Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Lindi ng'ap ni story ya kwelii kabisaa huyooo alikua ana kawaida ya kufunga mzigo anannua mzigo Wa 5m kumbe misukule yake wanabeba mzigo Wa 10m Ndo akaja kukamatwa Tena alikua mfanyakazi wa yule mhindi ndo alimshtua bosi akamuambia boss kua jamaa ana watu wanabeba Wengine kimazingara ndo alivyomaliza akaambiwa pesa aliyotoa ndogo maana Kuna watu walikua wanasaidia kubeba mzigo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo ikawa mwisho wa Bahati mbayaa akafirisika na mpk anakufa Hana kitu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii story niliisikia pahala, kwa mtu ninaemuamini.
 
Kuna moja wanatumia kule msumbiji unapewa kijiti unakiweka kwenye mfuko wa kushoto wa shati au suruali kazi yako kila siku uwe unagonga demu mmoja mpya(note: usirudie kufanya mapenzi na mwanamke mmoja) kadiri unavyofanya mapenzi na wanawake wapya kila siku ndivyo utajiri wako unavyokuwa na kuimarika.. hii dunia ni jehanamu sometimess
Huu ndio rahis,ni kusogeza bar maid mwanzo mwisho,
 
Tajiri Elon Musk anauliza 😂
 

Attachments

  • Screenshot_20230226-074604_1.jpg
    Screenshot_20230226-074604_1.jpg
    19.1 KB · Views: 46
Chuma ulete ina limitations... Inakupa mahitaji muhimu tuu. Pesa yake huwezi hata kununua nguo nzuri sana sana utaishia malonya kwakuwa ukichuma sana kwa siku ni mwekundu na kuipata tena hiyo inaweza kukuchukua mpaka siku 14
Malonya[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
bila kuwataja wakinga unahisi hujaongea kitu, acha wakinge watambe, nyie kuongea kazi yenu sisi kazi yetu kutafta pesa, tutafanya hesabu badae kama majungu yalikulipa au hapana
 
Mkuu mkinipeleka mbona hata kwa sumu naweza kuuawa tu, sumu si uchawi, ni chemistry.

Mimi nataka waniroge hapahapa JF, wanipige kipapai nishindwe ku type wanikate ngebe zote.

Nilishatoa challenge hii miaka mingi sana imepita na mimi nazidi kudunda tu, hakuna mchawi wala Boko Haram anayeniweza.
Kiranga una hoja nzito! Wanatakiwa wakujibu kwa facts na si vitisho.
 
Chuma ulete ina limitations... Inakupa mahitaji muhimu tuu. Pesa yake huwezi hata kununua nguo nzuri sana sana utaishia malonya kwakuwa ukichuma sana kwa siku ni mwekundu na kuipata tena hiyo inaweza kukuchukua mpaka siku 14
Mkuu wa boma. Mbona naskia kuna zingine mpaka zifasafisha pesa zote. Kama ni wekundu kwa siku hizo nyingine zinaenda wap? Ingawa najua kweli mhusika hairudii kila wakati.

Pia hilo unalosema ni umaskini ni kweli. Jirani yetu yuko ovyo sana. Aliuza viwanja viwili milion 24 haijulikani pesa kapeleka wap. Ila mtaa mzima hawatak pesa zake.
 
Back
Top Bottom