Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Kuna moja wanatumia kule msumbiji unapewa kijiti unakiweka kwenye mfuko wa kushoto wa shati au suruali kazi yako kila siku uwe unagonga demu mmoja mpya(note: usirudie kufanya mapenzi na mwanamke mmoja) kadiri unavyofanya mapenzi na wanawake wapya kila siku ndivyo utajiri wako unavyokuwa na kuimarika.. hii dunia ni jehanamu sometimess
 
Sasa mwisho SI unachukua ngoma unakonda adi kichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…