shikamkono01
JF-Expert Member
- Mar 26, 2016
- 685
- 2,055
We jamaa bwege sana,kwako umekuwa mzigo tu au siyo?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nipeleke kwa huyu sangoma maana sina kazi nazo, ila mashine ifanye kazi kama kawa 😎 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa bwege sana,kwako umekuwa mzigo tu au siyo?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nipeleke kwa huyu sangoma maana sina kazi nazo, ila mashine ifanye kazi kama kawa 😎 😎
Hii sio msumbiji tu ata mbeya upo sema unaweka mfukoni ichokijiti af kunumuda kinapata motovibaya mnoo apo ndo wateja wanafulika mihela chekwachekwa,ila huo moto ndo utakomaKuna moja wanatumia kule msumbiji unapewa kijiti unakiweka kwenye mfuko wa kushoto wa shati au suruali kazi yako kila siku uwe unagonga demu mmoja mpya(note: usirudie kufanya mapenzi na mwanamke mmoja) kadiri unavyofanya mapenzi na wanawake wapya kila siku ndivyo utajiri wako unavyokuwa na kuimarika.. hii dunia ni jehanamu sometimess
Ndio hvyo, watu wanatoa wake zao, wengine wanazaa na mabinti zao kabisa yote sababu ya mali.
Yaani linatokea lakutokea mfano familia mnaenda outing mnapata ajali wote wanafamilia wanakufa unabaki wewe na mali zako na pumbu ushaitoa it means ghala la mbegu lishatoboka so mali zote zinakuwa hazina mrithi,ndio alichomaanishaWatoto wangu wanahusika nini si umesema kiungo kinapungua nguvu tu kuna kitu ulinificha, kuwa muwazi bwashee
Tako 3 tu walete[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie naomba unipe connection ya utajiri wa kupunguza nguvu. Nipo tayari kuwapa pumbu yangu moja...mtu mwenyewe mie nikitomba sana dakika mbili so wanaweza ichukua hiyo moja nibaki moja ni mzee wa dakika moja baadala ya dakika mbili
Music industry kwa ujumla.Pesa ya masharti huwa haina raha, nna jamaa yangu yupo DRC alishanishirikisha maswala hayo sharti ni kutoa jicho, nikakataa. Nilikutana na mama yake anasema mwanae anaogopa hata kurudi Tz sijui kwa nini. Ila inasemekana jamaa ni shoga kwa sasa.
Hii imenivutia nipe nondo zaidKuna moja wanatumia kule msumbiji unapewa kijiti unakiweka kwenye mfuko wa kushoto wa shati au suruali kazi yako kila siku uwe unagonga demu mmoja mpya(note: usirudie kufanya mapenzi na mwanamke mmoja) kadiri unavyofanya mapenzi na wanawake wapya kila siku ndivyo utajiri wako unavyokuwa na kuimarika.. hii dunia ni jehanamu sometimess
Aisee nilikua sijui, kwahiyo demu akishapitiwa tu anakuwa msagaji baada ya hapo.?Music industry kwa ujumla.
Ukianzia mambele tena wanawekaga wazi kwenye lyrics zao na Huwa hatustuki.
Mfano Eminem akimpitia demu hawi mzima anaenda kuwa lesbian na hii ni Moja ya SadakA yaan kumjoin mtu kwenye ushetani
Kosa kubwa akilala nae.Aisee nilikua sijui, kwahiyo demu akishapitiwa tu anakuwa msagaji baada ya hapo.?
Kula raha maisgja mafupi kwani aliyewekewa masharti ni wewe? Peleka idea zako za kibiashara upate uwezeshwaji ili kesho na keshokutwa akishushwa uwe unampiga tafu,sidhani km hayo masharti yake asipoyatekeleza km yana impact hadi kwa aliowawezesha na km ingekuwa hivyo wale matajiri waliopata kwa njia hyo watoto wao waliowasomesha shule bora elimu yao ingefutika vichwani mwao,omba upigwe jeki laana ni yakeNishakimbia mda,imebaki tu salamu tena akinikumbuka yeye,japo huwa namuonea huruma tu maisha aliochagua maana nilikuwa na mkubali sanaaa ni Gentleman.
Mbona kama umewaza mbali sana kwani hio ajali itasubiri hadi niume korodani yangu ndio itokee? tunatishana bhana!!!Yaani linatokea lakutokea mfano familia mnaenda outing mnapata ajali wote wanafamilia wanakufa unabaki wewe na mali zako na pumbu ushaitoa it means ghala la mbegu lishatoboka so mali zote zinakuwa hazina mrithi,ndio alichomaanisha
Mbona hatari sana hiyo, ni freemasons au ni mauza uza mengine?Kosa kubwa akilala nae.
Wako na SadakA za kutoa kabla hawajaachia ngoma mpya na kila show au matamasha Yao ni ibada... Na nyimbo zao ni curses kuelekea maisha yetu.
Tunapigwa peupeee.
Watoto wanatosha shavi nimechoka kutumia kondomu kuepuka mimba zisizotarajiwa 😎 😎We jamaa bwege sana,kwako umekuwa mzigo tu au siyo?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
We jamaa fala sana [emoji102] huyu mwana alipoambiwa unatoa jicho akajua la usoni kumbe mwanae kamaanisha jicho la rinda! Sasa kama ni jicho la usoni iweje awe shoga? Huyo ametoa jicho la kipwani[emoji176][emoji10]Jicho jicho au jicho la uku chn
Maisha yanatufanya tusifikirie kesho yetuNi kweli ila who cares?
Nimemuelewa jamaa Hana spikaWe jamaa fala sana [emoji102] huyu mwana alipoambiwa unatoa jicho akajua la usoni kumbe mwanae kamaanisha jicho la rinda! Sasa kama ni jicho la usoni iweje awe shoga? Huyo ametoa jicho la kipwani[emoji176][emoji10]