Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Warning comes before destruction.Ni yule yule kwa sababu sijafa bado!
Tusilaumiane mkuu usisema sikukwambia popote ulipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warning comes before destruction.Ni yule yule kwa sababu sijafa bado!
Umeshindwa kuniroga wewe 🤣Warning comes before destruction.
Tusilaumiane mkuu usisema sikukwambia popote ulipo
Nishamaliza,Umeshindwa kuniroga wewe 🤣
Mungu akubariki sana ndugu Zawadi Ngoda .Maendeleo ya short cut ni yale ya kufuata masharti ya aliyekuumba. Sharti la kwanza- Toa sadaka, sharti la pili- toa Zaka.
Yote yafanye kwa moyo mkunjufu na utatoboa tu. Si utoe huku unalalamika lalamika, hapo hujafanya kitu.
Aliyekuumba ni Mmiliki wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo ndani yake, na ni Mmoja tu na hana mshiriki, hajazaa wala hajazaliwa na ni wa milele.
Ila usitoe kwa wale matapeli wanaomiliki nyumba za ibada, na kuchangisha pesa kila kukicha na kujinunulia ma V8.
Siasa au siasa ya Tanzania na shi.ho.e countries!!??Siasa.
Hii ni aina nyingine ya utajiri ambayo hupatikana kwa kuiba pesa za umma.
Kama mods wangekuwa makini,huu mchango wako ulitakiwe uwe pale juu kabisa.Maendeleo ya short cut ni yale ya kufuata masharti ya aliyekuumba. Sharti la kwanza- Toa sadaka, sharti la pili- toa Zaka.
Yote yafanye kwa moyo mkunjufu na utatoboa tu. Si utoe huku unalalamika lalamika, hapo hujafanya kitu.
Aliyekuumba ni Mmiliki wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo ndani yake, na ni Mmoja tu na hana mshiriki, hajazaa wala hajazaliwa na ni wa milele.
Ila usitoe kwa wale matapeli wanaomiliki nyumba za ibada, na kuchangisha pesa kila kukicha na kujinunulia ma V8.
Umechanganyikiwa wewe. Sijawahi kukuandikia PM mimi.Nishamaliza,
Jana nilikusamehe uliponifuata pm kuomba nisifanye kweli, naomba usinifuate pm leo.
Nimekuambia nimemaliza mhimu usije pm kuomba hurumaUmechanganyikiwa wewe. Sijawahi kukuandikia PM mimi.
FOH with your delusions.
Ongo wewe. Sijawahi kukutumia PM mimi.Nimekuambia nimemaliza mhimu usije pm kuomba huruma
Ntajie kabila moja tu la kibantu ambalo neno mzungu linamaanisha mungu!Mkuu,
Nimekuuliza maswali mawili madogo tu umeshindwa kuyajibu.
1. Uchawi ni nini?
2. Ukiona kitu, utajuaje huu ni uchawi na si kitu kingine tu ambacho kinaweza kupata maelezo bila kutumia hoja ya uchawi, kitu ambacho wewe hukielewi tu?
Mtu asiyeelewa mchezo wa karata tatu, akifanyiwa trick kama hajajua karata tatu inachezwaje, anaweza kuamini kuwa karata tatu ni uchawi, lakini, karata tatu ni ujanja tu, si uchawi. Hata wewe ukijifunza unaweza kuchezesha karata tatu.
Mababu na mabibi zetu wa kale, walipokutana na wazungu, wazungu wakaweza kutumia vyombo vya umeme kupiga muziki, babu na bibi zetu waliwaona wazungu kama wachawi. Neno "mzungu" katika Kiswahili cha kale na lugha nyingi za makabila ya kibantu ni neno linalowakilisha miungu, ndiyo maana neno mzungu liko karibu sana na neno Mungu. Tuliwaona wazungu kama miungu kwa sababu walikuwa wanafanya mambo ambayo tuliamini ni uchawi.
Hatukuelewa dawa zao zinavyofanya kazi, zilivyoweza kutibu kwa haraka tukawaona wana uchawi.
Hatukuelewa silaha zao zinavyoweza kuua kutoka mbali, tukaona huu ni uchawi, mpaka kwenye vita vya Maji Maji tukawajibu kwa uchawi ambao tulifikiri utageuza risasi kuwa maji, obviously uchawi wetu haukufanya kazi ndiyo maana tukashindwa vita.
Wazungu waliweza kutabiri jua linavyopatwa (solar eclipse), sisi hatukujua jiografia, tukaona huo ni uchawi.
Sasa, na wewe leo, hicho unachokiita uchawi, unajuaje ni uchawi kweli, na si kingine tu ambacho hujakijua ambacho si uchawi?
Hujajibu maswali haya.
Sawa, kazi imeanza sihusiki kwa chochote kitachokutokea usiku wa leoOngo wewe. Sijawahi kukutumia PM mimi.
Mkuu huyo anasumbuliwa na scientism ila ni mweupe kama pamba hata kwenye hiyo scienceNtajie kabila moja tu la kibantu ambalo neno mzungu linamaanisha mungu!
Halafu uchawi wa vita vya majimaji haukufeli bali ni usaliti wa wenzake kama kawaida ya miafrika milafi inayomuabudu mzungu ikimuona matackle yanalia mbwata, hiyo ndiyo ilifichua siri ikaharibu dawa.
Mfano mwingine mzuri ni mwanamama Riti wa kabila la Rimi/wanyaturu hapo Singida aliwapiga wajerumani kipigo cha mbwa mwizi kwa kutumia jeshi la nyuk,i walipoona wanashindwa wakatafuta watu wa karibu yake wakawahonga mali na kuwaahidi uchifu (chief Igwe na mkewe) ndipo wakavujisha siri na kupelekea shujaa Riti kuuwawa.
Waafrika tuna historia kali sema haziwekwi kwa vitabu zinawekwa zile failures tu, Mungu/Mizimu yetu so ya kitoto wazungu wako wenyewe wanaelewa hilo
Mkuu tiali ashapata kitu chake hawezi hawezi kusimulia kilichompataBasi ngoja nitumie kimbora Moja apo tabata😀
Sawa mama mdogo nimekuelewa.Siasa au siasa ya Tanzania na shi.ho.e countries!!??
Tembea uone bibie.
Mkuu toa connection basi ya huyu mganga maana kuna washikaji zangu ktk hili swala wapo vyema nauona utajiri kabisaKuna moja wanatumia kule msumbiji unapewa kijiti unakiweka kwenye mfuko wa kushoto wa shati au suruali kazi yako kila siku uwe unagonga demu mmoja mpya(note: usirudie kufanya mapenzi na mwanamke mmoja) kadiri unavyofanya mapenzi na wanawake wapya kila siku ndivyo utajiri wako unavyokuwa na kuimarika.. hii dunia ni jehanamu sometimess
Kuamini uchawi ni ujinga tu.
Na watanzania wengi wanaoamini uchawi ni wajinga.
Ulishaenda ukapewa kipapatio leta ushuhuda apaNakazia na maranyingi ni story za vijiweni.
Kuna clip moja nilimsikiliza shabiby anasema ukitafuta mali kwa kwenda kwa waganga utachanjwa hadi sehem za siri na hela hutapata.
Namimi narudia tena anaenda kwa mganga ili apate mali ni mjinga wa kutupwa ,unampelekea mtu kuku anakupa kipapatie harafu anakwambie ule na meno yako ya kushoto na kuku mzima anamchukua yeye [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]