masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Ulizaliwa nao?Ndio mkuu naishi kwa matumaini mwaka wa 22 huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulizaliwa nao?Ndio mkuu naishi kwa matumaini mwaka wa 22 huu
na Presion air imepata ajal juzi tbs walikuwa wanaoneshi kwaya wakaweka na mapishi kidogoMV spice ilipozama TBC walikuwa wanaonesha taarabu
Nilijifunza once u are true to urself maisha murwa sana alafu reaponsibilities ndio zinaleta ukosefu wa furaha. Kuwa single kunachangia sana katika kupata furaha.Aisee unaweza kuwa na furaha kwa kiwango hiki?
I can read between lines.
Coment zako always ni za kufurahisha sana.
Wengine wana kila kitu na afya tena lakin hatuwez kuwa na furaha.
Unawezaje?
Hapana mkuu unalaya wangu ndio ulinifanya niunganishwe kwenye gridUlizaliwa nao?
Hahahhaha i hope huambukiz wengineHapana mkuu unalaya wangu ndio ulinifanya niunganishwe kwenye grid
Ni kweli.Nilijifunza once u are true to urself maisha murwa sana alafu reaponsibilities ndio zinaleta ukosefu wa furaha. Kuwa single kunachangia sana katika kupata furaha.
Mambk ya kumtegemea mwanadamu na kuweka matumaini yako kwake lazima utaumia tuu. Ukitaka kuwa na furaha kuwa single
Sasa naachaje kuambukiza wengine wakati mie niliambukizwa😲😲😲Hahahhaha i hope huambukiz wengine
Kwa situation yako kuna haja ya kutumia kinga?Sasa naachaje kuambukiza wengine wakati mie niliambukizwa😲😲😲
Kama mie nyege zangu zilinisababishia basi na wao wakubali kuwa tamaa zao za pombe zitawaletea majanga. Ndio maisha yalivyo.
Yaani kama mie siwezi eti mlaumu demu aliyenipa ngoma, hana makosa ni tamaa zangu mwenyewe alafu ukishakubali hilo mbona maisha yanaenda tuu
Nashukuru umekubaliana na mmie. Pole ndio hivyo ndoa ni kunyimana furaha tuu.Ni kweli.
Kama mimi naona kabisa navyokosa amani nikizinguliwa na chibaba.mpaka ulcers.
Sasa ndo wengine maji tushavulia nguo.kutoka uwezi
Unabak kupambana na hali.
Ila kuegemeza furaha yako kwa mwanadamu for the name of ndoa isa big scam.
Am mie condom situmiagi huo ufala siwezi fanya....Kwa situation yako kuna haja ya kutumia kinga?
Kama unatumia vidonge wanasma hadi watoto unapata na wanakua safi
Hujawahi kabisa kuishi na mwanamke..like pika pakua?Am mie condom situmiagi huo ufala siwezi fanya....
Daah! Mv Bukoba ilizama 56km before haijafika bandari ya Mwanza, unasema hizo ni km chache, mkuu au me sijakupata