapotea mifukoni mwa watu wachache akina Mwigulu na jeshi lake.Tuwe tunaambiwa ni miradi ipi na gharama za kila mradi vinginevyo tutaambiwa zimetumika kwenye mradi fulani wakati uligharamiwa na pesa za ndani.
Pia atawashukuru Korea Kusini Kwa miradi ifuatavyoSerikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Pia atawashukuru Korea Kusini Kwa miradi ifuatavyoSerikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Pia atawashukuru Korea Kusini Kwa miradi ifuatavyoSerikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Mkuu mbona unaingilia kazi ya Lucas Mwashambwa?Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Hawana hela wanaenda kuombaomba bandari wameuza kwa jamaa zaoSerikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470
Kusaini mkopo ndo kabeba na wasanii, ama kweli hii nchi ngumu sana.Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5 kuanzia 2024 hadi 2028 ambapo Tanzania ni nchi ya pili Afrika kupokea Mikopo hiyo kupitia Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi Korea (EDCF)
Ziara hiyo ni mwaliko wa Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea ambayo itamalizika Juni 6, 2024
View attachment 3003469View attachment 3003470