Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

πŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²

Yaani ajinyee sio
Ndio hivo mkuu. Yaani siku yakuanguka unaijua kabisa hata kwenye biashara huendi. Mpaka ukishamwaga mbolea ndio sasa unaweza ukaoga ukaingia ofisini umejipiga moka safi,suti kali, tai kama unataka na perform yako nani atakujua kama umejisaidia chumbani.

Utajiri mzuri huo hutesi mtu wala kumwaga damu
 
Huyu jamaa WA kule Lindi?!!anaittwa bahati mbaya na Sasa kafa?!!au mwingine?
Maana inafanana na ya marehemu bahati mbaya

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
wakinga na wachaga tunakuangalia tu πŸ˜‚, migombani kuna gorofa za kutosha lkn hakuna anayeishi ndani,

Ghorofa inakaliwa siku mbili tu za mwaka 24/25 dec 26 watu wanaondoka 🀣🀣🀣
 
Hapana siwezi Kwa kweli maana kama ningetaka ningekua mchawi wa kutisha nimeishi na watu wanaendaa ngende mpk namba nilipewa za ngende,mpiga miti Kwa bibi yule,masasi Kwa mabula Tena yule kipindi cha chaguzi hapatikani anatembea na wabunge ,pande ,mpk njinjo Tena njinjo uganga wa mapenzi balaaa [emoji1][emoji1787][emoji16][emoji1787] ila kubwa naogopa Sanaa shirk na Haina msaada Kwa mwanadamu namuogopa Sana Mungu na ni Dhambi kubwa kuliko zote....



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Inaweza kuwa yenyewe..maana ilikuwa kati ya Lindi au Mtwara mjini
Lindi ng'ap ni story ya kwelii kabisaa huyooo alikua ana kawaida ya kufunga mzigo anannua mzigo Wa 5m kumbe misukule yake wanabeba mzigo Wa 10m Ndo akaja kukamatwa Tena alikua mfanyakazi wa yule mhindi ndo alimshtua bosi akamuambia boss kua jamaa ana watu wanabeba Wengine kimazingara ndo alivyomaliza akaambiwa pesa aliyotoa ndogo maana Kuna watu walikua wanasaidia kubeba mzigo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo ikawa mwisho wa Bahati mbayaa akafirisika na mpk anakufa Hana kitu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mboni umewathahau wale ndugu dhetu "Fuliimathon" au siku hizi hawana hela?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…