Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio shida, kwani kupewa dawa ndio nakuwa ndugu wa nyoka? akifa aletwe mwingine!Jua kanyoka kakifa nawe umekwenda
Wanazo ni wale wa kaskazini Wanakuwaga na watoto matahira kabisa kama wahindiHao ndugu zako Wana pesa?
Hii inatumika sana hapa town. Unakuta mtu ana maendeleo makubwa na utajiri ila kampiga pin mtu kwa kuchukua nyota yake. Na ndio maana either uwe kwa Mungu au kwa shetani. Hakuna in between.Nilishangaa wasomi wengi wanaotegemea Elimu pekee kwann hawafanikiwi kivile... Kumbe Kuna wajomba wapo kublock na kuvuruga mipango za watu na kutumia maisha ya watu kujinufaisha wao.
Ni kweli kabisa Hilo lipo waziMkuu kuna kitu umeficha, ama mwenyewe haukifahamu!
Utajiri wa "kanyoka", "kafara" na"punje", mwisho wake siyo kufirisika tu, huwa na kifo pia.
Mfano huo wa vipunje, jogoo akidonoa vipunje viwili, ndiyo miaka yako ya kutesa na utajiri na ndiyo idadi ya miaka yako ya kuishi.
Tukija kwenye kanyoka hivyo hivyo, ukikiuka masharti kakafa, na wewe ndiyo mwisho wako.
Yasikie kwa watu tu mkuu. Ila kuna ukweli ndani yake kwa sababu ukifuatilia hakuna ndoa wala harufu ya mdoa kwa huyo msanii.Unamzungumzia yule msanii wa bongo flavour nini mkuu?
Ukifanikiwa hutakiwi kupata hata msiba. Uki fiwa tu waja wanasema umetoa kafara.Ukifanikiwa kidogo watu huwa wanaamua kukutengenezea stori ambayo hujawahi kuiishi
Hasa hizi biashara za usafirishaji huwa kuna changamoto nyingi sana unajitahidi uiweke gari kwenye hali nzuri na marekebisho ya mara kwa mara unafunga tairi mpya ila zinapasuka gari inaanguka inaua watu Unaambiwa umetoa kafara.
Unapambana had na madereva wako unawaambia hutaki gari zako zikimbie, zifate utaratibu na Sheria za barabarani hutaki ligi ila unakuja kusikia bus imegongana uso kwa uso na imeua watu 9 na wafanyakazi wote waliokua wamekaa mbele na chanzo Cha ajali ni Lori lililo overtake bila tahadhari ila stori itatengenezwa kuwa mmliki wa bus ndo umetoa kafara
😲😲😲😲 Ndo wakina mwamposa awaUtajiri wa nyota za watu - Wanautumia sana manabii, mitume, wachungaji n.k kwa kuiba nyota za watu wenye mafanikio na kuzigeuza kuwa mafanikio yao na familia zao...
Aina hii ya uchawi hufanywa pia na aina ya waganga wa nyota, huiba nyota ya mtu mmoja na kuikabidhi kwa mtu mwingine...
Hawapo mbali pia baadhi ya masheikh na wanazuoni waliobobea katika elimu za nyota...
NB: Hizi sio nyota zile za unajimu
Huwa nikisikiaga hii nachoka sana aiseeUtajiri wa nyota za watu - Wanautumia sana manabii, mitume, wachungaji n.k kwa kuiba nyota za watu wenye mafanikio na kuzigeuza kuwa mafanikio yao na familia zao...
Aina hii ya uchawi hufanywa pia na aina ya waganga wa nyota, huiba nyota ya mtu mmoja na kuikabidhi kwa mtu mwingine...
Hawapo mbali pia baadhi ya masheikh na wanazuoni waliobobea katika elimu za nyota...
NB: Hizi sio nyota zile za unajimu
Na mama yake anakubali? Au kimazingira 😱Huu nao mwingine kuna jamaa mmoja hivi alimjengea mama ake nyumba kali sana kumbe kwenye iyo nyumba ndio jamaa anaenda kumdinya mama ake mzazi jamaa ana pesa kufuru yani mambo mengi mda mchache
Sidhani kama Kuna nchi inakosa uchawiWafanyakazi wana vinasaba Gani...na utajir....
Mm Huwa natamani research zifanyike yaan pale UDSM ianzishwe department ya witchcraft & associates
Najuuliza Nchi kama Norway ni namba Moja kwenye Fishing industry
Nchi ZILIZO undergo Industrial revolution na wenyewe wana amini KATIKA ushirikina....????
Bado tunasafari ndefu sana kama taifa....
Chuma ulete ina limitations... Inakupa mahitaji muhimu tuu. Pesa yake huwezi hata kununua nguo nzuri sana sana utaishia malonya kwakuwa ukichuma sana kwa siku ni mwekundu na kuipata tena hiyo inaweza kukuchukua mpaka siku 14[emoji33][emoji33]Hapa panahitaji maelezo mapana kidogo kaka mkubwa hebu fafanua Kwa manufaa ya wote