spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Wametapakaa all over the world sehem nyingine wanakuja kama volunteers experts etcSwali lingine, hivi US secret service wanaweza wakawepo hadi huku tz?
USSS hawajatapakaa dunia nzima!Wametapakaa all over the world sehem nyingine wanakuja kama volunteers experts etc
Na sisi tunao maafisa wetu wengi ughaibun
Mkuu Sina mpango huo Ila Nina mpango wa kumchukua demu mmoja hapa naona na wao wanamtolea macho najua lazima nikiingia room lazima kiumane na Mimi ndiyo maana nimetembea na sindano ,ready to fight siwezi kufa kiboya boya wakati hata baba alikuwa tighter vile vile🤣🤣🤣🤣 kwani una mpango wowote wa kuiondoa madarakani serikali kinyume na katiba? Au unapanga ugaidi, au unataka kutengeneza bio-weapons? Kama ndio mpango wako basi kaongeze sindano 🤣🤣
Hakuna watu wanao ongoza kwa kupata taarifa za moto kama waganga na mapadrianhaaa! na ndio maana simba wamewapa "thank you" waganga wao itakuwa wamewashitukia...🤣🤣
Ndio wanaweza, fikiria inatokea nchi hizi mbili zinawasaka magaidi...? Ukisoma vyema post yangu nimejibu swali hili.
Mkuu, the 'US Secret Service' wapo tasked kusaka magaidi?
-Kaveli-
Ndo hata mimi nimeshangaa!
USSS imeanza lini kusaka maghaidi? 🤣
Anaboa nini jamani? raraa reree kandamiza tu.Anaboa kinyama sometimes 😂 raraa reree
Nimesha kukandamizia na wewe FaizaFoxy 😊
hao ni ma "informer" tu, ingawa mashushushu hawakosi sehemu nyeti kama hizo.Nasikia mapadri karibia wote ni TISS husikiliza dhambi za mtu wakati wa kuungama na kukusanya taarifa kuna ukweli wowote?
Nasikia pia baadhi ya waganga wa jadi ni usalama je kuna ukweli wowote?
hao ni ma "informer" tu, ingawa mashushushu hawakosi sehemu nyeti kama hizo.
Hii ni mada nyingine ya muda mwingine. Niseme tu kwamba intelligence kwa namna ya bandiko langu inahusu usalama wa taifa ambao kazi yake ni kuilinda dola sio kusimamia sheria kama ilivyo kwa polisi au kulinda mipaka ya nchi kwa silaha za kijeshi kama ilivyo JWTZ. Intelligence kama ilivyo jina lake ni chombo au idara ya juu sana cha taifa lolote ulimwenguni kiakili, taaluma na ukusanyaji, uchambuzi, au mchakato wa TAARIFA zote zinazoashiria ujio au uwezekano wa taifa kutokuwa salama.Embu mkuu tufafanulie tofauti ya intelejensia ya polisi na shughuki zao.
Ya jeshi la Wananchi na shughuli zao.
Na Tiss
Kila mmoja ana maana yake, kwamimi "shushushu" ni mwenyewe UWT na "informer" ni mtoa habari kwa mashushushu.Mkuu Faiza, naomba kufahamu... nini tofauti kati ya 'Informer' na 'Shushushu'? kivigezo na kimajukumu.
-Kaveli-
🤣🤣🤣Mkuu Sina mpango huo Ila Nina mpango wa kumchukua demu mmoja hapa naona na wao wanamtolea macho najua lazima nikiingia room lazima kiumane na Mimi ndiyo maana nimetembea na sindano ,ready to fight siwezi kufa kiboya boya wakati hata baba alikuwa tighter vile vile
Mkuu usicheke kitaumana leo ,utaisikia kwenye chombo Cha nchi soon maana washaanza kuniangalia kwa macho ya kutamani kunipiga mikwara