Ziara ya Rais Samia Ulaya, Lissu na Lema mlituambia Tanzania imetengwa?

Ziara ya Rais Samia Ulaya, Lissu na Lema mlituambia Tanzania imetengwa?

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Kule kwenye kijiwe cha Space kumekuwa habari za porojo Spika wa kule Lema, na Rais wake Lissu, na wanaharakati njaa wanakubaliana kila porojo wanawamambia wafuasi wao ambao wamewashikia akili kuwa Tanzania tumetengwa kabisa yaani na hakuna nchi inataka kushirikiana na sisi sababu hamna haki za binadamu.

Naomba watufahamishe hapa Rais Samia yupo wapi na anafanya nini hapo.

6BFB822D-16E6-4AA8-8979-33F0F8F07B96.jpeg
 
Wanaukumbi.

Kule kwenye kijiwe cha Space kumekuwa habari za porojo Spika wa kule Lema, na Rais wake Lissu, na wanaharakati njaa wanakubaliana kila porojo wanawamambia wafuasi wao ambao wamewashikia akili kuwa Tanzania tumetengwa kabisa yaani na hakuna nchi inataka kushirikiana na sisi sababu hamna haki za binadamu.

Naomba watufahamishe hapa Rais Samia yupo wapi na anafanya nini hapo.

View attachment 2116891
Njua ya muongo ni fupi,mbona mana ana mialiko zaidi ya nchi 10 duniani
 
Wanaukumbi.

Kule kwenye kijiwe cha Space kumekuwa habari za porojo Spika wa kule Lema, na Rais wake Lissu, na wanaharakati njaa wanakubaliana kila porojo wanawamambia wafuasi wao ambao wamewashikia akili kuwa Tanzania tumetengwa kabisa yaani na hakuna nchi inataka kushirikiana na sisi sababu hamna haki za binadamu.

Naomba watufahamishe hapa Rais Samia yupo wapi na anafanya nini hapo.

View attachment 2116891
Mwimba pambio wa enzi zile mbaya huoni mengi yamebadilika, ikiwa ni pamoja na jobo kutupisha, kufungulia magazeti na kuanza mabadiliko ya Sheria komozi na tunaelekea kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, na pia tunaelekea kuwa fikisha kortini wasiojulikana wote, na mwanzo tumeanza kuuona kwa saambovu na kondaboy na tunapanga kuelekea Kwa akina badluc&co. 🤔
 
Mwimba pambio wa enzi zile mbaya huoni mengi yamebadilika, ikiwa ni pamoja na jobo kutupisha, kufungulia magazeti na kuanza mabadiliko ya Sheria komozi na tunaelekea kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, na pia tunaelekea kuwa fikisha kortini wasiojulikana wote, na mwanzo tumeanza kuuona kwa saambovu na kondaboy na tunapanga kuelekea Kwa akina badluc&co. 🤔
Lile pepo si lilishatolewa?
 
Wanaukumbi.

Kule kwenye kijiwe cha Space kumekuwa habari za porojo Spika wa kule Lema, na Rais wake Lissu, na wanaharakati njaa wanakubaliana kila porojo wanawamambia wafuasi wao ambao wamewashikia akili kuwa Tanzania tumetengwa kabisa yaani na hakuna nchi inataka kushirikiana na sisi sababu hamna haki za binadamu.

Naomba watufahamishe hapa Rais Samia yupo wapi na anafanya nini hapo.

View attachment 2116891
Mama kakubali hoja za wapinzani, ulaya wamemsamehe
 
Huyu ana hudhuria mikutano tuu kama ambavyo Mugabe alipopigwa ban sio ziara rasmi ya kiserikali.
Hata rais wa Iran huwa anaenda Marekani kuhudhuria mikutano pamoja na uadui wao
 
Huyu ana hudhuria mikutano tuu kama ambavyo Mugabe alipopigwa ban sio ziara rasmi ya kiserikali.
Hata rais wa Iran huwa anaenda Marekani kuhudhuria mikutano pamoja na uadui wao
Yamekua hayo tena kamanda?
 
Wanaukumbi.

Kule kwenye kijiwe cha Space kumekuwa habari za porojo Spika wa kule Lema, na Rais wake Lissu, na wanaharakati njaa wanakubaliana kila porojo wanawamambia wafuasi wao ambao wamewashikia akili kuwa Tanzania tumetengwa kabisa yaani na hakuna nchi inataka kushirikiana na sisi sababu hamna haki za binadamu.

Naomba watufahamishe hapa Rais Samia yupo wapi na anafanya nini hapo.

View attachment 2116891
Chief mbona ulipotea sana awamu ya urais wa JPM?
 
Wanaukumbi.

Kule kwenye kijiwe cha Space kumekuwa habari za porojo Spika wa kule Lema, na Rais wake Lissu, na wanaharakati njaa wanakubaliana kila porojo wanawamambia wafuasi wao ambao wamewashikia akili kuwa Tanzania tumetengwa kabisa yaani na hakuna nchi inataka kushirikiana na sisi sababu hamna haki za binadamu.

Naomba watufahamishe hapa Rais Samia yupo wapi na anafanya nini hapo.

View attachment 2116891
Simple tu.. hebu jiulize kwann mkuu alisema anaifungia NCHI? Nadhan utapata jibu juu ya kauli za kina Lema!!
 
Madhumuni ya hiyo safari ni

1. Kutembeza bakuli

2. Kujionesha kuwa anakubalika na nchi za kimagharibi hata kama anaminya demokrasia nyumbani Tanzania
 
Kuna siku tumewahi kukosa mialiko? Hata Kim huwa anapata mialiko
 
Back
Top Bottom