Huenda hao jamaa kuingiliana ndugu kwa ndugu ni maelekezo ya ibilisi ili apate ibaada zake zifanikiwe'Ndugu zetu wale' ndiyo wepi hao?
Kama ni wahindi ama waarabu hiyo ni kesi ya kijenetic sababu ya kuingiliana ndugu.
I really missing you dada mkubwa 🥹Huo wa kuua wafanyakazi naona unakuja kuwa fashion Sana....
Hili ni somo pana la ufahamu kuhusu universe ktk universe hatupo pekee yetu pana viumbe wengine pia mfano UFO,nk wenzetu wapo mbele miaka elf 3 so hizi sijui robot,flat screen,na technology kwetu za kisasa wao ni outdatedHapa ongeza nyama nyama kidogo mkuu
Okay unaamini kukusu uwepo wa alliens?Hili ni somo pana la ufahamu kuhusu universe ktk universe hatupo pekee yetu pana viumbe wengine pia mfano UFO,nk wenzetu wapo mbele miaka elf 3 so hizi sijui robot,flat screen,na technology kwetu za kisasa wao ni outdated
Inawasaidia kushape jamii unaona familia zinajuana kwa kushare kila kitu tabia, mizimu,thus wao ishu za talaka na vurugu kwenye ndoa ni chache ukilinganisha na sie tusioungamana na wenza wetuHuenda hao jamaa kuingiliana ndugu kwa ndugu ni maelekezo ya ibilisi ili apate ibaada zake zifanikiwe
We waweza kudhani ni tatizo la genetic kumbe ni maelekezo Toka kuzimu
Yes hata bible imeproof wapoOkay unaamini kukusu uwepo wa alliens?
Wait and see NASA taarifa zingine zimeachwa for future useHakuna proof yoyote ya existance ya aliens
Hilo linaeleweka mkuu, acha sheria za nchi kukataza, hata na kibaiolojia inakataza pia kwa sababu kuna madhara ya kijenetic.Ongeza nyama nyama kwamba ndugu kwa ndugu wakiingiliana ni kipengele?
Usiitaje Bible kuwa reference ktk mambo ya kusadikika kama hizo UFO.Yes hata bible imeproof wapo
Kabisa.Hakuna proof yoyote ya existance ya aliens
Bible inaproof science pia ndio kitabu kikongwe kuliko vyote duniani kwann isitumike kma reference?Usiitaje Bible kuwa reference ktk mambo ya kusadikika kama hizo UFO.
Wachaga nao nasikia wanajiita koo za simbaHilo linaeleweka mkuu, acha sheria za nchi kukataza, hata na kibaiolojia inakataza pia kwa sababu kuna madhara ya kijenetic.
Kuoana ndugu ni tatizo kubwa sana.
Utakuta mtu kaoa binamu, wengine hadi dada zao kabisa eti ili mali isitoke nje😁🤣😚😃!
Sickle cell na utaahira ndiyo magonjwa yanayowatesa sana.
Niache bana nimemkumbuka dada yangu mwenzioKale machungwa hukoo