inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Nina wasiwasi ajali ya treni Kama kweli ilikua tarehe hiyoKongole kwa aliechukua muda wake akaandika hii mada.
Atuwekee top 10 sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina wasiwasi ajali ya treni Kama kweli ilikua tarehe hiyoKongole kwa aliechukua muda wake akaandika hii mada.
Atuwekee top 10 sasa.
1984 enzi za mwalimu kabla ya kifo cha Sokoine ikitokea ajali mbaya sana ya Treni eneo la Makutupola wakola walifungua nati za reli wakafunga kamba ya mkonge abiria zaidi ya 200 walipoteza maisha .Kongole kwa aliechukua muda wake akaandika hii mada.
Atuwekee top 10 sasa.
Umeandika upuuzi tuNyie ndio mnaokurupukaga kwa uvivu wenu wa kusoma mada mnakimbilia kucomment....Bus linabeba watu wangapi? Nyie kizazi cha fb mnashida sana hamtakagi kujifunza yalotokea kabla hamjazaliwa ndio maana mnajua tu habari ndogondogo..mabasi ya majinja yameanza safari mwaka gani? Hii inadhihirisha upeo wako
Watu wanaongela ajali zilizoua watu kuanzia 200 kwenda juu,achana na mabasi ya watu wawiliWakati majinja imeangukiwa na contena ikauwa watu wengi enzi hizo ulikua hujazaliwa ni miongoni mwa ajali kubwa za barabarani
Facebook ni platform ilivyoanzishwa mwaka 2004 kabla hata ya hii jf kwahiyo Kama mimi ni kizazi cha fb ndo kizazi hichohicho cha Jf unatakiwa ulijue hilo we mzee ambae kichwa unakitumia kama mfuko wa kubebea meno uliekaririshwa ujinga kuhusu Facebook na wewe ukaubebaNyie ndio mnaokurupukaga kwa uvivu wenu wa kusoma mada mnakimbilia kucomment....Bus linabeba watu wangapi? Nyie kizazi cha fb mnashida sana hamtakagi kujifunza yalotokea kabla hamjazaliwa ndio maana mnajua tu habari ndogondogo..mabasi ya majinja yameanza safari mwaka gani? Hii inadhihirisha upeo wako
Hii naikumbuka sana, enzi hizo magazeti yalikuwa Mfanyakazi,mzalendo, uhuru, daily news.... watu wengi walidediAfu kuna ingine enzi za mzee Ruksa ilitokea eneo kati ya Munisagala na Mzaganza tuta la reli ililisombwa na mafuriko abiria kibao walivuta boksi
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Acah hzo hayatatokeaaBado vivuko vya magogoni pale feri. Watachinjika hata watu 2000 pale we subiri
Mbna Kam mnafurahia watu kufa ,hata Kam wamekufa 10 Ni ajali mbya kwa taifaWatu wanaongela ajali zilizoua watu kuanzia 200 kwenda juu,achana na mabasi ya watu wawili
jirani wa kike (miaka 11 ivi ) alipona alishikilia mkungu wa ndizi, usiku mzima mpaka asubuhiMV Spice
Ni kawaida yaoMV spice ilipozama TBC walikuwa wanaonesha taarabu
Na sisi pia tubadilike tujuwe kujiongeza,siyo chombo kibovu na bado kinapewa leseni alafu bado tena kinajaza kupita kiasi! Na Mtu ukiona chombo kimejaa kwa Nini upande,si usibiri usafiri mwingine!!?Aisee Mungu atuepushe na hizi ajali zisiendelee kutokea. Familia nyingi zilipotea kwenye hizi ajali zinazobeba watu wengi
Sasa kumbe akili unazo kwanini umekimbilia kuleta habari ya ndondo cup kwenye mjadala wa premier leagueFacebook ni platform ilivyoanzishwa mwaka 2004 kabla hata ya hii jf kwahiyo Kama mimi ni kizazi cha fb ndo kizazi hichohicho cha Jf unatakiwa ulijue hilo we mzee ambae kichwa unakitumia kama mfuko wa kubebea meno uliekaririshwa ujinga kuhusu Facebook na wewe ukaubeba
Kiukweli hata mi siku zote nilidhani Mv spice Islanders haikua kubwa kuzidi Mv Bukoba...na hii ni wengi tulichukulia poa ile ajali ya spice Islanders kuliko ya Mv Bukoba kwa sababu ya Bukoba ilikua ajali ya kwanza kubwa kuwahi kutokea kabla ya spice IslandersPengine kumbukumbu ya muda mrefu ya ajali ya MV Bukoba inapunguza machungu ya ajali ya MV Spice Islanders
Hapa sijaelewa....
Inaeza kuwa ilipakia abiria 2000 ila haikubeba tan 850 za mzigo hivo pia overload inaeza kuwa sio sababuMeli hiyo iliyoundwa mwaka 1979 ikiwa na uwezo wa kubeba mizigo tani 850 na abiria 430 iliyokuwa tegemeo kubwa la kutoa huduma ya kubeba mizigo na abiria ndani ya Ziwa Victoria kati ya Bandari za Bukoba na Mwanza. Siku ya ajali inaelezwa kupakia zaidi ya abiria 2,000.
Majinja ya juziWakati majinja imeangukiwa na contena ikauwa watu wengi enzi hizo ulikua hujazaliwa ni miongoni mwa ajali kubwa za barabarani