ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Bwn mshana hv pepo la chuma ulete unaliangua vp!?Santos06 chuma ulete ni pepo la kimasikini haliwezi kumpa mtu utajiri zaidi ya kula yake ya siku tena chakula duni cha kawaida mno
Davido msanii wa Nigeria. Fatilia habari zake kwa ukaribu anatuhumiwa kwa hizo mamboDavido msanii🤔 au Kuna davido mwingn
Wanalelewa na mashuga mama ya ulaya huko wanaomba ela huko wanatoa misaada na kula bataWale kina God love Wa TikTok wanatumia upi
haya mambo bwana ukisema ukutanishwe na mganga akufanyie huo utaalamu wala hautampata zaidi ya kupoteza muda na pesa.Uchawi upo haupo?
Mengi mno mnoo. Kila mwaka lazima mtu wa karibu wa Davido aangukeKuna mambo mengi sana duniani hapa
Kabla ya kujibu swali hilo, ni muhimu kujibu maswali ya msingi zaidi ili tusichanganye mambo.Uchawi upo haupo?
Zote zipoTembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja😀 neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.
👉Utajiri wa Shilingi: Hapa unapewa coin inakuwa inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo) hapa utaanza na kafara za kuku mwisho damu itahitajila
👉Utajiri wa nyoka: Hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara
👉Utajiri wa kafara: Huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova. Au mtu anafunga ofisi au taasisi halafu watumishi ndo wanateketea.
👉Utajiri wa kidonda: Hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.
👉Utajiri wa kupunguzwa nguvu: Hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi, unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.
👉Misukule: Hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba
👉Utajiri wa punje: Hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri
👉Utajiri wa Chuma ulete: Huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka🤣🤣.
👉Utajiri wa kafara ya ndugu wa damu unaempenda: Hapa utake utamtoa usitake utamtoa ama ufe wewe😀😀 ibilisi anakuchagulia
Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri.
Nawasilisha.
WAZUNGU NI WACHAWI BALAAWafanyakazi wana vinasaba Gani...na utajir....
Mm Huwa natamani research zifanyike yaan pale UDSM ianzishwe department ya witchcraft & associates
Najuuliza Nchi kama Norway ni namba Moja kwenye Fishing industry
Nchi ZILIZO undergo Industrial revolution na wenyewe wana amini KATIKA ushirikina....????
Bado tunasafari ndefu sana kama taifa....
Nimeandika ninachokijua na baadhi nimeshuhudia dunia Ina mambo bosshaya mambo bwana ukisema ukutanishwe na mganga akufanyie huo utaalamu wala hautampata zaidi ya kupoteza muda na pesa.
Fikiria jinsi watu wanavyotafuta pesa kwa damu na jasho, mchana na usiku, halafu itokee eti kuna mtaalamu angawa pesa za kutumia kwa miaka kadhaa halafu ufe, nani ataacha kwenda.
Duniani hapa tunaishi maisha ya hovyo sana bila hela.
Sasa akitokea mtaalamu anayetoa pesa za kutumia ndani ya miaka mitano halafu ufe, watu tungejazana huko.
Mkuu usibishe Kwa mazoea uchawi upo. Huenda wewe na mimi sio wachawi ila ww utake usitake uchawi upo na hayo niloyasema yapo Tena Kuna zaidi ya hayo but who knows? Naomba niishie hapoKabla ya kujibu swali hilo, ni muhimu kujibu maswali ya msingi zaidi ili tusichanganye mambo.
Uchawi ni nini?
Unajuaje kwa uhakika huu ni uchawi na si kitu kingine tu ambacho kinaweza kupata maelezo mazuri tu bila kutumia hoja ya uchawi, kitu ambacho labda wewe hukifahamu tu, na kwa kutokifahamu hivyo, ukafikiri ni uchawi?
Wale wenye rangi ya Mtume na Sharkani hata mimi nashangaa kila nyumba lazima ukute mtoto mwenye mtindio wa Ubongo au Bibi au Babu.Kule ule wa kufanya watoto mazezeta wa ndugu zetu wale maana nimeona kama watatu Wana watoto mazezeta kabisa ila sijajua kwa nn ni wao tu .Nahisi Kuna kitu.
Mkuu ww ambae huamini uwepo wa Mungu. Nadhani hata uchawi utaona ni hadithi tu.Kabla ya kujibu swali hilo, ni muhimu kujibu maswali ya msingi zaidi ili tusichanganye mambo.
Uchawi ni nini?
Unajuaje kwa uhakika huu ni uchawi na si kitu kingine tu ambacho kinaweza kupata maelezo mazuri tu bila kutumia hoja ya uchawi, kitu ambacho labda wewe hukifahamu tu, na kwa kutokifahamu hivyo, ukafikiri ni uchawi?
Hii ya nyoka unapewa Dawa ya kunawia kwenye chombo mf:dishi kila siku mwisho Yale maji yaumuka vinazaliwa vinyoka vingi ,mwisho vinapotea sijui vinamezana anabaki mmoja Sasa huyo ndiye wa kazi unamtafutia chuma chake na kuendelea kumtunzaJua kanyoka kakifa nawe umekwenda
Naunga mkono hoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ndio shida, kwani kupewa dawa ndio nakuwa ndugu wa nyoka? akifa aletwe mwingine!
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Jaraibu alafu utuletee UziHizi zote sijawahi kuzitesti,ngoja nije nijaribu huo wa Nyoka Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ni ufala wa kiwango cha SGR, kumbe ndo maana unatumika sana vijijini kwa sababu expenses zipo chini[emoji1787][emoji1787]Chuma ulete ina limitations... Inakupa mahitaji muhimu tuu. Pesa yake huwezi hata kununua nguo nzuri sana sana utaishia malonya kwakuwa ukichuma sana kwa siku ni mwekundu na kuipata tena hiyo inaweza kukuchukua mpaka siku 14
Tatizo ni miaka michache ya kuishi. Kila mtu anapenda hii Oxygen ya Mungu.haya mambo bwana ukisema ukutanishwe na mganga akufanyie huo utaalamu wala hautampata zaidi ya kupoteza muda na pesa.
Fikiria jinsi watu wanavyotafuta pesa kwa damu na jasho, mchana na usiku, halafu itokee eti kuna mtaalamu angawa pesa za kutumia kwa miaka kadhaa halafu ufe, nani ataacha kwenda.
Duniani hapa tunaishi maisha ya hovyo sana bila hela.
Sasa akitokea mtaalamu anayetoa pesa za kutumia ndani ya miaka mitano halafu ufe, watu tungejazana huko.