Ndo maana nakwambia we ni mjinga mjinga tu, Ajali za barabarani zimeua watu wengi kuliko ajali za anga na maji, na ukitaka usipate mchango tofauti kwenye hoja zako kaanzishe mada chumbani na kikongwe mwenzako wa zilipendwa usilete hapa jf kwenye kizaz Cha Fb unachokisemaSasa kumbe akili unazo kwanini umekimbilia kuleta habari ya ndondo cup kwenye mjadala wa premier league
[emoji23][emoji23][emoji23]Bado vivuko vya magogoni pale feri. Watachinjika hata watu 2000 pale we subiri
Anzisha uzi wako wa majinja mkuu mbona easy,usiendelee kudhihirisha ujinga wakoNdo maana nakwambia we ni mjinga mjinga tu, Ajali za barabarani zimeua watu wengi kuliko ajali za anga na maji, na ukitaka usipate mchango tofauti kwenye hoja zako kaanzishe mada chumbani na kikongwe mwenzako wa zilipendwa usilete hapa jf kwenye kizaz Cha Fb unachokisema
Blaalfuul
Sianzishi hapahapa ndo mahali yake ukitaka nisilete Waambie mods wafute huu uzi ukaunzishie chumbani kwakoAnzisha uzi wako wa majinja mkuu mbona easy,usiendelee kudhihirisha ujinga wako
Ni moja ya ajali niliyoshuhudia live ilikua mbaya sana aisee, nilikua natoka mbeya naenda dar nipo kwenye rungwe expressWakati majinja imeangukiwa na contena ikauwa watu wengi enzi hizo ulikua hujazaliwa ni miongoni mwa ajali kubwa za barabarani
Mleta uzi anasema hiyo ni ajali ndogo anaifananisha na ndondo cup ndo maana namuita mpuuziNi moja ya ajali niliyoshuhudia live ilikua mbaya sana aisee, nilikua natoka mbeya naenda dar nipo kwenye rungwe express
Labda kwa sababu alisikia tu ila tuliokua eneo la tukio ni ajali ambayo haitoki kwenye akili zetuMleta uzi anasema hiyo ni ajali ndogo anaifananisha na ndondo cup ndo maana namuita mpuuzi
Amani mkuu samahani lakin kwa yote yaliyotokeaHahahaaa...yameisha mkuu.. tuendelee na mada. Sorry kama nimekukwaza
Yani hii ilikua balaa sanaaNadhani ile ya Moro itakua ya sita aisee ilikua balaa sana
View attachment 2413910
Ilikuwaje??Hii nakumbuka kugegeda kuliniokoa la sivyo ningeenda na huo moto
Hii ajali wakati inatokea mie nilikuwa nahangaika na mrembo maeneo ya mikise ...ndio pona yanguIlikuwaje??
Ina maana usingekuwa chobingo na ww ungeenda kuchota mafuta sio?Hii ajali wakati inatokea mie nilikuwa nahangaika na mrembo maeneo ya mikise ...ndio pona yangu
Ndioo maana yake...kuna binadamu asiependa cha bure.Ina maana usingekuwa chobingo na ww ungeenda kuchota mafuta sio?
🤣🤣🤣🤣🤣haya bwanaNdioo maana yake...kuna binadamu asiependa cha bure.
Hapo nikasema leo umalaya umeokoa uhai wangu. Nothing is this world is 100% bad. Ata umalaya nao una faida zake
Vipi lakini mjomba hajapasha kiporo🤣🤣🤣🤣🤣haya bwana