Zijue faida za kutumia Email za kampuni na siyo Gmail / Yahoo

Zijue faida za kutumia Email za kampuni na siyo Gmail / Yahoo

Ingawa ulichoongea ni ukweli lakini watanzania tupo nyuma kwenye mambo haya. Huwa tunatumiana email na taasisi fulani kubwa sana hapa tz, lakini cha ajabu ni yahoo ndio inatumika.
Kuna kipindi hata magogoni walikuwa wanatumia gmail.
 
Ingawa ulichoongea ni ukweli lakini watanzania tupo nyuma kwenye mambo haya. Huwa tunatumiana email na taasisi fulani kubwa sana hapa tz, lakini cha ajabu ni yahoo ndio inatumika.
Kuna kipindi hata magogoni walikuwa wanatumia gmail.
Asante sana mkuu kwa Mchango wako, nafikili watanzania ambao hawajajua umuhimu wa kutumia Business Emails wataendelea kufahamu umuhimu wake zaidi.
 
Hizi email ukituma message Mara nyingi inakuja notification ya kutokuwepo au kutotambulika.
 
Hizi email ukituma message Mara nyingi inakuja notification ya kutokuwepo au kutotambulika.
Hapana mkuu, Hazifanyi hivyo ukiona hivyo ujue domain aiko connected na hosting server au domain aiko registered.
 
View attachment 1750292

Matumizi ya email za kampuni (Corporate Business Email Address) ni moja ya njia rahisi kabisa ya kutangaza biashara yako kwa wateja. Kitu ambacho nilikuwa ninajiuliza sana, inawezekana vipi mtu akatuma taarifa za kampuni kwa kutumia email za gmail? Utamuhakikishia vipi mteja kama anadili na kampuni na si mtu binafsi (mfanyakazi wa ndani ya kampuni aliyeamua kuifanya hiyo kazi mwenyewe)?

Matumizi ya emails za bure siyo tu yanakuondolea uthamani (Value), bali kunaweza kukukimbizia wateja wengi. Pia, kumbuka kuwa, si lazima uwe na website ili uwe na email ya kampuni. Unachotakiwa ni kuwa na jina la website na ukanunua bando la email. Jibebe Digital tunayo huduma ya email kwa kampuni (Business Emails). Huduma hizi zote zinapatikana kwetu kwa Gharama ya Tsh 97,000/= Tu kwa mwaka mzima.

Faida za kutumia email ya kampuni​

Uaminifu: Siku zote wateja hupenda kufanya biashara na watu wanao waamiini. Kwa kutumia emails za kampuni kutakusaidia kujenga uaminifu kwa wateja na kuondoa maswali maswali.

Inakufanya uwe kikazi zaidi: Wazo la haraka ambalo huwajia watu pindi wanapopokea email yako toka gmail au Yahoo ni kuwa, huyu hayupo makini na kazi yake. Hata email hana bado anatumia Gmail kikazi. Hivyo epuka kupoteza thamani na kuonekana haupo makini.

Inaongeza upatikanaji wako online: Email za kampuni hubeba jina la kampuni, kwa mfano, unatumia info@yourbusiness. com, hii inamaanisha mtu akienda yourbusiness. com ataonana na website yako. Hata kama hauna Website, unaweza kuweka kurasa ya matengenezo ya website (Under Construction page) na taarifa kadhaa zinazotoa ujumbe wa biashara yako.

Msaada wa haraka: Kwa kutumia email za kampuni, inakuwezesha kupata msaada wa haraka pale unapokutana na tatizo lolote, mfano kuvamiwa na hackers nk kwakuwa unakuwa umejiunga na huduma ya malipo toka kwa kamouni husika.

Jinsi ya kupata Emails za kampuni:​

Ili uweze kupata email ya kampuni, unatakiwa upate jina la website (domain name) na kifurushi cha email. Unaweza kupata kwa kutafuta Makampuni yanayotoa huduma hii (Website Hosting Companies) ambapo Jibebe Digital ni mmojawapo. Gharama na huduma zinategemeana na kampuni. Kwa mfano, Jibebe Digital inatoa huduma hii kwa gharama nafuu Zaidi ikijumuisha kurasa ya matengenezo bure. (Domain + Hosting au Bando la Email Kwa Tsh 97,000/= kwa mwaka mzima).

Hivyo, hauna sababu ya kuendelea kupoteza uthamani na wateja kwa kuendelea kutumia Gmail na Yahoo kwa mawasiliano ya kibiashara. Ni wakati wa kumiliki email ya kampuni leo na kuitumia.

WASILIANA NASI : +255.621 454 246
Vipi ukifariki au kufiisika email yangu itaendelea kuwa na uhai?
 
Vipi ukifariki au kufiisika email yangu itaendelea kuwa na uhai?
Nikampuni mkuu, So endapo kutatokea changamototo yeyote pia inauwezo wa kufanya backup kwenda kwa kampuni lingine la hosting pia utakua na uwezo wa kufanya domain transfer kupitia Client portal yetu.
 
Habari mkuu, Elimu imetolewa Faida na Jinsi ya kuwa na professional business email, Pia kama unahitaji unaweza pata hata nje ya sisi hata kwa hoster wengine. Karibu sana
sisi hatutaki biashara wala mawazo hayo hatuna na sio wote wanataka biashara na hawafiki 5%
95% waliobaki waache watumie gmail kwani inapatana na simu zote ziwe za Android au nyinginezo
kwani zinawafungulia Application kibao
Tweeter, whatsapp, Google earth, Google drive na takataka kibao
 
HAPANA NI UONGO MTUPU, hapo unajitangaza kibiashara
sisi hatutaki biashara wala mawazo hayo hatuna na sio wote wanataka biashara na hawafiki 5%
95% waliobaki waache watumie gmail kwani inapatana na simu zote ziwe za Android au nyinginezo
kwani zinawafungulia Application kibao
Tweeter, whatsapp, Google earth, Google drive na takataka kibao
Asante kwa ushauri wako but kunawatu wanajua umuhimu wa huduma hii mkuu na wanaendelea kutumia huduma zetu bila tatizo mkuu. Asante na Karibu pia
 
Asante kwa ushauri wako but kunawatu wanajua umuhimu wa huduma hii mkuu na wanaendelea kutumia huduma zetu bila tatizo mkuu. Asante na Karibu pia
Ok kumbe ni za kwenu?
basi waachie watu watumie G mail ndio inayowaunganisha na ulimwengu, mm ni dereva sipotei wala siulizi natumia Google iliyounganishwa na G mail, nasikiliza taarabu/mipasho, Kamanyola, kavasha kupitia Boom Play kupitia gmail vyote bure
 
Ok kumbe ni za kwenu?
basi waachie watu watumie G mail ndio inayowaunganisha na ulimwengu, mm ni dereva sipotei wala siulizi natumia Google iliyounganishwa na G mail, nasikiliza taarabu/mipasho, Kamanyola, kavasha kupitia Boom Play kupitia gmail vyote bure
Ingekua vyema ungesoma vizuri uzi kwa makini mfano uwezi kuta kampuni kama Vodacom, Tigo hata Taasisi za Kiserikali zinatumia email ya gmail au kampuni ambazo zipo kiushindani katika biashara ukakuta zinatumia gmail ndio maana tunaita corporate business email mfano gmail wanatoa huduma ya corporate business email lakini sio bure kwa makampuni na wajasiliamali ambapo mfano inakua info@yourbusiness .com au .co.tz na huduma yetu sisi inapatikana kwa makampuni na wajasiliamali wakubwa na wadogo. Karibu sana
 
We are here when you need help! Contact us today.
 
Email is an important method of business communication that is fast, cheap, accessible and easily replicated. Using email can greatly benefit businesses as it provides efficient and effective ways to transmit all kinds of electronic data.
 
Matumizi ya emails za bure siyo tu yanakuondolea uthamani (Value), bali kunaweza kukukimbizia wateja wengi. Pia, kumbuka kuwa, si lazima uwe na website ili uwe na email ya kampuni. Unachotakiwa ni kuwa na jina la website na ukanunua bando la email. Jibebe Digital tunayo huduma ya email kwa kampuni (Business Emails). Huduma hizi zote zinapatikana kwetu kwa Gharama ya Tsh 97,000/= Tu kwa mwaka mzima.
 
View attachment 1750292

Matumizi ya email za kampuni (Corporate Business Email Address) ni moja ya njia rahisi kabisa ya kutangaza biashara yako kwa wateja. Kitu ambacho nilikuwa ninajiuliza sana, inawezekana vipi mtu akatuma taarifa za kampuni kwa kutumia email za gmail? Utamuhakikishia vipi mteja kama anadili na kampuni na si mtu binafsi (mfanyakazi wa ndani ya kampuni aliyeamua kuifanya hiyo kazi mwenyewe)?

Matumizi ya emails za bure siyo tu yanakuondolea uthamani (Value), bali kunaweza kukukimbizia wateja wengi. Pia, kumbuka kuwa, si lazima uwe na website ili uwe na email ya kampuni. Unachotakiwa ni kuwa na jina la website na ukanunua bando la email. Jibebe Digital tunayo huduma ya email kwa kampuni (Business Emails). Huduma hizi zote zinapatikana kwetu kwa Gharama ya Tsh 97,000/= Tu kwa mwaka mzima.

Faida za kutumia email ya kampuni​

Uaminifu: Siku zote wateja hupenda kufanya biashara na watu wanao waamiini. Kwa kutumia emails za kampuni kutakusaidia kujenga uaminifu kwa wateja na kuondoa maswali maswali.

Inakufanya uwe kikazi zaidi: Wazo la haraka ambalo huwajia watu pindi wanapopokea email yako toka gmail au Yahoo ni kuwa, huyu hayupo makini na kazi yake. Hata email hana bado anatumia Gmail kikazi. Hivyo epuka kupoteza thamani na kuonekana haupo makini.

Inaongeza upatikanaji wako online: Email za kampuni hubeba jina la kampuni, kwa mfano, unatumia info@yourbusiness. com, hii inamaanisha mtu akienda yourbusiness. com ataonana na website yako. Hata kama hauna Website, unaweza kuweka kurasa ya matengenezo ya website (Under Construction page) na taarifa kadhaa zinazotoa ujumbe wa biashara yako.

Msaada wa haraka: Kwa kutumia email za kampuni, inakuwezesha kupata msaada wa haraka pale unapokutana na tatizo lolote, mfano kuvamiwa na hackers nk kwakuwa unakuwa umejiunga na huduma ya malipo toka kwa kamouni husika.

Jinsi ya kupata Emails za kampuni:​

Ili uweze kupata email ya kampuni, unatakiwa upate jina la website (domain name) na kifurushi cha email. Unaweza kupata kwa kutafuta Makampuni yanayotoa huduma hii (Website Hosting Companies) ambapo Jibebe Digital ni mmojawapo. Gharama na huduma zinategemeana na kampuni. Kwa mfano, Jibebe Digital inatoa huduma hii kwa gharama nafuu Zaidi ikijumuisha kurasa ya matengenezo bure. (Domain + Hosting au Bando la Email Kwa Tsh 97,000/= kwa mwaka mzima).

Hivyo, hauna sababu ya kuendelea kupoteza uthamani na wateja kwa kuendelea kutumia Gmail na Yahoo kwa mawasiliano ya kibiashara. Ni wakati wa kumiliki email ya kampuni leo na kuitumia.

WASILIANA NASI : +255.621 454 246
Nitakutafuta mkuu nataka unitengenezee website ya page tatu tu na email binafsi.
 
Our Email Package work with Outlook, Apple Mail, iPhone, Android and more as well as web based email access.
 
View attachment 1750292

Matumizi ya email za kampuni (Corporate Business Email Address) ni moja ya njia rahisi kabisa ya kutangaza biashara yako kwa wateja. Kitu ambacho nilikuwa ninajiuliza sana, inawezekana vipi mtu akatuma taarifa za kampuni kwa kutumia email za gmail? Utamuhakikishia vipi mteja kama anadili na kampuni na si mtu binafsi (mfanyakazi wa ndani ya kampuni aliyeamua kuifanya hiyo kazi mwenyewe)?

Matumizi ya emails za bure siyo tu yanakuondolea uthamani (Value), bali kunaweza kukukimbizia wateja wengi. Pia, kumbuka kuwa, si lazima uwe na website ili uwe na email ya kampuni. Unachotakiwa ni kuwa na jina la website na ukanunua bando la email. Jibebe Digital tunayo huduma ya email kwa kampuni (Business Emails). Huduma hizi zote zinapatikana kwetu kwa Gharama ya Tsh 97,000/= Tu kwa mwaka mzima.

Faida za kutumia email ya kampuni
Uaminifu:
Siku zote wateja hupenda kufanya biashara na watu wanao waamiini. Kwa kutumia emails za kampuni kutakusaidia kujenga uaminifu kwa wateja na kuondoa maswali maswali.

Inakufanya uwe kikazi zaidi: Wazo la haraka ambalo huwajia watu pindi wanapopokea email yako toka gmail au Yahoo ni kuwa, huyu hayupo makini na kazi yake. Hata email hana bado anatumia Gmail kikazi. Hivyo epuka kupoteza thamani na kuonekana haupo makini.

Inaongeza upatikanaji wako online: Email za kampuni hubeba jina la kampuni, kwa mfano, unatumia info@yourbusiness. com, hii inamaanisha mtu akienda yourbusiness. com ataonana na website yako. Hata kama hauna Website, unaweza kuweka kurasa ya matengenezo ya website (Under Construction page) na taarifa kadhaa zinazotoa ujumbe wa biashara yako.

Msaada wa haraka: Kwa kutumia email za kampuni, inakuwezesha kupata msaada wa haraka pale unapokutana na tatizo lolote, mfano kuvamiwa na hackers nk kwakuwa unakuwa umejiunga na huduma ya malipo toka kwa kamouni husika.

Jinsi ya kupata Emails za kampuni:
Ili uweze kupata email ya kampuni, unatakiwa upate jina la website (domain name) na kifurushi cha email. Unaweza kupata kwa kutafuta Makampuni yanayotoa huduma hii (Website Hosting Companies) ambapo Jibebe Digital ni mmojawapo. Gharama na huduma zinategemeana na kampuni. Kwa mfano, Jibebe Digital inatoa huduma hii kwa gharama nafuu Zaidi ikijumuisha kurasa ya matengenezo bure. (Domain + Hosting au Bando la Email Kwa Tsh 97,000/= kwa mwaka mzima).

Hivyo, hauna sababu ya kuendelea kupoteza uthamani na wateja kwa kuendelea kutumia Gmail na Yahoo kwa mawasiliano ya kibiashara. Ni wakati wa kumiliki email ya kampuni leo na kuitumia.

WASILIANA NASI : +255.621 454 246
Kwa kuongezea inaondoa adha ya udukuzi wa taarifa zako hususani google au yahoo kwa ajili ya ad targeting
 
Back
Top Bottom