labda Zambia hawana ndege la rais. Pia ujue rais hasafiri peke yake huwa na delegation, kwa hivyo wakati aina ya usafiri inachaguliwa lazima wazingatie rais atasafiri na watu wangapi. Safari zingine zote marais wa kenya hutumia ndege la raisKwani lazima akodi?
Mbona Rais wa Zambia huwa anapanda kama Abiria π
Huna upeoHadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege
Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10
Mjadala ni mkali Citizen TV
Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki
Mlale Unono ππ
kama wasimamizi ni nyie,hayo haya tushangazi. tuliyategemea.Ndugu yangu ni mbovu.
Kuanzia zile bombardia mpaka dream liner, ziko garage, zingine zipo hapo Dar na nyingine nje ya nchi.
Citizen tv.Hadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege
Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10
Mjadala ni mkali Citizen TV
Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki
Mlale Unono ππ
You donβt believe that trash.Hadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege
Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10
Mjadala ni mkali Citizen TV
Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki
Mlale Unono ππ
Kama kweli ni mbovu yawezekana walikosa kuzifanyia matengenezo as per planned maintenance schedule.Ndugu yangu ni mbovu.
Kuanzia zile bombardia mpaka dream liner, ziko garage, zingine zipo hapo Dar na nyingine nje ya nchi.
Kile Kikundi Chenu Kinachotaka Kuikodisha ATC Kwa Akina Habib Kinaendelea AmaHadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege
Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa gharama isiyozidi Ksh million 10
Mjadala ni mkali Citizen TV
Hapa ndipo nimemkumbuka yule Shujaa wa Afrika Dkt. Magufuli aliyetuachia urithi wa ndege za kutosha kuepuka mambo ya viongozi kukodi ndege kwa Marafiki
Mlale Unono ππ
Atakodishwa Bilionea Lau Masha πKile Kikundi Chenu Kinachotaka Kuikodisha ATC Kwa Akina Habib Kinaendelea Ama
Watu wanadai ATCL imefufuliwa na inazidi kuimarika!Aliimarisha au aliiua ATCL? Hakuwa na mipango wala plans yeye alikuwa anajikurupukia tu. Bunge ndo think tank ya nchi lakini yeye alilipiga teke akawa ndo anapuyanga peke yake as a resuult kuna hasara kubwa sana mpaka CAG alijaraibu kual edit ili kumfichia lakini ikashindikana
Shirika la serikali kwa 100% halipimwi Earnings zake kama ufanyavyo kwenye biashara binafsi mfano Shabiby πΌπWatu wanadai ATCL imefufuliwa na inazidi kuimarika!
Sijui kama wana hata uelewa wa abc za shirika kuthaminika kama βgoing concernβ. Sijui kama hata wanajiuliza ATCL ya sasa ina TOFAUTI gani ya msingi na ATC ya nyuma?
Jibu la uswahili hili. Tofautisha Kati ya mashirika ya msingi na ya kibiashara. Halafu, kwako wewe, tofauti ya ATCL na Shabiby ni ipi?Shirika la serikali kwa 100% halipimwi Earnings zake kama ufanyavyo kwenye biashara binafsi mfano Shabiby πΌπ
Tanzania ni Nchi ya Utalii wa kila aina so Ndege zetu za ATCL zaweza kuwa kama Promo tool tuπππJibu la uswahili hili. Tofautisha Kati ya mashirika ya msingi na ya kibiashara. Halafu, kwako wewe, tofauti ya ATCL na Shabiby ni ipi?
Usafiri wa anga ni huduma ambayo inaweza kutolewa na sekta binafsi serikali ikabakia na jukumu la kuimarisha miundombinu na usimamizi (regulation) tu.
ATCL haliwezi kustahili ruzuku ya serikali kama suala la kudumu la kisera. Halina justification ya kuendeshwa kwa hasara na ruzuku. Itakuwa mzigo mkubwa usio wa lazima kwa walipa kodi. Mapato yake lazima yapimwe kama a going concern. Angalau i-break even basi.
Ikishindikana ni kubinafsishwa tu. Ndicho kinachofuata. Soma yanayoendelea katika SA na KQ.
Huduma za abiria kwenye treni, vivuko na usafiri jijini zinaweza kupewa ruzuku kama namna ya kupunguza makali ya maisha na kuongeza ufanisi wa mizunguko (mobility) kwenye maeneo yenye changamoto ya usafiri.
Zaburi 1:1-2Tanzania ni Nchi ya Utalii wa kila aina so Ndege zetu za ATCL zaweza kuwa kama Promo tool tuπππ
Ni kama MO Dewji anavyotumia Jezi za Makolo FC kujitangaza π€£π€£
International Marketing hiyo bwasheeZaburi 1:1-2
Heri wasiojifungamanisha na βmashujaaβ watenda mizaha katika mambo yanayoliangamiza taifa.