Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Ndio maana nikasema kuwa huwezi ukaelewa kwa kuwa akili yako ni ndogo.🤣🤣🤣🤣
Mnauza nchi nyinyi. Sasa hio mikopo ina faida gani kwa taifa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nikasema kuwa huwezi ukaelewa kwa kuwa akili yako ni ndogo.🤣🤣🤣🤣
Mnauza nchi nyinyi. Sasa hio mikopo ina faida gani kwa taifa..
Matumizi mabaya ya maniiNakuzaliwa kwako hakuna TIJA vilevile
🤣🤣🤣🤣Ndio maana nikasema kuwa huwezi ukaelewa kwa kuwa akili yako ni ndogo.
Wewe Lucas Mwashambwa ndiye usiye na akili timamu na unastahili kupuuzwa na kulaaniwa pamoja na CCM wenzako wote huko!!Narudia kusema tena kuwa hauna akili Timamu na hivyo nakupuuza tu.
Ni fahari na heshima kubwa sana kwa kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua kumuunga mkono Rais Samia, CCM na serikali yake.maana katika njia hiyo unakuwa umelilinda na kuliweka Taifa letu katika mikono salama ya utulivu na amani. Tofauti na vyama kama CHADEMA ambavyo uchaguzi tu wa kanda unawaacha wakiwa wamepasuka na kugawanyika kama tulivyoshuhudia kanda ya Nyasa. CHADEMA ni wachumia tumbo na waroho wa madaraka🤣🤣🤣🤣
Umekuwa na akili za kusifia ujinga tu. Yaani akili uliyopewa na muumba wako umeamua kuisaliti kwa dau la buku 7 daily
Your green brains it's not for politics... imbecileNaendelea kukusamehe na kukupuuza tu maana najuwa akili yako ni ya namna gani.
Lissu hana hoja zinazostahili kujibiwa. Yule ni wakupuuzwa tu.Tokeni misikitini jibuni hoja za Lissu.
Sasa waambie hao ndugu zako wabweteke halafu watakiona cha mtema kuni uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huuNdugu zangu Watanzania,
Kujenga chama, kueneza chama ,kuongeza wanachama na wafuasi,kupata kura za ndio kutoka kwa watu inahitaji akili, umakini,sera,ajenda zenye kugusa maisha ya watu. Inahitaji kuwa na sera mbadala zidi ya yule aliyepo madarakani,inahitaji ushawishi wa hoja nzito na sera bora zenye kuleta matumaini kwa watu. Inahitaji mpangilio mzuri wa mawazo na akili iliyotulia. Siyo suala la kufanya mikutano mingi wala kutembelea vijiji vingi wala kusafiri umbali mrefu wala kuongea muda mrefu jukwaani.
Ili ufanikiwe kuteka hisia na mawazo ya watu na kupata uungwaji mkono , inategemeana unazungumzia nini? Sera zako ni zipi kwa kila kundi? Ni lazima watu waone Tumaini kabla ya kukupa imani yao.
Ukiangalia na kufuatilia kwa umakini ziara za Lissu kwa hakika utagundua kuwa ni za kupoteza nguvu na kujichosha tu mwili na akili na zisizo na matokeo yoyote Chanya kwa CHADEMA. Kwa sababu hakuna kitu chochote kile chenye kugusa hisia na maisha ya watu unachoona akizungumza na kutoa katika mdomo wake .hana mpangilio wa mawazo wa kuelewa lengo lake ni lipi.ni mtu anaongea tu kulingana na litakalomjia kichwani mwake.
Mfano utasikia yupo jukwaani anaongea kuwa sijuwi chama kilimpokeaje Nyarandu? Swali linakuja jambo hili linawagusa na kuwahusu vipi Wananchi? Lina tija gani kwao? Wao ndio waliompokea? Halafu hapohapo kwa usahaulifu wake anasahau kuwa mtu huyo huyo anayemshambulia aliacha ubunge wake na akaungana nao na akaenda hadi hospitalini kumjulia hali. hapa unaweza kuona Lissu ana matatizo fulani kichwani mwake yaliyo makubwa sana.
Kiufupi ni kuwa mikutano yake haina ajenda wala sera, na ndio maana amekuwa mtu wa kutunga uongo,uzushi, uchonganishi na habari za kupikwa zisizo na ushahidi wala ukweli wa aina yoyote ile zaidi ya maneno matupu ya kizushi na chuki binafsi. Ndio maana unaona na kushuhudia hata habari zake zikiwa hazina msisimko wala kuteka mijada ya kisiasa wala kuwagusa wenye akili Timamu na wanaojitambua.kwa kuwa ni mtu anayejizungumzia tu lolote linalotangulia kutoka mdomoni mwake.
Kinachomsumbua Lissu ni mihemuko iliyopita kiasi,kukosa umakini,kuongea ongea hovyo hovyo kwa kila neno linalomjia Mdomoni,kukosa mpangilio na maandalizi ya nini akaongee jukwaani,kujiona anajuwa kila kitu na yupo sahihi kwa kila kitu na yeye ndiye ana akili kuliko mwingine yeyote yule, na kwamba watanzania wote walio mbele yake ni wajinga na ndio maana anataka awaambie ujinga wowote ule akifikiria wanameza na kunyonya tu kama madodoki.
Ndio maana unaona kuna mambo Ambayo unaona yalipaswa kuzungumzwa kwenye vikao vyao vya ndani lakini utaona yeye akiongea kwa kuripuka jukwaani. Kwa sababu ni mtu aliyekosa utulivu,Busara, hekima,staha na nidhamu ya kuchunga ulimi anaopaswa kuwa nao kiongozi.Ndio maana habari zake hazichukuliwi kwa uzito wowote ule.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
CCM itashinda kwa kishindo sana uchaguzi wa serikali za mitaa na ule mkuu hapo Mwakani. Hii ni kutokana na utekelezaji mzuri wa ilani yake pamoja na usikivu wake na kuwa karibu na wananchi.Sasa waambie hao ndugu zako wabweteke halafu watakiona cha mtema kuni uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu
Kachukue buku 7 yako.Ndugu zangu Watanzania,
Kujenga chama, kueneza chama ,kuongeza wanachama na wafuasi,kupata kura za ndio kutoka kwa watu inahitaji akili, umakini,sera,ajenda zenye kugusa maisha ya watu. Inahitaji kuwa na sera mbadala zidi ya yule aliyepo madarakani,inahitaji ushawishi wa hoja nzito na sera bora zenye kuleta matumaini kwa watu. Inahitaji mpangilio mzuri wa mawazo na akili iliyotulia. Siyo suala la kufanya mikutano mingi wala kutembelea vijiji vingi wala kusafiri umbali mrefu wala kuongea muda mrefu jukwaani.
Ili ufanikiwe kuteka hisia na mawazo ya watu na kupata uungwaji mkono , inategemeana unazungumzia nini? Sera zako ni zipi kwa kila kundi? Ni lazima watu waone Tumaini kabla ya kukupa imani yao.
Ukiangalia na kufuatilia kwa umakini ziara za Lissu kwa hakika utagundua kuwa ni za kupoteza nguvu na kujichosha tu mwili na akili na zisizo na matokeo yoyote Chanya kwa CHADEMA. Kwa sababu hakuna kitu chochote kile chenye kugusa hisia na maisha ya watu unachoona akizungumza na kutoa katika mdomo wake .hana mpangilio wa mawazo wa kuelewa lengo lake ni lipi.ni mtu anaongea tu kulingana na litakalomjia kichwani mwake.
Mfano utasikia yupo jukwaani anaongea kuwa sijuwi chama kilimpokeaje Nyarandu? Swali linakuja jambo hili linawagusa na kuwahusu vipi Wananchi? Lina tija gani kwao? Wao ndio waliompokea? Halafu hapohapo kwa usahaulifu wake anasahau kuwa mtu huyo huyo anayemshambulia aliacha ubunge wake na akaungana nao na akaenda hadi hospitalini kumjulia hali. hapa unaweza kuona Lissu ana matatizo fulani kichwani mwake yaliyo makubwa sana.
Kiufupi ni kuwa mikutano yake haina ajenda wala sera, na ndio maana amekuwa mtu wa kutunga uongo,uzushi, uchonganishi na habari za kupikwa zisizo na ushahidi wala ukweli wa aina yoyote ile zaidi ya maneno matupu ya kizushi na chuki binafsi. Ndio maana unaona na kushuhudia hata habari zake zikiwa hazina msisimko wala kuteka mijada ya kisiasa wala kuwagusa wenye akili Timamu na wanaojitambua.kwa kuwa ni mtu anayejizungumzia tu lolote linalotangulia kutoka mdomoni mwake.
Kinachomsumbua Lissu ni mihemuko iliyopita kiasi,kukosa umakini,kuongea ongea hovyo hovyo kwa kila neno linalomjia Mdomoni,kukosa mpangilio na maandalizi ya nini akaongee jukwaani,kujiona anajuwa kila kitu na yupo sahihi kwa kila kitu na yeye ndiye ana akili kuliko mwingine yeyote yule, na kwamba watanzania wote walio mbele yake ni wajinga na ndio maana anataka awaambie ujinga wowote ule akifikiria wanameza na kunyonya tu kama madodoki.
Ndio maana unaona kuna mambo Ambayo unaona yalipaswa kuzungumzwa kwenye vikao vyao vya ndani lakini utaona yeye akiongea kwa kuripuka jukwaani. Kwa sababu ni mtu aliyekosa utulivu,Busara, hekima,staha na nidhamu ya kuchunga ulimi anaopaswa kuwa nao kiongozi.Ndio maana habari zake hazichukuliwi kwa uzito wowote ule.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Peleka huko ujinga wako.Kachukue buku 7 yako.
Manii mengine tuwe tunamwaga juu ya maziwa au bafuniMatumizi mabaya ya manii
Akili yako ni ya kitoto sanaManii mengine tuwe tunamwaga juu ya maziwa au bafuni
Imagine unaleta duniani litoto zwazwa kama mleta mada ,au bora kulitoa kafara upate hela tuManii mengine tuwe tunamwaga juu ya maziwa au bafuni
Nashauri Lissu awe na hotuba mchanganyiko Sera, matukio na .....Punguani katika ubora wako. Kama ziara zake hazina tija, shangilia, furahia na uombee aendelee hivyo hivyo. Ya nini kupiga kelele za wehu?
Fanya kazi, kuliko kuishi kwa kutegemea idadi ya posts za kipunguani unazozileta jF.
Nimekusamehe bure kabisaImagine unaleta duniani litoto zwazwa kama mleta mada ,au bora kulitoa kafara upate hela tu
Punguza Ujinga boss Ziara za LISSU zingekuwa hazina Tija hata wewe usingeandika leoNdugu zangu Watanzania,
Kujenga chama, kueneza chama ,kuongeza wanachama na wafuasi,kupata kura za ndio kutoka kwa watu inahitaji akili, umakini,sera,ajenda zenye kugusa maisha ya watu. Inahitaji kuwa na sera mbadala zidi ya yule aliyepo madarakani,inahitaji ushawishi wa hoja nzito na sera bora zenye kuleta matumaini kwa watu. Inahitaji mpangilio mzuri wa mawazo na akili iliyotulia. Siyo suala la kufanya mikutano mingi wala kutembelea vijiji vingi wala kusafiri umbali mrefu wala kuongea muda mrefu jukwaani.
Ili ufanikiwe kuteka hisia na mawazo ya watu na kupata uungwaji mkono , inategemeana unazungumzia nini? Sera zako ni zipi kwa kila kundi? Ni lazima watu waone Tumaini kabla ya kukupa imani yao.
Ukiangalia na kufuatilia kwa umakini ziara za Lissu kwa hakika utagundua kuwa ni za kupoteza nguvu na kujichosha tu mwili na akili na zisizo na matokeo yoyote Chanya kwa CHADEMA. Kwa sababu hakuna kitu chochote kile chenye kugusa hisia na maisha ya watu unachoona akizungumza na kutoa katika mdomo wake .hana mpangilio wa mawazo wa kuelewa lengo lake ni lipi.ni mtu anaongea tu kulingana na litakalomjia kichwani mwake.
Mfano utasikia yupo jukwaani anaongea kuwa sijuwi chama kilimpokeaje Nyarandu? Swali linakuja jambo hili linawagusa na kuwahusu vipi Wananchi? Lina tija gani kwao? Wao ndio waliompokea? Halafu hapohapo kwa usahaulifu wake anasahau kuwa mtu huyo huyo anayemshambulia aliacha ubunge wake na akaungana nao na akaenda hadi hospitalini kumjulia hali. hapa unaweza kuona Lissu ana matatizo fulani kichwani mwake yaliyo makubwa sana.
Kiufupi ni kuwa mikutano yake haina ajenda wala sera, na ndio maana amekuwa mtu wa kutunga uongo,uzushi, uchonganishi na habari za kupikwa zisizo na ushahidi wala ukweli wa aina yoyote ile zaidi ya maneno matupu ya kizushi na chuki binafsi. Ndio maana unaona na kushuhudia hata habari zake zikiwa hazina msisimko wala kuteka mijada ya kisiasa wala kuwagusa wenye akili Timamu na wanaojitambua.kwa kuwa ni mtu anayejizungumzia tu lolote linalotangulia kutoka mdomoni mwake.
Kinachomsumbua Lissu ni mihemuko iliyopita kiasi,kukosa umakini,kuongea ongea hovyo hovyo kwa kila neno linalomjia Mdomoni,kukosa mpangilio na maandalizi ya nini akaongee jukwaani,kujiona anajuwa kila kitu na yupo sahihi kwa kila kitu na yeye ndiye ana akili kuliko mwingine yeyote yule, na kwamba watanzania wote walio mbele yake ni wajinga na ndio maana anataka awaambie ujinga wowote ule akifikiria wanameza na kunyonya tu kama madodoki.
Ndio maana unaona kuna mambo Ambayo unaona yalipaswa kuzungumzwa kwenye vikao vyao vya ndani lakini utaona yeye akiongea kwa kuripuka jukwaani. Kwa sababu ni mtu aliyekosa utulivu,Busara, hekima,staha na nidhamu ya kuchunga ulimi anaopaswa kuwa nao kiongozi.Ndio maana habari zake hazichukuliwi kwa uzito wowote ule.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Japo napinga sana mabandiko yako, kuna ukweli fulani katika hoja hii. Ile dhana ya collective responsibility kwake haipo kabisa.Ndugu zangu Watanzania,
Kujenga chama, kueneza chama ,kuongeza wanachama na wafuasi,kupata kura za ndio kutoka kwa watu inahitaji akili, umakini,sera,ajenda zenye kugusa maisha ya watu. Inahitaji kuwa na sera mbadala zidi ya yule aliyepo madarakani,inahitaji ushawishi wa hoja nzito na sera bora zenye kuleta matumaini kwa watu. Inahitaji mpangilio mzuri wa mawazo na akili iliyotulia. Siyo suala la kufanya mikutano mingi wala kutembelea vijiji vingi wala kusafiri umbali mrefu wala kuongea muda mrefu jukwaani.
Ili ufanikiwe kuteka hisia na mawazo ya watu na kupata uungwaji mkono , inategemeana unazungumzia nini? Sera zako ni zipi kwa kila kundi? Ni lazima watu waone Tumaini kabla ya kukupa imani yao.
Ukiangalia na kufuatilia kwa umakini ziara za Lissu kwa hakika utagundua kuwa ni za kupoteza nguvu na kujichosha tu mwili na akili na zisizo na matokeo yoyote Chanya kwa CHADEMA. Kwa sababu hakuna kitu chochote kile chenye kugusa hisia na maisha ya watu unachoona akizungumza na kutoa katika mdomo wake .hana mpangilio wa mawazo wa kuelewa lengo lake ni lipi.ni mtu anaongea tu kulingana na litakalomjia kichwani mwake.
Mfano utasikia yupo jukwaani anaongea kuwa sijuwi chama kilimpokeaje Nyarandu? Swali linakuja jambo hili linawagusa na kuwahusu vipi Wananchi? Lina tija gani kwao? Wao ndio waliompokea? Halafu hapohapo kwa usahaulifu wake anasahau kuwa mtu huyo huyo anayemshambulia aliacha ubunge wake na akaungana nao na akaenda hadi hospitalini kumjulia hali. hapa unaweza kuona Lissu ana matatizo fulani kichwani mwake yaliyo makubwa sana.
Kiufupi ni kuwa mikutano yake haina ajenda wala sera, na ndio maana amekuwa mtu wa kutunga uongo,uzushi, uchonganishi na habari za kupikwa zisizo na ushahidi wala ukweli wa aina yoyote ile zaidi ya maneno matupu ya kizushi na chuki binafsi. Ndio maana unaona na kushuhudia hata habari zake zikiwa hazina msisimko wala kuteka mijada ya kisiasa wala kuwagusa wenye akili Timamu na wanaojitambua.kwa kuwa ni mtu anayejizungumzia tu lolote linalotangulia kutoka mdomoni mwake.
Kinachomsumbua Lissu ni mihemuko iliyopita kiasi,kukosa umakini,kuongea ongea hovyo hovyo kwa kila neno linalomjia Mdomoni,kukosa mpangilio na maandalizi ya nini akaongee jukwaani,kujiona anajuwa kila kitu na yupo sahihi kwa kila kitu na yeye ndiye ana akili kuliko mwingine yeyote yule, na kwamba watanzania wote walio mbele yake ni wajinga na ndio maana anataka awaambie ujinga wowote ule akifikiria wanameza na kunyonya tu kama madodoki.
Ndio maana unaona kuna mambo Ambayo unaona yalipaswa kuzungumzwa kwenye vikao vyao vya ndani lakini utaona yeye akiongea kwa kuripuka jukwaani. Kwa sababu ni mtu aliyekosa utulivu,Busara, hekima,staha na nidhamu ya kuchunga ulimi anaopaswa kuwa nao kiongozi.Ndio maana habari zake hazichukuliwi kwa uzito wowote ule.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.