Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

🤣🤣🤣🤣 kwani una mpango wowote wa kuiondoa madarakani serikali kinyume na katiba? Au unapanga ugaidi, au unataka kutengeneza bio-weapons? Kama ndio mpango wako basi kaongeze sindano 🤣🤣
Mkuu Sina mpango huo Ila Nina mpango wa kumchukua demu mmoja hapa naona na wao wanamtolea macho najua lazima nikiingia room lazima kiumane na Mimi ndiyo maana nimetembea na sindano ,ready to fight siwezi kufa kiboya boya wakati hata baba alikuwa tighter vile vile
 
anhaaa! na ndio maana simba wamewapa "thank you" waganga wao itakuwa wamewashitukia...🤣🤣
Hakuna watu wanao ongoza kwa kupata taarifa za moto kama waganga na mapadri

Wanajua siri nyingi pia wana connection balaa

Mganga konki huwezi kumlaza polisi hata siku moja, yy akifika tu hapo kaunta utashangaa anaachiwa hapo hapo
 
Embu mkuu tufafanulie tofauti ya intelejensia ya polisi na shughuki zao.

Ya jeshi la Wananchi na shughuli zao.

Na Tiss
Hii ni mada nyingine ya muda mwingine. Niseme tu kwamba intelligence kwa namna ya bandiko langu inahusu usalama wa taifa ambao kazi yake ni kuilinda dola sio kusimamia sheria kama ilivyo kwa polisi au kulinda mipaka ya nchi kwa silaha za kijeshi kama ilivyo JWTZ. Intelligence kama ilivyo jina lake ni chombo au idara ya juu sana cha taifa lolote ulimwenguni kiakili, taaluma na ukusanyaji, uchambuzi, au mchakato wa TAARIFA zote zinazoashiria ujio au uwezekano wa taifa kutokuwa salama.
 
Mkuu Sina mpango huo Ila Nina mpango wa kumchukua demu mmoja hapa naona na wao wanamtolea macho najua lazima nikiingia room lazima kiumane na Mimi ndiyo maana nimetembea na sindano ,ready to fight siwezi kufa kiboya boya wakati hata baba alikuwa tighter vile vile
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom