Eti mandege mabovu,ndege mumeachiwa nzima mnfanyia uzinzi tu mpaka zinaharibika mnamsingizia yeye??Ulichokiandika hakina uhusiano, irrelevant.
Kinachopingwa na wakenya wengi ni namna safari ya Ruto kwenda USA ilivyofanyika kwa gharama kubwa zisizo za lazima.
Fahamu tu, Kenya airways wana ndege nyingi, kubwa na nzuri, ilitosha Ruto kutumia Kenya Airways kwenda USA na kusingekuwa na mjadala wowote.
Sioni suala hili halina uhusiano wowote na Magufuli kuifufua Air Tanzania kihuni huni vile kwa kununua mandege mabovu mabovu.
Labda hiyo ndio atumie kama hoja although pia inamuumiza kwa hoja zingine mbili.Kuna tweet Ruto kasema wamekodi kwa sababu gharama ya kwenda na KQ ilikua kubwa sana waka opt kukodi.
Jionee hapa chini.
View attachment 3004218
Hadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege
Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10
Mjadala ni mkali Citizen TV
Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki
Mlale Unono ππ
Usiwe mbishi ndugu.Eti mandege mabovu,ndege mumeachiwa nzima mnfanyia uzinzi tu mpaka zinaharibika mnamsingizia yeye??
Aliimarisha au aliiua ATCL? Hakuwa na mipango wala plans yeye alikuwa anajikurupukia tu. Bunge ndo think tank ya nchi lakini yeye alilipiga teke akawa ndo anapuyanga peke yake as a resuult kuna hasara kubwa sana mpaka CAG alijaraibu kual edit ili kumfichia lakini ikashindikanaHadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege
Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10
Mjadala ni mkali Citizen TV
Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki
Mlale Unono ππ
Kumbe shida ni mfumo wa uendeshaji??mmejiandaaje ktk kumlaumu jpm hata ktk TRC ambayo nayo imejenga reli mpya na ununuzi wa train ya umeme??Usiwe mbishi ndugu.
Ndege zilianza kuzingua tangu Magufuli akiwa hai. Kosa sio waendeshaji na wasimamizi wa hizo ndege, kosa ni kitendo cha yeye Magufuli kulazimisha tender za ununuzi wa mandege kiholela tena kwa cash kabla ya ATCL kuwa na business plan. Kununua ndege ni jambo moja lakini kuendelea kuimiliki na kuitumia ni jambo lingine tofauti kabisa.
Kukupa mwanga tu, tatizo la ATCL halikuwa na halijawahi kuwa ukosefu wa ndege, tatizo lilikuwa ni muundo wa uendeshaji wake na usimamizi wake. Na mpaka leo hii halikuwa kutatuliwa.
Rais wa Zambia (ambaye hakuweza kujiita hata Hustler kwenye kampeni zake) mara zote akisafiri kwenda London, New york, Geneva, Paris, Tokyo, Shangai, Johannesburg, Addis Ababa amekuwa akipanda ndege za kawaida tena akikaa business class.Ruto alikuwa sahihi kusafiri na Ndege ya kukodi
Kenya Ndege zao zinaua viongozi mawaziri,Mkuu wa majeshi zonaanguka hovyo na kuua
Hata ningekuwa Mimi singepanda
Nesi wa Kiyao wasalimie Wadada wenzako Hapo Tunduru πΌShujaa wako we shoga, lile lihutu lilikuwa baguzi, baguzi, liuaji, aligawa nchi. Mfuate akhera bwege we. Ndege imekodishwa amechangia mamako? Vimaskinu havinaga ht haya.
Tunamlaumu Magufuli kwenye ATCL kwa haya;Kumbe shida ni mfumo wa uendeshaji??mmejiandaaje ktk kumlaumu jpm hata ktk TRC ambayo nayo imejenga reli mpya na ununuzi wa train ya umeme??
Nimeipenda hii"buy or make"halafuu,unachagua iliyocheaper.Kuna tweet Ruto kasema wamekodi kwa sababu gharama ya kwenda na KQ ilikua kubwa sana waka opt kukodi.
Jionee hapa chini.
View attachment 3004218
Mambo ya ATCL na TRC ni yale yale, kote huko Magufuli alikosea, na usitegemee chochote kikubwa, kizuri au cha kudumu kutoka TRC kwenye SGR na treni za umeme. Ni miradi ya upigaji mtupu, haina faida yoyote kwa nchi au mlalahoi.Kumbe shida ni mfumo wa uendeshaji??mmejiandaaje ktk kumlaumu jpm hata ktk TRC ambayo nayo imejenga reli mpya na ununuzi wa train ya umeme??
Inawezekana alinunua nyingi,hata juzi juzi tulipokea nyingine na inawezekana Bado zingine nyingi nyingiTunamlaumu Magufuli kwenye ATCL kwa haya;
1. Aliilazimisha ATCL kununua ndege kubwa na nyingi wakati walikuwa hawazihitaji kwa wakati huo.
2. Aliingilia tender ya ununuzi wa ndege za ATCL hivyo gharama ya ununuzi ikawa kubwa maana wauzaji hawakushindanishwa.
3. Alinunua ndege mbovu na mtumba kwa bei ya ndege mpya.
4. Alinunua ndege nyingi, kwa haraka, kwa cash na hiyo imezaa hasara mara dufu.
5. Aliingiza ATCL katika mtego wa kutumia gharama kubwa kuzihudumia hizo ndege alizozinunua wakati ATCL haikuwa na uwezo huo.
Katika hili nitamtetea Samia Suluhu kwa 100%. Hana kosa lolote, tutamlaumu bure.Hizo ndege zimekufa baada ya kurithishwa madaraka na hichi kibibi.maana hakajui kuwaongoza watu wake.kila mradi ulioanzishwa na Magufuli Kwa Sasa zinakufa sababu ya kurithi li mutu la ajabu ajabu.
Kwa kuendeleza, na je kama Rais, hajui kwamba huo ni mtego kwani jamaa wanaweza kumwendea kwa jambo lao fulani na hivyo akawa hana budi kuwalipa fadhila waliyomtendea?Hadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege
Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10
Mjadala ni mkali Citizen TV
Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki
Mlale Unono ππ
Ni kweliKwa kuendeleza, na je kama Rais, hajui kwamba huo ni mtego kwani jamaa wanaweza kumwendea kwa jambo lao fulani na hivyo akawa hana budi kuwalipa fadhila waliyomtendea?
Kenya Airways na ATCL ipi kubwa?Hadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege
Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10
Mjadala ni mkali Citizen TV
Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki
Mlale Unono ππ
Pascal,Kwanza rekebisha hapo, sio "kuepuka viongozi kukodi ndege kwa Marafiki", ni "kuepuka viongozi kukodiwa ndege na Marafiki" .
Pili naunga mkono hoja kuhusu Magufuli na kununua midege kuifufua ATCL Dreamliner imejaa wiki nzima! Hongera ATCL na pongezi kwa Rais Magufuli, unaona mbali
P.
Mkuu Zanzibar,Usiwe mbishi ndugu.
Ndege zilianza kuzingua tangu Magufuli akiwa hai. Kosa sio waendeshaji na wasimamizi wa hizo ndege, kosa ni kitendo cha yeye Magufuli kulazimisha tender za ununuzi wa mandege kiholela tena kwa cash kabla ya ATCL kuwa na business plan. Kununua ndege ni jambo moja lakini kuendelea kuimiliki na kuitumia ni jambo lingine tofauti kabisa.
Kukupa mwanga tu, tatizo la ATCL halikuwa na halijawahi kuwa ukosefu wa ndege, tatizo lilikuwa ni muundo wa uendeshaji wake na usimamizi wake. Na mpaka leo hii halikuwa kutatuliwa.