johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege
Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10
Mjadala ni mkali Citizen TV
Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki
Mlale Unono 😃😃
Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10
Mjadala ni mkali Citizen TV
Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki
Mlale Unono 😃😃