Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

Nipo nao hapa nasubiri walewe watoe tumiguu twa kuku na Mimi nitoe sindano zangu za metacephlin nimechoka kuonewa
🤣🤣🤣🤣 kwani una mpango wowote wa kuiondoa madarakani serikali kinyume na katiba? Au unapanga ugaidi, au unataka kutengeneza bio-weapons? Kama ndio mpango wako basi kaongeze sindano 🤣🤣
 
Presidential Security Unit (P.S.U)


Mostly huwa ni makomando
Ndugu, upo sahihi kuhusu PSU lakini tambua hivi;
PSU inaundwa na idara zifuatazo
1. TISS- Hawa ndiyo waratibu wakuu wa ulinzi wa rais. Ndani ya TISS Kuna kitengo Cha ulinzi wa viongozi wakuu wa kitaifa ( mashuhuri)

2. Jeshi la polisi - kwa kushirikiana kwa ukaribu na TISS, polisi kupitia kitengo Cha VIP protection unit Wana askari maalumu kwa ajili ya ulinzi wa executive leaders.

JWTZ haihusiki moja kwa moja na ulinzi wa rais, labda itokee uhitaji wa kutoa nguvu ya kiulinzi kwa vyombo tajwa hapo juu ( yaani TISS na polisi).
 
USSS wanahusika na kusaka maghaidi toka lini?
Mkuu ushasahau au unajisahaulisha au umechoka kuelewa. Kwani waliofanikisha kumuua Saddam Hussein, Osama Bin Laden na magaidi wengine wengi Eritrea, Iraq na Pakistan sio CIA wa USA? Ni kweli unakataa kwamba TISS haiwezi kushirikiana na vyombo vingine vya usalama nchi nyingine? Like seriously?
 
Mkuu ushasahau au unajisahaulisha au umechoka kuelewa. Kwani waliofanikisha kumuua Saddam Hussein, Osama Bin Laden na magaidi wengine wengi Eritrea, Iraq na Pakistan sio CIA wa USA? Ni kweli unakataa kwamba TISS haiwezi kushirikiana na vyombo vingine vya usalama nchi nyingine? Like seriously?
CIA ni agency tofauti kabisa na USSS!! Dhima tofauti kabisa.

Hulijui hilo?

Halafu Saddam Hussein hakuuliwa na CIA.

Na waliomkamata hawakuwa CIA.
 
Nasikia mapadri karibia wote ni TISS husikiliza dhambi za mtu wakati wa kuungama na kukusanya taarifa kuna ukweli wowote?

Nasikia pia baadhi ya waganga wa jadi ni usalama je kuna ukweli wowote?
🤣🤣🤣🤣 hii kali na wala sijaisikia. Ila radia kusoma andiko langu nimesema wapo watu wanaofanya kazi maalum kwa wakati maalum na wakasaidia kutoa taarifa maalum, wengine hata pasipo kujua. Hivyo usimwondoe yeyote kwasababu zozote lakini usimhisi yeyote kwasababu zozote.
 
Kwani USSS umeitoa wapi, sikumbuki kuiandika mimi, labda nilikosea. Lengo kuandika USA.

Sijasema CIA ndio imeua, soma vizuri.
Kuna mtu kakuuliza kuhusu uwepo wa USSS huku Tanzania.

Ulivyomjibu wewe ndo nami nikakunukuu kukufahamisha kuwa USSS hawahusiki na chochote kuhusu CIA.

Ni agency mbili tofauti kabisa..
 
Back
Top Bottom