Ambokile Amanzi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2018
- 965
- 1,333
Unaandika vizungu viiingiii ushuzi mtupu!Aliyekufundisha uchumi kwamba unauza kitu nje ya nchi tu iwapo una "surplus" mwambie amekudanganya. Comparative advantage na monopolistic competition ndio msingi wa biashara ya kimataifa unaotumika sasa. Na ingekuwa hivyo usemavyo, basi dunia asingeweza kuishi mtu.
Waswahili hawa ni bure kabisa!Mkuu ukiangazia Masuala ya Maslahi ya ki-nchi hatutanufaika kwa kusifiwa kuwa na roho zuri, hakuna tuzo za hivyo.
Kwani ulisikia Samia katoka Kolomije? Naye ni wa mjini kuliko Kenyatta kwahiyo ngoma droo. Aliyekuwa wa shamba now anaongoza malaika huko nchi ipo kwa mtoto wa mjini sasa hivi.Uhuru Kenyatta ni mjanja wa mjini yule.
Jibu wewe uliifanyia nini? Au unafikiri yote tungetumia sisi bila kutafuta mas
Wazee wa ndio "mama" utawajua tuKwani ulisikia Samia katoka Kolomije? Naye ni wa mjini kuliko Kenyatta kwahiyo ngoma droo. Aliyekuwa wa shamba now anaongoza malaika huko nchi ipo kwa mtoto wa mjini sasa hivi.
Muacheni mama awajengee uchumi wenu maana kiongozi wa malaika alishauua. Mshukuruni Mungu amewaokoa huo uchumi wenu ulishaenda kuzimu. Hujasoma media za bongo huko kwamba soko la hisa la Dar limeanza kurejea hali yake.Wazee wa ndio "mama" utawajua tu
Hilo liswahili lako limeshapigwa!Kwani ulisikia Samia katoka Kolomije? Naye ni wa mjini kuliko Kenyatta
Nyinyi si ndio mlikua mnalalamika mwenda zake ana roho mbaya, mmepata mwenye roho nzuri bado mnalalamikaWaswahili hawa ni bure kabisa!
Si ajabu hizo ndio fikra za Bibi SASHA!
Ati "roho nzuri".
Ni bora uwe na roho mbaya kama ya shetani lakini uwe na uwezo wa kutetea maslahi ya nchi yako!
Utakuwa umenifananisha.Nyinyi si ndio mlikua mnalalamika mwenda zake ana roho mbaya, mmepata mwenye roho nzuri bado mnalalamika
Narudia tena, mama hakuchukua birth certificate yake baada ya kufika Dar kule Makunganya. Ni mtoto wa Mnazimoja yule. Town kabisa. So kuwa na amani, kuwa mpole. Nchi iko mikononi mwa mtoto wa mjini, subirini matokeo chanya.Hilo liswahili lako limeshapigwa!
Chezea Kenyatta wewe!
He is a business-oriented politician, sio kama huyo kikongwe wa pwani.
Ndio maana wakenya wanamchekea usoni na kumzoza kisogoni maana wanajua wameshapata GOIGOI la kulichuna.
Hakika mkuuWaswahili hawa ni bure kabisa!
Si ajabu hizo ndio fikra za Bibi SASHA!
Ati "roho nzuri".
Ni bora uwe na roho mbaya kama ya shetani lakini uwe na uwezo wa kutetea maslahi ya nchi yako!
Tutamkumbuka kwa hasara aliyo ingizia taifa."Najua mtanikumbuka kwa mazuri tu na si mabaya"
(Mwenda zake 2021AD)
aJibu wewe uliifanyia nini? Au unafikiri yote tungetumia sisi bila kutafuta masoko??
Jibu wewe uliifanyia nini? Au unafikiri yote tungetumia sisi bila kutafuta masoko??