Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni trash kabisa😀 ndo maana vijijini ndo hutumia hiiChuma ulete ina limitations... Inakupa mahitaji muhimu tuu. Pesa yake huwezi hata kununua nguo nzuri sana sana utaishia malonya kwakuwa ukichuma sana kwa siku ni mwekundu na kuipata tena hiyo inaweza kukuchukua mpaka siku 14
😲😲😲 Kimbia haraka hapoKuna x wangu mmoja yeye nahisi anatumia utajiri wa hivyo,anamiliki mabasii ya mkoani jaman ,ila ukiambiwa huyu ndio anahayo magari unakataa Kwanza ni mdogo kwa maisha ya bongo umri ule kumiliki magar ya mkoa,afu yuko rafu,siyo mchafu ila hajui kupangilia kiasi kwamba ukionyeshwa ndio mmliki wa hayo magari lazima kengele kichwan zilie,afu kayapata gaflaa tu,ila siyo mchoyo ukimuomba hela ila sasa anatoa hela saa 12 jioni tu,tofauti na mda huo hakupi
Nipeleke kwa huyu sangoma maana sina kazi nazo, ila mashine ifanye kazi kama kawa 😎 😎hata pumbu.
Maendeleo ya short cut ni yale ya kufuata masharti ya aliyekuumba. Sharti la kwanza- Toa sadaka, sharti la pili- toa Zaka.Boss hakuna pesa ya shortcut isiyokua na mashariti
Akifa unakufaHii ndio shida, kwani kupewa dawa ndio nakuwa ndugu wa nyoka? akifa aletwe mwingine!
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Unazweza hata usiende makanisani kwao maana ni wengi ila hujui umuamini nani.Hawa wanaojiita ma prophet
Watoto wangu wanahusika nini si umesema kiungo kinapungua nguvu tu kuna kitu ulinificha, kuwa muwazi bwashee😀😀😀Aise Bora kidole pumbu achana nazo boss unapotoa pumbu watoto wako wanakufa unaanza kuhangaika kupata watoto nao hupati
Tunakusubiri uje utupe ushuhuda tena.Hizi zote sijawahi kuzitesti,ngoja nije nijaribu huo wa Nyoka Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
AmenMaendeleo ya short cut ni yale ya kufuata masharti ya aliyekuumba. Sharti la kwanza- Toa sadaka, sharti la pili- toa Zaka. Yote yafanye kwa moyo mkunjufu na utatoboa tu. Si utoe huku unalalamika lalamika, hapo hujafanya kitu. Aliyekuumba ni Mmiliki wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo ndani yake, na ni Mmoja tu na hana mshiriki, hajazaa wala hajazaliwa na ni wa milele.
Ila usitoe kwa wale matapeli wanaomiliki nyumba za ibada, na kuchangisha pesa kila kukicha na kujinunulia ma V8.
Fuatilia vizuri utaelewa tu.Kwamba zuwena anamgegeda mama yake?
Alistuka ukiwa umebaki mwaka mmoja. Ikabidi atumie ile pesa aliyoipata kumtafuata fundi zaidi ili ambakishe hai.YUpo hai? Alifanyeje ili kutoboa mpaka Sasa?[emoji3]
Umeshawahi ona supermarket kuna chumaulete?Kumbe ni trash kabisa[emoji3] ndo maana vijijini ndo hutumia hii