Ziara ya Rais Samia nchini Kenya, Mama anakosea

Unaandika vizungu viiingiii ushuzi mtupu!

Monopolistik sijui manini nini!

Uhuru Kenyatta ni mjanja wa mjini yule.

Kashampiga bao Bibi SASHA.
 
Mkuu ukiangazia Masuala ya Maslahi ya ki-nchi hatutanufaika kwa kusifiwa kuwa na roho zuri, hakuna tuzo za hivyo.
Waswahili hawa ni bure kabisa!

Si ajabu hizo ndio fikra za Bibi SASHA!

Ati "roho nzuri".

Ni bora uwe na roho mbaya kama ya shetani lakini uwe na uwezo wa kutetea maslahi ya nchi yako!
 
Kwani ulisikia Samia katoka Kolomije? Naye ni wa mjini kuliko Kenyatta
Hilo liswahili lako limeshapigwa!

Chezea Kenyatta wewe!

He is a business-oriented politician, sio kama huyo kikongwe wa pwani.

Ndio maana wakenya wanamchekea usoni na kumzoza kisogoni maana wanajua wameshapata GOIGOI la kulichuna.
 
Waswahili hawa ni bure kabisa!

Si ajabu hizo ndio fikra za Bibi SASHA!

Ati "roho nzuri".

Ni bora uwe na roho mbaya kama ya shetani lakini uwe na uwezo wa kutetea maslahi ya nchi yako!
Nyinyi si ndio mlikua mnalalamika mwenda zake ana roho mbaya, mmepata mwenye roho nzuri bado mnalalamika
 
UZI WA VILAZA HUU,WENYE POOR I.Q SHOULD BE IGNORED....!
*GES ITAUZWA KENYA
*UMEME TUTAUZA KENYA
*MAMA AMESISITIZA UJAZO WA KIBIASHARA
BAINA YA NCHI ZETU.
*KUONDOA MAKWAZO MIPAKANI
*KODI ZA MIPAKANI KUANGALIWA UPYA
*KAMATI ZA BIASHARA KUKUTANA MARA KWA MARA
*TWENDENI TUKAWEKEZE KENYA,SIONI UBAYA MOJA YA BANK ZETU KUFUNGUA TAWI KENYA KURAHISISHA BIASHARA ZA WATANZANIA KENYA KAMA WAO NA KCB YAO HAPA.A
 
Hilo liswahili lako limeshapigwa!

Chezea Kenyatta wewe!

He is a business-oriented politician, sio kama huyo kikongwe wa pwani.

Ndio maana wakenya wanamchekea usoni na kumzoza kisogoni maana wanajua wameshapata GOIGOI la kulichuna.
Narudia tena, mama hakuchukua birth certificate yake baada ya kufika Dar kule Makunganya. Ni mtoto wa Mnazimoja yule. Town kabisa. So kuwa na amani, kuwa mpole. Nchi iko mikononi mwa mtoto wa mjini, subirini matokeo chanya.
 
Naona umeandika ujinga tu. Ni kama kusema timu fulani tusiwauzie mipira watafanya mazoezi halafu watatufunga. Kwanini una mpira usifanye na wewe mazoezi ushindane? Ukizima mshumaa wa jirani wako ndio utaongeza mwanga?

Gesi iko kwetu nani katukataza kutumia? Uvivu tu wa kufikiri na zile 60% alizosema asad ndio zinazotusumbua.

Tunaweza kufanya vizuri kuliko Kenya ila lazima tuondoe wajinga bungeni ndio tutapata mawaziri competent. Mnachagua wajinga wengi inabido rais achague mawaziri katikati ya wajinga.

Chapili kuwe na katiba inayowajibisha watu na hii inaanza na wewe sio kulialia chukua hatua sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…