Zifahamu adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa zamani

Haya itakua yameandikwa na wenzake yohana,pale tabora enzi za mwalimu Kuna mwamba wa kigoma alihukumiwa kinyongwa,kitanzi hakikufanya kazi,mnyongaji akampopotoa shingo,kabla mnyongwaji alimuuliza mnyongaji kitanzi si imeshindikana kwa nini unakomalia kuniua!?..yule mnyongaji kilichompata baada ya pale ni historia
 
Kuna miaka huko mbele natumaini hata tozo kubwa kwa watu masikini na watu kusimama barabarani wakimsubiri kiongozi apite zitaonekana ni adhabu za ajabu.
Umewaza kama mimi,niliwahi kuona picha mkoloni kabebwq kwenye kiti na watumwa wake nikasema hawa wajinga kwa nini wasimbwage chini wakakimbia,ila baadae nikagundua wale walikuwa sawa na madereva wa ikulu kwa sasa
 
kuna moja unafungwa kamba kichwani na miguuni kwa farasi then kila farasi anaenda direction yake unachanika katikati
 
Them go feel it
Them go run it now
Them go hold it
Them go
👉 I mean no malice to nobody
 
Umesahau na ile alikua akiitoa ragna kwenye vikings.. anakufunga mikono na miguu kwenye miti afu anaanza kuufungua mgongo mdogo mdogo kama anachonga kinyago Cha kimakonde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…