Zijue faida za kutumia Email za kampuni na siyo Gmail / Yahoo

Zijue faida za kutumia Email za kampuni na siyo Gmail / Yahoo

Jibebe Digital tunayo huduma ya email kwa kampuni (Business Emails). Huduma hizi zote zinapatikana kwetu kwa Gharama ya Tsh 97,000/= Tu kwa mwaka mzima.
 
207275073_4337606952969932_4500877883237318388_n.jpg


UMUHIMU WA KUWA NA EMAIL YA KAMPUNI KIBIASHARA
Kutumia email ya kampuni badala ya yahoo/gmail huongeza Uaminifu na thamani ya biashara

Pia, ni njia nzuri ya kujitangaza, mfano support@jamiiforums.com inafanya uijue JamiiForums.com
 
Kuwa na email address binafsi

Haipendezi na haionekani kuwa “professional” pale unapohitajika kutaja email address yako halafu ukatumia email yenye domain ya makampuni makubwa kama gmail, yahoo au Hotmail. Kama kampuni yako ni ABC Limited, basi ni vema ukasema jinalako@abc. com au jinalako@abc.co .tz
 
Email is an important method of business communication that is fast, cheap, accessible and easily replicated. Using email can greatly benefit businesses as it provides efficient and effective ways to transmit all kinds of electronic data.
 
Hivyo, hauna sababu ya kuendelea kupoteza uthamani na wateja kwa kuendelea kutumia Gmail na Yahoo kwa mawasiliano ya kibiashara. Ni wakati wa kumiliki email ya kampuni leo na kuitumia.

WASILIANA NASI : CALL/ SMS/ +255.711 414 246 | +255.621 454 246
 
Email is an important method of business communication that is fast, cheap, accessible and easily replicated. Using email can greatly benefit businesses as it provides efficient and effective ways to transmit all kinds of electronic data.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huduma inaendelea.

WASILIANA NASI : CALL/ SMS/ +255.711 414 246 | +255.621 454 246
 
Business email that matches your domain. Access to email, contacts, and calendar anywhere, on any device. For only Tsh 97,000/= per year.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo, hauna sababu ya kuendelea kupoteza uthamani na wateja kwa kuendelea kutumia Gmail na Yahoo kwa mawasiliano ya kibiashara. Ni wakati wa kumiliki email ya kampuni leo na kuitumia.

Call/ SMS/ WhatsApp: 0621454246 / 0711414246

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Et jamani naomba kuuliza, hiv links zinazoanza na "info" kama hii info@ihi.or.tz huwa ni email addresses au zinamaanishaga nini maana nimetuma email haifiki, narudishiwa report kuwa imeshi dikana, naomben msaada!
Screenshot_20211116-143934.jpg
 
Et jamani naomba kuuliza, hiv links zinazoanza na "info" kama hii info@ihi.or.tz huwa ni email addresses au zinamaanishaga nini maana nimetuma email haifiki, narudishiwa report kuwa imeshi dikana, naomben msaada! View attachment 2014780
Habari, Mkuu iyo ni Email address ambayo inamilikiwa na hiyo taasisi husika. Kama email haifiki inaweza kusababishwa na kutokua active kwa email yao iyo katika upande wa domain au hosting, Au inawezekana aijawa created au ipo suspended katika hosting control panel.
 
Habari, Mkuu iyo ni Email address ambayo inamilikiwa na hiyo taasisi husika. Kama email haifiki inaweza kusababishwa na kutokua active kwa email yao iyo katika upande wa domain au hosting, Au inawezekana aijawa created au ipo suspended katika hosting control panel.
Mh hiyo changamoto sasa
 
Our Email Package work with Outlook, Apple Mail, iPhone, Android and more as well as web based email access.
 
Matumizi ya emails za bure siyo tu yanakuondolea uthamani (Value), bali kunaweza kukukimbizia wateja wengi. Pia, kumbuka kuwa, si lazima uwe na website ili uwe na email ya kampuni. Unachotakiwa ni kuwa na jina la website na ukanunua bando la email. Jibebe Digital tunayo huduma ya email kwa kampuni (Business Emails). Huduma hizi zote zinapatikana kwetu kwa Gharama ya Tsh 97,000/= Tu kwa mwaka mzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibebe Digital tunayo huduma ya email kwa kampuni (Business Emails). Huduma hizi zote zinapatikana kwetu kwa Gharama ya Tsh 97,000/= Tu kwa mwaka mzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuza na Brand biashara yako kwa kutumia email yenye jina la kampuni au biashara yako sasa. Wasiliana nasi kwa huduma na maelezo zaidi.
 
Back
Top Bottom