Ziara ya Ruto nchini Marekani inatufunza kwanini Hayati Magufuli aliamua kuimarisha ATCL

Ziara ya Ruto nchini Marekani inatufunza kwanini Hayati Magufuli aliamua kuimarisha ATCL

Si bora hata huko kenya kiasi cha pesa alichotumia. Rais Ruto kinajadiliwa. Kwenye media
Ungeweza kufanya hivo awamu ya 5?
Awamu hii ya 6 mmewahi kuhoji hilo?
 
1. Maafisa wa serikali hawapaswi kufadhiliwa chochote moja kwa moja kutoka kwa mtu, taasisi au kikundi fulani. Ufadhili wote wa namna hiyo, ni sawa na rushwa, utakatishaji wa fedha.
Uko sahihi kabisa.
Kesho na keshokutwa hao marafiki wakitaka wapewe favor na yeye Ruto ubavu wa kuwakatalia atautoa wapi? Walichofanya hao marafiki ni rushwa kwa mlango wa nyuma.
 
Hadi sasa haieleweki Rais Rutto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege

Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Rutto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10

Mjadala ni mkali Citizen TV

Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Africa Dr Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki

Mlale Unono 😃😃
Hapo kuna 'comedy' ya aina yake.
Ruto ni 'crook' ambaye hawezi kujificha watu wasijue. Uzuri wa hao jamaa wanamhenyesha. Bahati yao, angalau hadi sasa, pamoja na u-'crook' wake hana cha kuwafanya wanaomsema. Marafiki zake juzi huko kwenye safari yake wakazidi kumchoma kwa msumari, na kumfunga spidi kwa masharti aliyopewa.

Lakini fundisho muhimu hapa ni namna jinsi hivi vi-nchi vya kiarabu vyenye ukwasi mkubwa unavyojipenyeza na kushirikiana na haya mapapa ya dunia kuzikandamiza nchi hizi za kiafrika. Hawa UAE sasa wanahaha kila mahali, hata kwenye mizozo, kama kule Sudan, Ethiopia, Eritrea na kwingineko, wapo, wanatumia hela zao kuchochea migogoro.

Hapo kwa majirani, bila shaka ni mbinu zao za kutaka kushirikiana na Marekani kumpiku mChina katika nchi hiyo.

Hofu yangu inazidi kupanda hapa kwetu. Hizi chaguzi zinazokuja zitanunuliwa na hawa waarabu ili kulinda maslahi yao ya 'carbon credits' na mbuga za wanyama na bandari, n.k., n.k..
 
Mpaka sasa hivi ninavyoandika hapa zaidi ya ndege nne za ATCL zilizonunuliwa na Magufuli zimepaki chini, mbovu, haziruki popote zaidi ya miezi sita na hazijulikani zitafufuka lini.
Hizo ndege zimekufa baada ya kurithishwa madaraka na hichi kibibi.maana hakajui kuwaongoza watu wake.kila mradi ulioanzishwa na Magufuli Kwa Sasa zinakufa sababu ya kurithi li mutu la ajabu ajabu.
 
Mleta mada naona umechanganya mambo hapa. Na hii nadhani ni kutokana na kutoelewa kile ambacho kimezua mjadala huko Kenya.

Kinachohojiwa huko siyo kutokuwa na shirika la ndege imara, ila ni kitendo cha Ruto kukodi ndege kwa ajili ya ziara yake hiyo ya Marekani.

Kwamba Wakenya wanaamini kuwa hakukuwa na ulazima wa kukodi ndege hasa kutokana na kutumia kiasi kikubwa cha pesa.

Ndiyo maana Ruto anajitetea kuwa, hakutumia pesa za umma kukodi ndege hiyo, bali alichangiwa na aliowaita ni rafiki zake.

Lakini, siyo suala la uimara au ulegevu wa shirika la ndege la Kenya, kwani KQ ni moja ya mashirika ya ndege imara Afrika Mashariki na Kati.

Lina safari hadi za kwenda huko USA na Uingereza, wakati ATCL haiendi hata Afrika Kusini.

Ova
Mkuu kukuongezea pia, kitendo cha Rais kuchangiwa nauli ya ndege kina walakini haswa hasa hao marafiki watakapo hitaji msaada wake!!!
 
Hadi sasa haieleweki Rais Rutto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege

Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Rutto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10

Mjadala ni mkali Citizen TV

Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Africa Dr Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki

Mlale Unono 😃😃
Kama hujui ni kuwa hata Samia anapochukuwa ATC na kusafiri nayo ni kama amekodi kwa sababu ile siyo ndege yake.
 
Mwisho kabisa Ruto ametumia hoja dhaifu sana ya kusema eti ni marafiki zake wametoa pesa za hiyo ziara. Ruto amesahau haya;

1. Maafisa wa serikali hawapaswi kufadhiliwa chochote moja kwa moja kutoka kwa mtu, taasisi au kikundi fulani. Ufadhili wote wa namna hiyo, ni sawa na rushwa, utakatishaji wa fedha.

2. Ufadhili huo ulipaswa kutangazwa kabla na kuidhinishwa na vyombo husika vya serikali nk.

3. Kwa kuwa mpaka sasa Marekani (wenyeji wa hiyo ziara) na shirika la ndege (wasafirishaji) wamekanusha kutoa ufadhili huo, hiyo ina maana kama ni kweli huo ufadhili ulitolewa na watu basi walitoa pesa, sasa imekuwaje Serikali ikaidhinisha matumizi makubwa hivyo ya pesa kwa ajili ya ziara wakati wangeweza kufanya tofauti.
Unajua maana ya discount?
 
Au isije ikawa sabotage? Maana wabongo hatushindwi na kitu
Mkuu hatuwezi chochote zaidi ya kuiba kura!!!

Mwendo kasi kujifia nayo ni sabotage???

Uzembe wa Maji kupenya chini ya msingi wa tuta la bwawa la Nyerere ni sabotage???

Safari ya SGR ya kwenda Morogoro toka tutangaziwe ingekuwa tayari kufikia Novemba 2019 kutotimia mpaka leo nayo ni sabotage???
 
Kwani sasa hivi katika awamu hii inayojiita ya sita, vyombo vya habari vinayajadili maswala ya namna hiyo? Tofauti yake ni nini?
Mkuu elimu ya uraia inapanuka, barafu ya ujinga inayeyuka, wananchi wanafungua zaidi kimawazo na kimtazamo!
 
Hadi sasa haieleweki Rais Rutto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege

Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Rutto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10

Mjadala ni mkali Citizen TV

Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Africa Dr Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki

Mlale Unono 😃😃
Kwanini asipande ndege za kawaida kama anavyofanya Rais wa Zambia?
 
Mleta mada naona umechanganya mambo hapa. Na hii nadhani ni kutokana na kutoelewa kile ambacho kimezua mjadala huko Kenya.

Kinachohojiwa huko siyo kutokuwa na shirika la ndege imara, ila ni kitendo cha Ruto kukodi ndege kwa ajili ya ziara yake hiyo ya Marekani.

Kwamba Wakenya wanaamini kuwa hakukuwa na ulazima wa kukodi ndege hasa kutokana na kutumia kiasi kikubwa cha pesa.

Ndiyo maana Ruto anajitetea kuwa, hakutumia pesa za umma kukodi ndege hiyo, bali alichangiwa na aliowaita ni rafiki zake.

Lakini, siyo suala la uimara au ulegevu wa shirika la ndege la Kenya, kwani KQ ni moja ya mashirika ya ndege imara Afrika Mashariki na Kati.

Lina safari hadi za kwenda huko USA na Uingereza, wakati ATCL haiendi hata Afrika Kusini.

Ova
Hata mimi nimemshangaa sana huyu jamaa. Lazima alikuwa hajui kuwa Kenya wana Kenya Airways ambayo kiukweli iko mbali sana kuliko anavyojua yeye.
 
Ruto alikuwa sahihi kusafiri na Ndege ya kukodi

Kenya Ndege zao zinaua viongozi mawaziri,Mkuu wa majeshi zonaanguka hovyo na kuua

Hata ningekuwa Mimi singepanda
 
Ulichokiandika hakina uhusiano, irrelevant.

Kinachopingwa na wakenya wengi ni namna safari ya Ruto kwenda USA ilivyofanyika kwa gharama kubwa zisizo za lazima.

Fahamu tu, Kenya airways wana ndege nyingi, kubwa na nzuri, ilitosha Ruto kutumia Kenya Airways kwenda USA na kusingekuwa na mjadala wowote.

Sioni suala hili halina uhusiano wowote na Magufuli kuifufua Air Tanzania kihuni huni vile kwa kununua mandege mabovu mabovu.
Aliogopa ukungu angani
 
Hadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege

Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10

Mjadala ni mkali Citizen TV

Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki

Mlale Unono 😃😃
Shujaa wako we shoga, lile lihutu lilikuwa baguzi, baguzi, liuaji, aligawa nchi. Mfuate akhera bwege we. Ndege imekodishwa amechangia mamako? Vimaskinu havinaga ht haya.
 
Back
Top Bottom