manyubhu wa manyubhuke
Member
- May 5, 2018
- 56
- 37
Nyie ndo mnaamini binadamu tulikuwa manyani miaka maelfu, au dunia hii haikuumbwa ilitokea Tu kwa super natural power,Ulichoandika wewe hapa ndicho hakina msingi wowote, ndiyo maana umeshindwa hata kuutaja.
***** daaaaaahKuna jamaa alipachikwa kidonda cha mgongoni, mpaka sasa anahangaika na kidonda ila Mali ipo. Kikitoa usaha, pesa zinaongezeka. Ila hii ni poa, unajitesa mwenyewe, hata Mungu anaikubali.
Hii story niliisikia pahala, kwa mtu ninaemuamini.Lindi ng'ap ni story ya kwelii kabisaa huyooo alikua ana kawaida ya kufunga mzigo anannua mzigo Wa 5m kumbe misukule yake wanabeba mzigo Wa 10m Ndo akaja kukamatwa Tena alikua mfanyakazi wa yule mhindi ndo alimshtua bosi akamuambia boss kua jamaa ana watu wanabeba Wengine kimazingara ndo alivyomaliza akaambiwa pesa aliyotoa ndogo maana Kuna watu walikua wanasaidia kubeba mzigo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo ikawa mwisho wa Bahati mbayaa akafirisika na mpk anakufa Hana kitu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huu ndio rahis,ni kusogeza bar maid mwanzo mwisho,Kuna moja wanatumia kule msumbiji unapewa kijiti unakiweka kwenye mfuko wa kushoto wa shati au suruali kazi yako kila siku uwe unagonga demu mmoja mpya(note: usirudie kufanya mapenzi na mwanamke mmoja) kadiri unavyofanya mapenzi na wanawake wapya kila siku ndivyo utajiri wako unavyokuwa na kuimarika.. hii dunia ni jehanamu sometimess
It is a true story na amekufa dhalili sana sefu igoo aka bahati mbayaHii story niliisikia pahala, kwa mtu ninaemuamini.
Nipeleke kwa huyu sangoma maana sina kazi nazo, ila mashine ifanye kazi kama kawa 😎 😎
Malonya[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Chuma ulete ina limitations... Inakupa mahitaji muhimu tuu. Pesa yake huwezi hata kununua nguo nzuri sana sana utaishia malonya kwakuwa ukichuma sana kwa siku ni mwekundu na kuipata tena hiyo inaweza kukuchukua mpaka siku 14
Kiranga una hoja nzito! Wanatakiwa wakujibu kwa facts na si vitisho.Mkuu mkinipeleka mbona hata kwa sumu naweza kuuawa tu, sumu si uchawi, ni chemistry.
Mimi nataka waniroge hapahapa JF, wanipige kipapai nishindwe ku type wanikate ngebe zote.
Nilishatoa challenge hii miaka mingi sana imepita na mimi nazidi kudunda tu, hakuna mchawi wala Boko Haram anayeniweza.
Aliye na namba za mtaalamu anitumie pm plzilitakiwa kila aina ya utajiri uelezee unakopatikana na adress uweke hapo maana mm huo wa kafara nimeupenda kweli kweli na huo wa coin
Nipe mchongo namba za mtaalamuHii sio msumbiji tu ata mbeya upo sema unaweka mfukoni ichokijiti af kunumuda kinapata motovibaya mnoo apo ndo wateja wanafulika mihela chekwachekwa,ila huo moto ndo utakoma
Mkuu wa boma. Mbona naskia kuna zingine mpaka zifasafisha pesa zote. Kama ni wekundu kwa siku hizo nyingine zinaenda wap? Ingawa najua kweli mhusika hairudii kila wakati.Chuma ulete ina limitations... Inakupa mahitaji muhimu tuu. Pesa yake huwezi hata kununua nguo nzuri sana sana utaishia malonya kwakuwa ukichuma sana kwa siku ni mwekundu na kuipata tena hiyo inaweza kukuchukua mpaka siku 14
Ulishapata namba ya mtaalamu na unashida gani mkuuNipe mchongo namba za mtaalamu
DuuuhPesa ya masharti huwa haina raha, nna jamaa yangu yupo DRC alishanishirikisha maswala hayo sharti ni kutoa jicho, nikakataa. Nilikutana na mama yake anasema mwanae anaogopa hata kurudi Tz sijui kwa nini. Ila inasemekana jamaa ni shoga kwa sasa.