inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Haya itakua yameandikwa na wenzake yohana,pale tabora enzi za mwalimu Kuna mwamba wa kigoma alihukumiwa kinyongwa,kitanzi hakikufanya kazi,mnyongaji akampopotoa shingo,kabla mnyongwaji alimuuliza mnyongaji kitanzi si imeshindikana kwa nini unakomalia kuniua!?..yule mnyongaji kilichompata baada ya pale ni historiaYohana aliyewahi kuwa mwanafunzi wa Yesu, alichunwa ngozi yote lakini hakufa. Walipoona hafi anaendelea kumkiri Yesu Kristo, wakaandaa mafuta mengi, wakayachemsha sana, kisha wakamdumbukiza, lakini pia hakufa. Wakaone wakamtupe kisiwani Patmo
View attachment 2471513