Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,320
nashanagaa zizzou master unamlinganisha na mtu mwenye dani moja
Ile mechi ukiangalia wachezaji Wa ufaransa walikuwa wakipata mpira hawaoni pa kupeleka maana wabrazil walikuwa mafundi ikawa wanampa zidane ndie anapandisha timu
Hii sio kigezo, kwani mchezaji asipo hama team hata kuwa boraXavi wasnt better than Zizou,ubora unaonekana hata ukihama timu moja kwenda timu nyingine.Xavi ameenda timu ipi nyingine akaproove bado ni bora?Diego folan kuna Man U alichemsha.Angalia Claude makelele hata alipohama Real kwenda Chelsea alifanya kazi yake ile ile.Zizou was the best!
Huo ndo ukweli mkuu,ukubali ukatae ukweli utabaki ukweli tu
Huo ndo ukweli mkuu,ukubali ukatae ukweli utabaki ukweli tu
Mimi niliangalia world cup ya 1990 wakati huo ni enzi ya kina peter shilton,Gary linekar,kina careca,Kina Dunga<kina Roger milla,Kina Thomas Nkono,Maradona,na weeengi ila Zizzou is the BestUnajua watu wanazungumza kiushabiki sana, na ukiona mtu anakimbilia statistics ujue hana uhalisia wa wahusika.
Mimi nimeanza kuangalia mpira miaka ya 1997, mara ya kwanza kumwona Zizzou ni World Cup 1998, alipewa red card kwenye makundi, timu ilisua sua sana, mpaka alivyorudi na kuwaua kina Ronaldo ambao walikuwa moto, si kidogo. Mpaka tukasema Ronaldo amerogwa kifafa.
World Cup 1998 Final France Vs Brazil:
Weka mpira tupa maneno!
Mimi niliangalia world cup ya 1990 wakati huo ni enzi ya kina peter shilton,Gary linekar,kina careca,Kina Dunga<kina Roger milla,Kina Thomas Nkono,Maradona,na weeengi ila Zizzou is the Best
Mkuu hata kama hukucheza mpira wa makaratasi umetizma mpira.Ziziou amedumu,Dinho aliwika kwa mda mfupi saana kama kina kinston Romario.Maradona nilimwona world cup ya 2004 USA, hakufanya maajabu sana kipindi kile.
Nakumbuka Final ya Brazil vs Italy ambayo Roberto Baggio anakosa penalty, kina Cafu, Dunga, Bebeto na wenzake hakuna wa kumlinganisha na Zizzou kwa kizazi chetu hiki.
Ningetamani kusema Dinho aliweza kuni-impress zaidi lakini Zizzou had the longevity kwenye game, was a decider kwenye game ngumu.
Ubora wa zizzou Zaidi ya Xavi sijui una maananisha nini? Maana hizo statistics zinaonesha kuwa Xavi yupo juu ya Zidane.
Mkuu hata kama hukucheza mpira wa makaratasi umetizma mpira.Ziziou amedumu,Dinho aliwika kwa mda mfupi saana kama kina kinston Romario.
Owk sawa mkuu hayo magoli 8 ya Inzaghi amejumlisha Uefa, Uefa super cup na Fifa club world cup....sasa hebu tumuangalie Messikuna mahusiano gani kati ya Baloon d or na fainali? hapo juu tumezungumzia uwezo wa kumaliza fainali.
Messi anagoli 9 za fainali kama alizocheza Inzaghimwenzako fainali tatu mfululizo katupia goli 5 liverpool wanamjua, sevilla wanamjua, Boca juniors wanamjua. jumla ana goli 8 alizofunga fainali, huyu ndio pippo, ukiskia tu pippoooooo ujue tayari kitu kipo nyavuni.
'Messi & Ronaldo cannot touch my record' - Inzaghi - Goal.com
na huyu jamaa alikuwa ni super sub, ye anaanza nje baadae akitoka crespo au shevchenko ujue anaingia kuja kuwamaliza. alikua analijua goli vibaya mno.
siku Messi au Ronaldo akifikisha goli 8 za fainali njoo unishtue. na hapa nazungumzia zile fainali kubwa za continental au za kidunia usije ukaniletea sijui copa de la rey na ngao za hisani. maana hizo wanatupia nyingi nyingi.
Statistics zishawekwa mwanzoni wa Uzi, sijajua unabisha nini.....kama unazako zilete hapastatistics zipi?
-xavi ana baloon d or ngapi?
-xavi ame dictate fainali ngapi?
-xavi kafikisha goli 144? (nimeeka link mtoa mada amedanganya idadi ya magoli ya zidane)
-xavi kawa player of tournament ngapi?
Zizzou machine ingine,messi cristiano hawamfiikii.Zizzou anabadilisha game kabisaNUMBERS DONT LIE
ZIDANE
GAMES:820
GOALS 103
ASSISTS 92
TROPHIES 11
XAVI HERNANDEZ
GAMES 767
GOALS 108
ASSISTS 204
TROPHIES 28
#IN THEIR PEAK XAVI WAS BETTER THAN ZIZOU....!!!
Mihemko hii sasa....Zidane Uwezo wake haujafika hata robo ya Messi.....Zidane tunamuweka daraja moja na Iniesta au XaviZidane ana uwezo mkubwa sana, mercy hamfikii kabisa, wala ronaldo wa ureno.
enzi zake alikuwa anamfuata kwa nyuma ronadinyo...ambaye sijaona mpira mzuri kama wa yule jamaa hadi sasa.