Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahh😂😂😂Presidential Security Unit (P.S.U)
Mostly huwa ni makomando
Sio usalama wa taifa hao 😊Wengi siku hizi wanajitangaza
Anaboa kinyama sometimes 😂 raraa rereeraraa reree acha kutoa like changia basi
🤣🤣🤣🤣 kwani una mpango wowote wa kuiondoa madarakani serikali kinyume na katiba? Au unapanga ugaidi, au unataka kutengeneza bio-weapons? Kama ndio mpango wako basi kaongeze sindano 🤣🤣Nipo nao hapa nasubiri walewe watoe tumiguu twa kuku na Mimi nitoe sindano zangu za metacephlin nimechoka kuonewa
Ndugu, upo sahihi kuhusu PSU lakini tambua hivi;Presidential Security Unit (P.S.U)
Mostly huwa ni makomando
USSS wanahusika na kusaka maghaidi toka lini?Ndio wanaweza, fikiria inatokea nchi hizi mbili zinawasaka magaidi...? Ukisoma vyema post yangu nimejibu swali hili.
anhaaa! na ndio maana simba wamewapa "thank you" waganga wao itakuwa wamewashitukia...🤣🤣Nasikia mapadri karibia wote ni TISS husikiliza dhambi za mtu wakati wa kuungama na kukusanya taarifa kuna ukweli wowote?
Nasikia pia baadhi ya waganga wa jadi ni usalama je kuna ukweli wowote?
Mkuu ushasahau au unajisahaulisha au umechoka kuelewa. Kwani waliofanikisha kumuua Saddam Hussein, Osama Bin Laden na magaidi wengine wengi Eritrea, Iraq na Pakistan sio CIA wa USA? Ni kweli unakataa kwamba TISS haiwezi kushirikiana na vyombo vingine vya usalama nchi nyingine? Like seriously?USSS wanahusika na kusaka maghaidi toka lini?
CIA ni agency tofauti kabisa na USSS!! Dhima tofauti kabisa.Mkuu ushasahau au unajisahaulisha au umechoka kuelewa. Kwani waliofanikisha kumuua Saddam Hussein, Osama Bin Laden na magaidi wengine wengi Eritrea, Iraq na Pakistan sio CIA wa USA? Ni kweli unakataa kwamba TISS haiwezi kushirikiana na vyombo vingine vya usalama nchi nyingine? Like seriously?
🤣🤣🤣🤣 hii kali na wala sijaisikia. Ila radia kusoma andiko langu nimesema wapo watu wanaofanya kazi maalum kwa wakati maalum na wakasaidia kutoa taarifa maalum, wengine hata pasipo kujua. Hivyo usimwondoe yeyote kwasababu zozote lakini usimhisi yeyote kwasababu zozote.Nasikia mapadri karibia wote ni TISS husikiliza dhambi za mtu wakati wa kuungama na kukusanya taarifa kuna ukweli wowote?
Nasikia pia baadhi ya waganga wa jadi ni usalama je kuna ukweli wowote?
Kwani USSS umeitoa wapi, sikumbuki kuiandika mimi, labda nilikosea. Lengo kuandika USA.CIA ni agency tofauti kabisa na USSS!! Dhima tofauti kabisa.
Hulijui hilo?
Halafu Saddam Hussein hakuuliwa na CIA.
Na waliomkamata hawakuwa CIA.
US wana idara kama 12 hivi zikiunganishwa na CIA.Swali lingine, hivi US secret service wanaweza wakawepo hadi huku tz?
Kuna mtu kakuuliza kuhusu uwepo wa USSS huku Tanzania.Kwani USSS umeitoa wapi, sikumbuki kuiandika mimi, labda nilikosea. Lengo kuandika USA.
Sijasema CIA ndio imeua, soma vizuri.