Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Mie naomba unipe connection ya utajiri wa kupunguza nguvu. Nipo tayari kuwapa pumbu yangu moja...mtu mwenyewe mie nikitomba sana dakika mbili so wanaweza ichukua hiyo moja nibaki moja ni mzee wa dakika moja baadala ya dakika mbili
Boss uko tayari kupungua makali ya kutomba? Una watoto wangapi?
 
But kabla ajaanza kula naakikisha namkimbiza ili achoke awe na njaa, anapumzika then ndipo anakuja kula mahindi.
Utajiri wa punje: hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri
 
But kabla ajaanza kula naakikisha namkimbiza ili achoke awe na njaa, anapumzika then ndipo anakuja kula mahindi.

😂😂😂
 
Mimi Nina marafiki zangu nilipokuja kujua kwamba Kuna mmoja ana macho lakini linaona Moja😀😀 mwingn pumbu anayo Moja (uyu ndo bwege kabisa)

Urafiki ulikata😀
Sasa kama mtu anaweza kutoa pumbu yake atashindwa kutoa kafara rafiki yake afu kwenye MSiba wako Alie sana aonekane Hana hatia
 
Back
Top Bottom