Zidane au Xavi, nani alikuwa bora?

NUMBERS DONT LIE

ZIDANE
GAMES:820
GOALS 103
ASSISTS 92
TROPHIES 11

XAVI HERNANDEZ
GAMES 767
GOALS 108
ASSISTS 204
TROPHIES 28

#IN THEIR PEAK XAVI WAS BETTER THAN ZIZOU....!!!


Naona mimi ndiye zaidi ya hawa jamaa kwani nimeona mechi zao zote na kuassist mechi nyingine pia. Nilikunywa vikombe vya bia (trophies) visivyohesabika na kupiga magoli (kukojoa) ya hajabu si chini ya elfu kadhaa.
 



Maradona alikuwa mshenzi *****.anakokota kijiji kizima kama 2navyomuona mdogo wake king leo Messi. Argentina imebalikiwa aise. Wanamajembe yaloenda shule bwana. Achana nahao mbirimbi.
 
Haaa...kwa Messi hajaenda nje ya Barcelona but ni habari nyingine kila mtu anajua...
Zidane is the best
 
Zizzou bila ubishi!

Hata 'impact-wise' naamini alikuwa nayo kubwa kuliko Xavi ingawa haimaniishi Xavi ni mbovu.
 
Zizou ni habari nyingine
Xavi ni kule tu kupiga pasi nyingi kulikotokana na mfumo na utamaduni wa Catalunya ila kipaji asilia Zizou ni fundi haswa.
Nina mafundi wangu asilia wengine ngoja niwaongeze hapa :
1.Gaucho - Brazil
2.Riquelme - Argentina
3.Redondo - Argentina
4.Gascoigne Paul Gazza - England
5.Hussein Aman Masha - Tz ( Ingawa hafahamiki huko duniani ila mimi nilimuelewa sana those days )
6.Edibily Jonas Lunyamila ( Nitaendelea kumuelewa mpaka kesho hata kama hafahamiki huko duniani)
 
Naomba mjadala ufungwe hapa. Umemaliza kila kitu hapa.
 
mwaka ule wa 98 kila mtu zidne wa ufaransa hadi kina mama wakapenda mpira duhh zizzou huyu

Miaka ile wabongo wengi tulikuwa ni washabiki wa Brazil, kwa sababu ni timu ilikuwa na record nzuri na ilikuwa na weusi kadhaa, bila kusahau kwamba timu ilikuwa na Ronaldo de Lima ambaye ndo alikuwa nuru kipindi hicho.

Ile game Zizzou anapiga magoli yale mawili lakini bado tunaamini yatarudi tu, mpaka Emmanuel Petit anafunga goli la tatu ndo tukakata tamaa, mi nilikuja kunyoosha mikono Euro 2000, mzee mzima akiwa na kampani ya Thiery, Wiltord, Trezeguet, Vieira, Pires, Thuram...

Nakumbuka Spain na Italy walivyoteseka chini ya Zizzou.
 
Now am talking to someone who watched soccer at its Best.Baada ya hao watu ndio kina Zizou watoto wa jana wanazungumzia soccer leo,mchezaji akiguswa anajidondosha eti wanalindwa.Usenge mtupu.
 
Kwahyo point yako ya kumsupport zidane ni kuhama timu au sio ..... rekebisha hapo kwanza au utuambie kwamba zidane ni bora kwasabab kahama(tuthibitishe ujinga wako) ndio tuendelee ... NI HOJA YA KIJINGA HYO NA IMENIKWAZA SANA YAN .
Umeanza kuangalia mpira lini?kuna ligi ni laini na ligi ni ngumu kijana.Ili uwe bora lazima uonekane kwenye ligi tofauti uwe na watu tofauti kwenye combination,uonyeshe kuibeba timu.Ujimga wako wakusoma mwanaspoti,bingwa na kuenda vibanda umiza usiulete humu.
 
5.Hussein Aman Masha - Tz ( Ingawa hafahamiki huko duniani ila mimi nilimuelewa sana those days )
6.Edibily Jonas Lunyamila ( Nitaendelea kumuelewa mpaka kesho hata kama hafahamiki huko duniani)

Mkuu kweli wewe ni mpenzi wa soccer, mimi ni mshabiki wa Simba damu ila kwa Lunya Lunya sina ubishi, alikuwa akishika tu mpira nazima radio, baada ya dakika kama mbili ndo nawasha kusikiliza kama hakijanuka, maana ile "Lunyamila, anapiga chenga ya kwanza, ya pili, anakuja Kasongo Athumani kumkaba anakula chenga, etc etc" ilikuwa inanipa presha.

Hussein Aman Masha hajawahi kutuangusha wana Simba wala Taifa Stars, kama kiungo au mkoba, penat hakosi hata uweke makipa wanne golini.
 
Baada ya Pelle na Maradona!Kipaji halisi ni Ronaldo De Luis Nazario Lima (The Phenomenon)ndicho kipaji halisi kilichowahi kutokea katika uso wa dunia katika karne za karibuni labda kidogo Ronaldo De Asis Moreira a.k.a( Ronaldnho )alijaribu kukikarbia kipaji cha Lima...kina Zidane na hao kna xav plus current Messi & Chrstiano Ronaldo zlkua mvua za msimu kutegemea wameamkaje au wamecheza na nan..nmemaliza ....haya ata Ibrahimovic aliwahi kukiri
 
kwa kizazi chetu cha 80`s hatutokaa tumuone mchezaji mwingine ka ZIZOU,acheni kumlinganisha ZIDANE na vitu vya kijinga,hasa kama umewahi kumwona anvyochezea ngozi ya ng`ombe ila kama umesimuliwa tu hauwezi kutuelewa hapa tunachomaanisha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…