Zifuatazo ni Simu zinazoweza Kukutambulisha Wewe ni mtu wa aina gani

Kabisa, mwisho wa siku hamna tuzo kwenye kujitesa [emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa jeeee cha kufia niniiii me kitu nakipenda na ninaweza kununua acha nijipe furaha tu tutajua mbele kwa mbele
 
Niachie basi hiyo, ununue nyingine nami niweke historia.

[emoji1787][emoji1787] Wallah asiyekujua atapata tabu sanaaa subiri ikitoka 16 naweza kukufikiria
 
[emoji1787][emoji1787] Wallah asiyekujua atapata tabu sanaaa subiri ikitoka 16 naweza kukufikiria
Auntie ahadi ni deni ujue!! Na vile aifoni hawachelewagi😋😋
 
[emoji1787][emoji1787] Sasa jeeee uwezo unao fanya kile kinakupa furaha Amani leo upo kesho haupo
Hata kama na kesho upo, fanya yanayokupa raha..!! Hawa wa ana magari mengi lakini chooni ataenda kwa mguu tupa kule..!!
 
Una simu ya laki 5 halafu unatumia kuchat whatsapp, kuangalia movie na kusoma umbea kwenye social media.
Hapo na wewe unajiona una akili
Umenigusa mkuu, nina simu kali bei ya kiwanja kiasi nikiitoa tu huku kwa kina sie kanyampasira kijiji kinashangaa ila matumizi ndo hayo hayo sina zaidi hadi roho inaniuma kumbe kitu kinakuwa cha kawaida sana ukiwa nacho
 
Simu ya mezani umetusahau
 
Hamna hata moja ambalo ni relevant, from iphone samsung na google pixel.
Mwisho wa siku kila mtu anatumia simu tofauti, wapo wanaotumia for business, security, games, kuuzia sura. So utachagua. Ila hii generelization it is so so wrong man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…