Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Nilishangaa wasomi wengi wanaotegemea Elimu pekee kwann hawafanikiwi kivile... Kumbe Kuna wajomba wapo kublock na kuvuruga mipango za watu na kutumia maisha ya watu kujinufaisha wao.
Hii inatumika sana hapa town. Unakuta mtu ana maendeleo makubwa na utajiri ila kampiga pin mtu kwa kuchukua nyota yake. Na ndio maana either uwe kwa Mungu au kwa shetani. Hakuna in between.
 
Mkuu kuna kitu umeficha, ama mwenyewe haukifahamu!

Utajiri wa "kanyoka", "kafara" na"punje", mwisho wake siyo kufirisika tu, huwa na kifo pia.

Mfano huo wa vipunje, jogoo akidonoa vipunje viwili, ndiyo miaka yako ya kutesa na utajiri na ndiyo idadi ya miaka yako ya kuishi.


Tukija kwenye kanyoka hivyo hivyo, ukikiuka masharti kakafa, na wewe ndiyo mwisho wako.
Ni kweli kabisa Hilo lipo wazi
 
Ukifanikiwa kidogo watu huwa wanaamua kukutengenezea stori ambayo hujawahi kuiishi
Hasa hizi biashara za usafirishaji huwa kuna changamoto nyingi sana unajitahidi uiweke gari kwenye hali nzuri na marekebisho ya mara kwa mara unafunga tairi mpya ila zinapasuka gari inaanguka inaua watu Unaambiwa umetoa kafara.

Unapambana had na madereva wako unawaambia hutaki gari zako zikimbie, zifate utaratibu na Sheria za barabarani hutaki ligi ila unakuja kusikia bus imegongana uso kwa uso na imeua watu 9 na wafanyakazi wote waliokua wamekaa mbele na chanzo Cha ajali ni Lori lililo overtake bila tahadhari ila stori itatengenezwa kuwa mmliki wa bus ndo umetoa kafara
Ukifanikiwa hutakiwi kupata hata msiba. Uki fiwa tu waja wanasema umetoa kafara.
 
Utajiri wa nyota za watu - Wanautumia sana manabii, mitume, wachungaji n.k kwa kuiba nyota za watu wenye mafanikio na kuzigeuza kuwa mafanikio yao na familia zao...

Aina hii ya uchawi hufanywa pia na aina ya waganga wa nyota, huiba nyota ya mtu mmoja na kuikabidhi kwa mtu mwingine...

Hawapo mbali pia baadhi ya masheikh na wanazuoni waliobobea katika elimu za nyota...

NB: Hizi sio nyota zile za unajimu
😲😲😲😲 Ndo wakina mwamposa awa
 
Utajiri wa nyota za watu - Wanautumia sana manabii, mitume, wachungaji n.k kwa kuiba nyota za watu wenye mafanikio na kuzigeuza kuwa mafanikio yao na familia zao...

Aina hii ya uchawi hufanywa pia na aina ya waganga wa nyota, huiba nyota ya mtu mmoja na kuikabidhi kwa mtu mwingine...

Hawapo mbali pia baadhi ya masheikh na wanazuoni waliobobea katika elimu za nyota...

NB: Hizi sio nyota zile za unajimu
Huwa nikisikiaga hii nachoka sana aisee
 
Wafanyakazi wana vinasaba Gani...na utajir....
Mm Huwa natamani research zifanyike yaan pale UDSM ianzishwe department ya witchcraft & associates
Najuuliza Nchi kama Norway ni namba Moja kwenye Fishing industry

Nchi ZILIZO undergo Industrial revolution na wenyewe wana amini KATIKA ushirikina....????

Bado tunasafari ndefu sana kama taifa....
Sidhani kama Kuna nchi inakosa uchawi
 
[emoji33][emoji33]Hapa panahitaji maelezo mapana kidogo kaka mkubwa hebu fafanua Kwa manufaa ya wote
Chuma ulete ina limitations... Inakupa mahitaji muhimu tuu. Pesa yake huwezi hata kununua nguo nzuri sana sana utaishia malonya kwakuwa ukichuma sana kwa siku ni mwekundu na kuipata tena hiyo inaweza kukuchukua mpaka siku 14
 
Back
Top Bottom