Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kumbe ulishafikia hadi kumuota ndoto mbaya? Kaza roho mjini mipango hahaha wanadamu tunapitia mengi sanaWeeee sitaki matatizo,ndoto nilizokuwa namuota sina hamu,maana nilimchana live na anajua kuwa na jua sanaaa,ila ukaribu nae sitak Mimi,Ni salamu tu tena huwa ananianza yeye,na ana biashara nyingi na mabasi kibao ila akhaa sitaki mimi asije kunifanya ndondocha
Mwamba tunatishiana mno, basi nimeghairi, acha niambane na JamuhuriHao ulionao hata kama ni 10 litatengenezwa tukio mfano mnaenda ktk tukio la lazima labda safari ya mkoani,kuzika,harusini au vyovyote vile linatengenezwa buyu tena unapumbazwa usiweke tahadhari hadi baada ya tukio
Naam 😎Nimuweke mwamposa?
Hahaha umeelewa somo eeh? Kifanyio kitaenda iko[emoji28][emoji28]Mkuu basi yaishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mimi nisingeweza kuendelea nae. Kuna kali moja ya kutisha kuhusu mimi na ndugu zangu wakuzaliwa ila hawataki kutuweka wazi ni nani haswa alilengwa kutolewa mambo yakadunda yakageukia upande wa mloziNdio boss mke alikua mwanga Sasa akawa anakwepa kuwatoa watoto wake akamchagua mume wake mume ndo ivo kaaga
Kingine kama kipi? Chochote atakachotoa ndio kitakuwa kiteseo chake hapo muusie akaze roho amuepuke pepo wa tamaa ya haraka atakuja kumtesa na muda hautarudi nyuma tenaUsijaribu kutoa pumbu ndugu yangu[emoji3][emoji3] toa kitu kingn
Acha utani, mbona sisiemu wanafaidi?Lengo la ibilisi sio ww ufaidi ni uteseke mwisho uchoke afu uende na maji
Hatari mkuu
Yeye kwani ndugu amesema ameyashuhudia? Ebu soma kwa kutulia na amejaribu kushea nasi kile kidogo anachofahamu na balaza linachangamka,Rastaman hawi hivyo na kama wewe unalo lolote changia siku iende,peace be upon you[emoji351]Hayo yote uliyoyaandika hapo umesimuliwa , hakuna hata moja ulilolishuhudia kwa macho yako
Yapo mpaka nje ya ukingaHaya mambo wanayo wakinga aloo