CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
- Thread starter
- #21
ambapo tunaenda kwa pafu hivyo mpk pafu ya ngapi mkuu?Mtume anasema kwamba unywaji mzuri wa maji ni pafu ya kwanza......pafu ya pili......halafu malizia na pafu ya tatu kwa kuzingatia interval
uislam haujaacha kitu (Mola anajua zaidi)