Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Sio rahisi kama unavofikiria utamkimbiza kutoka wapi kwenda wapi na huo muda unapata wapi😀😀
Mkuu kwa sababu tayari tuna teckiniki kama hizi tunazopeane, mtu ukienda kwa sangoma na akamleta huyo kuchi, ile anamweka chini unafanya yako ili akimbie na kuanza kutimua mbio ili akirudi kumbe una yako!.
 
Ukifanikiwa kidogo watu huwa wanaamua kukutengenezea stori ambayo hujawahi kuiishi
Hasa hizi biashara za usafirishaji huwa kuna changamoto nyingi sana unajitahidi uiweke gari kwenye hali nzuri na marekebisho ya mara kwa mara unafunga tairi mpya ila zinapasuka gari inaanguka inaua watu Unaambiwa umetoa kafara.

Unapambana had na madereva wako unawaambia hutaki gari zako zikimbie, zifate utaratibu na Sheria za barabarani hutaki ligi ila unakuja kusikia bus imegongana uso kwa uso na imeua watu 9 na wafanyakazi wote waliokua wamekaa mbele na chanzo Cha ajali ni Lori lililo overtake bila tahadhari ila stori itatengenezwa kuwa mmliki wa bus ndo umetoa kafara
Unapoambiwa nguvu za giza ni changamoto sana kutolea ufafanuzi,usemalo ni kweli ila vijana wengi wanaingia ktk mtego wa ulozi kwa uvivu au kutafuta short cut ya maisha,maisha ni mapambano na tuamini ktk kufanya kazi kwa bidii huku tukiweka mbele uaminifu kwa wanaotuzunguka
 
Unapoambiwa nguvu za giza ni changamoto sana kutolea ufafanuzi,usemalo ni kweli ila vijana wengi wanaingia ktk mtego wa ulozi kwa uvivu au kutafuta short cut ya maisha,maisha ni mapambano na tuamini ktk kufanya kazi kwa bidii huku tukiweka mbele uaminifu kwa wanaotuzunguka
Ni kweli ila who cares?
 
Back
Top Bottom