Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Kuamini uchawi ni ujinga tu.

Na watanzania wengi wanaoamini uchawi ni wajinga.
 
Ibilisi atamtamani amchukue nae😀😀
 
Mimi toka nitake shortcut nikajikuta nimeharibu kila kitu,mpaka sasa sitaki shortcut

Niliamin kabisa maisha hayana shortcut

Hata kama utatumia shortcut,kumbuka kuna siku itafika utalazimika kutumia njia halali ambayo ni ndefu
Ni kweli Kila jambo Lina mwisho
 
Hiyo ya Misukule..jamaa kaenda dukani kwa Muhindi kununua bidhaa kumbe na misukule yake nayo inabeba kwa wizi. Wakati wa kulipa Muhindi anamuambia jamaa pesa unayolipa mbona haifanani na mzigo uliyonunua..akijumlisha na ile waliyokuwa wanabeba misukule(Muhindi alikuwa nae wamo).
Muhindi kwa kumkomoa akaitaifisha ile Misukule na jamaa utajiri ukaisha.
 
Kuna jamaa alipachikwa kidonda cha mgongoni, mpaka sasa anahangaika na kidonda ila Mali ipo. Kikitoa usaha, pesa zinaongezeka. Ila hii ni poa, unajitesa mwenyewe, hata Mungu anaikubali.
Mungu hahusiki na upumbavu kama huo acheni kumsingizia maana alisema "Me atakula kwa jasho"

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mhindi nae aliaga😲😲 dunia Ina mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…