Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Kuna moja wanatumia kule msumbiji unapewa kijiti unakiweka kwenye mfuko wa kushoto wa shati au suruali kazi yako kila siku uwe unagonga demu mmoja mpya(note: usirudie kufanya mapenzi na mwanamke mmoja) kadiri unavyofanya mapenzi na wanawake wapya kila siku ndivyo utajiri wako unavyokuwa na kuimarika.. hii dunia ni jehanamu sometimess
unaweza hisi ni rahisi ila kugonga kila siku ni mziki mnene

alafu kuna ka nguvu ka kichawi lazima kawepo kukuchosha
 
Tembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja😀 neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.

👉Utajiri wa Shilingi: hapa unapewa coin inakua inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo)

👉Utajiri wa nyoka: hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara

👉utajiri wa kafara: huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova.
Au mtu anafunga ofisi au taasisi alafu watumishi ndo wanateketea

👉Utajiri wa kidonda: hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.

👉utajiri wa kupunguzwa nguvu: hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi ,unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.

👉Misukule : hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba

👉Utajiri wa punje: hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri

👉Utajiri wa Chuma ulete: huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka🤣🤣.

Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu Wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani Kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri

Nawasilisha
Mkuu kuna kitu umeficha, ama mwenyewe haukifahamu!

Utajiri wa "kanyoka", "kafara" na"punje", mwisho wake siyo kufirisika tu, huwa na kifo pia.

Mfano huo wa vipunje, jogoo akidonoa vipunje viwili, ndiyo miaka yako ya kutesa na utajiri na ndiyo idadi ya miaka yako ya kuishi.


Tukija kwenye kanyoka hivyo hivyo, ukikiuka masharti kakafa, na wewe ndiyo mwisho wako.
 
Huo wa kuua wafanyakazi naona unakuja kuwa fashion Sana....
Wafanyakazi wana vinasaba Gani...na utajir....
Mm Huwa natamani research zifanyike yaan pale UDSM ianzishwe department ya witchcraft & associates
Najuuliza Nchi kama Norway ni namba Moja kwenye Fishing industry

Nchi ZILIZO undergo Industrial revolution na wenyewe wana amini KATIKA ushirikina....????

Bado tunasafari ndefu sana kama taifa....
 
Utajiri wa nyota za watu - Wanautumia sana manabii, mitume, wachungaji n.k kwa kuiba nyota za watu wenye mafanikio na kuzigeuza kuwa mafanikio yao na familia zao...

Aina hii ya uchawi hufanywa pia na aina ya waganga wa nyota, huiba nyota ya mtu mmoja na kuikabidhi kwa mtu mwingine...

Hawapo mbali pia baadhi ya masheikh na wanazuoni waliobobea katika elimu za nyota...

NB: Hizi sio nyota zile za unajimu
 
Tembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja[emoji3] neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.

[emoji117]Utajiri wa Shilingi: hapa unapewa coin inakua inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo)

[emoji117]Utajiri wa nyoka: hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara

[emoji117]utajiri wa kafara: huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova.
Au mtu anafunga ofisi au taasisi alafu watumishi ndo wanateketea

[emoji117]Utajiri wa kidonda: hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.

[emoji117]utajiri wa kupunguzwa nguvu: hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi ,unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.

[emoji117]Misukule : hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba

[emoji117]Utajiri wa punje: hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri

[emoji117]Utajiri wa Chuma ulete: huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka[emoji1787][emoji1787].

Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu Wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani Kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri

Nawasilisha
Santos06 chuma ulete ni pepo la kimasikini haliwezi kumpa mtu utajiri zaidi ya kula yake ya siku tena chakula duni cha kawaida mno
 
Ukifanikiwa kidogo watu huwa wanaamua kukutengenezea stori ambayo hujawahi kuiishi
Hasa hizi biashara za usafirishaji huwa kuna changamoto nyingi sana unajitahidi uiweke gari kwenye hali nzuri na marekebisho ya mara kwa mara unafunga tairi mpya ila zinapasuka gari inaanguka inaua watu Unaambiwa umetoa kafara.

Unapambana had na madereva wako unawaambia hutaki gari zako zikimbie, zifate utaratibu na Sheria za barabarani hutaki ligi ila unakuja kusikia bus imegongana uso kwa uso na imeua watu 9 na wafanyakazi wote waliokua wamekaa mbele na chanzo Cha ajali ni Lori lililo overtake bila tahadhari ila stori itatengenezwa kuwa mmliki wa bus ndo umetoa kafara
 
Ukifanikiwa kidogo watu huwa wanaamua kukutengenezea stori ambayo hujawahi kuiishi
Hasa hizi biashara za usafirishaji huwa kuna changamoto nyingi sana unajitahidi uiweke gari kwenye hali nzuri na marekebisho ya mara kwa mara unafunga tairi mpya ila zinapasuka gari inaanguka inaua watu Unaambiwa umetoa kafara.

Unapambana had na madereva wako unawaambia hutaki gari zako zikimbie, zifate utaratibu na Sheria za barabarani hutaki ligi ila unakuja kusikia imegongana uso kwa uso na imeua watu 9 na wafanyakazi wote waliokua wamekaa mbele na chanzo Cha ajali ni Lori lililo overtake bila tahadhari ila stori itatengenezwa kuwa mmliki ndo umetoa kafara
Mkuu watu tayari wame generalize mambo, hii ni kutokana na story tunazozisikia tangu tunakua kwenye jamii inayotuzunguka na vingi tunaamini pasi na ushahidi
 
Ukifanikiwa kidogo watu huwa wanaamua kukutengenezea stori ambayo hujawahi kuiishi
Hasa hizi biashara za usafirishaji huwa kuna changamoto nyingi sana unajitahidi uiweke gari kwenye hali nzuri na marekebisho ya mara kwa mara unafunga tairi mpya ila zinapasuka gari inaanguka inaua watu Unaambiwa umetoa kafara.

Unapambana had na madereva wako unawaambia hutaki gari zako zikimbie, zifate utaratibu na Sheria za barabarani hutaki ligi ila unakuja kusikia bus imegongana uso kwa uso na imeua watu 9 na wafanyakazi wote waliokua wamekaa mbele na chanzo Cha ajali ni Lori lililo overtake bila tahadhari ila stori itatengenezwa kuwa mmliki wa bus ndo umetoa kafara
Nakubaliana na wewe ila Kuna ajali za uzembe ila Kuna ajali ni chini ya pazia bisha ama usibishe
 
Back
Top Bottom