Zijue hoe phase, panic phase na toxic phase katika lifecycle ya mwanamke wa kisasa

Zijue hoe phase, panic phase na toxic phase katika lifecycle ya mwanamke wa kisasa

Jadda pamoja na Natafuta Ajira nimependa hoja zenu, mnaonekana ni watu wasomi sana, mko smart sana na mnanua kujenga hoja

Mbumbumbu kama mimi hawezi Jenga hoja kama za kwenu

Lakini ushauri wangu kwenu jitaidini basi mtunze maadili yetu ya kitanzania na ya kikanisa mnafika mahali mnadhalilishana sana

Pendaneni

Yote kwa yote nawapenda MUNGU MWENYEZI awabariki sana

AMINA
 
Toxic Phase ndiyo kipindi anapatikana kwa urahisi mno akiwa mkweli na kutoa mbunye kwa roho safi.. Moyoni mwake anajisemea liwalo na liwe..
Wahuni nasisi tuna hit hit hit afu fyeeekelea kwao
 
Kadili inavyopanda ngazi kimaisha ndivyo unatakiwa kuwa makini zaidi na muingiliano wako na wanawake. Hiki ni kipindi ambacho utakua target ya hawa wakina dada, usije ukajidanganya kwamba wewe una mvuto, handsome na illusions zingine. Ukweli ni kwamba wanawake hawa hawakuangalii wewe kama binadamu, wanakuangalia kama fursa.
Nakusanya point
 
Jiwe gizani. Hapo unaingia phase gani?🤔

Maana kwa mawenge yako tayari unaonekana haupo hatua nzuri.

Anyways, hamisa ni kama Kim Kardashian tu wa Tanzania, malaya nao huolewa bidii yake tu ya ushawishi. But usichokijua ni kwamba jamii haikupi heshima kwa kuolewa tu bali uwezo wako wa kumudu na kuishi ndani ya ndoa.

Wema sepetu akitaka kuolewa anaweza olewa kila mwaka, marehemu Dida alioelewa zaidi ya mara 5.

Sijui kama unaelewa point yangu kwamba sherehe ya harusi sio Ndoa yenyewe. Ndoa ina wenyewe ambao huwa wanaistahiki na wana vigezo.

Mtu ameshaonjwa na wanaume zaidi ya 10 kwenye ndoa anakwenda kufanya nini, if she came from a respectable and good home she will be a home maker and a wife. If she came from the streets with the hood culture in her character she is not going to make a home.
Sasa mbona hapa mnabadili maneno tena wimbo wenu wa kila siku si huwa kwamba wanawake waliochezewa hawaolewi na ndio maana wana stress, mara hii mnajifanya tena oo wanaolewa ila sijui ndoa hazidumu na blah blah kibao unaona sasa jinsi ambavyo mnaumbuka na hoja zenu, sasa ndio nawapa hali halisi kwamba huku kwenye maisha halisi wanawake waliochezewa wanaolewa kila siku na wengine ndoa zinadumu vizuri tu
Ingekuwa ulichosema ni kweli then wanawake 30+ wasingekuwa na time na mahusiano wala mapenzi. Ila ukweli sote tunajua kuwa muda unavyozidi kwenda ndio mwanamke anaona umuhimu wa kuwa na mwanaume m'moja mwenye maisha mazuri na anayeweza kumtunza.

Na wewe naona ndipo unapoelekea sijui ushaanza kuooana jioni tayari?
Unadhani ni kwanini muda unavyozidi kuenda, ndivyo mwanamke anavyoona umuhimu wa mahusiano, kwanini asianze kuuona huo umuhimu toka akiwa binti mbichi
Huyu material ya ufeminist yanampelekesha balaa huwa nikisoma reply zake ndio naelewa kuwa ni kweli accountability ni sumu kwa mwanamke wa kisasa hawataki kukubali kuwajibika wala kuwajibishwa always wanaplay victim na kublame wanaume kwa maamuzi yao ya kitakataka.
Na hapa ndipo tatizo lenu lilipo mimi hoja yangu siyo kwamba wanawake wanatakiwa kuwalaumu ninyi, bali hoja yangu ni kwamba ninyi ndio mnatakiwa kuacha kuwalaumu wanawake kwa sababu hayo maovu ya uzinzi mmeshiriki wote, kumbuka hapa wanaoanza kulalamika huwa ni wanaume na siyo wanawake sasa unaposema wanawake ndio hawataki kuwa accountable sijui unamaanisha nini

Mnapowalaumu wanawake maana yake ninyi ndio ambao mnaplay victims na hamtaki kuwa accountable kwa kuwashawishi na kuwachezea hao wanawake kwa madai kwamba ni jukumu lao kujitunza, huku mkisahau kwamba wanawake nao ni binadamu kama ninyi na siyo malaika kwamba wataweza kukwepa vishawishi vya wanaume miaka yote, kumbuka katika hali ya kawaida siku zote anayeanza kushawishi ni mwanaume ukiwaweka hapo kijana bikira na binti bikira ni ngumu binti bikira kumuanza kijana bali lazima yeye ndio ataanzwa

Na mnaposema eti wao ndio wanaoteseka kwa kukubali huwa nashindwa kuelewa wanateseka wapi ikiwa ninyi ndio mnaoteseka kutafuta wake wa kuoa, kwa sababu in real sense ninyi ndio wenye shida na hizo bikira za wanawake sasa kuzitoa mzitoe wenyewe halafu mwisho wa siku mje kuwalalamikia tena wanawake huku ninyi mkifanya mko innocent, mimi hoja yangu ni kwamba kama mnajijua mmechezea wanawake kadhaa ujanani basi mkitaka kuoa msilalamike mkishaanza kulalamika ndipo mnapoibua hiyo hoja ya nani aliyewatuma muwachezee hao wanawake mngewaacha na bikira zao wala wasingewalazimisha
Wewe unajua haupogo serious hata kidogo na reply zako.

Hivi wewe unajua hali iliyopo sasa hivi huko ulaya marekani?🤔

Unajua kuwa rate ya ndoa,familia,na kuzaa watoto imeshuka,hao wanaoolewa wewe ndie unafungisha ndoa?

Hebu tupe real time information na sio fabricated information?

Nenda kwenye page ya Elon Musk kule Twitter(X)katazame ni mara ngapi ameliongelea hili swala la kushuka kwa ndoa,drop ya population na kuzaa watoto, na ongezeko la divorces.

Kwasasa hali sio nzuri. Na wewe umegusia wanawake wa asili ya Africa ( black American)ambao ni the least desired inapokuja swala la ndoa but most desired when it comes to prostitution.

Wanawake wa kizungu wanajiweza kiuchumi na wengi wao wanamaanisha ile 50/50 na wanaiishi kiukweli. Anafosi kulipa bili, ukimpa pesa bila sababu na hakukuomba utaona anakuonea huruma na atagoma sababu wamekuzwa na system hiyo ya kimagharibi.

Nyie akina Jadda mwanaume asipokupatia chochote hauoni sababu ya kuwa katika uhusiano yaani unataka kulipwa 100% kwa vitu ambavyo mwanaume hatumii na ni bills au gharama zako wewe mwenyewe.

Wewe usiongee vitu usivyovijua wewe.
Hoja yangu ni kwamba ulisikia wapi wanaume wa magharibi wanalalamika kuwa hawaoi au wanachelewa kuoa, kwa sababu eti wanawake wao hawana bikira na wametumika sana maana hao sababu yao kubwa ni sheria za ndoa zinawabana, sasa wewe hizo blah blah za uchumi hata sijui umezitoa wapi

Lakini kwa sababu umegusia suala la wanawake wa magharibi kujihudumia wenyewe na kuchangia uchumi wa familia, naomba nikukumbushe tu kuwa huko kwa wenzetu majukumu ya nyumbani na malezi ya watoto siyo ya wanawake pekee bali ni either mfanye wote au muajiri housemaid au nanny, na pia huko hakuna masuala ya mwanamke kumtii mwanaume au sijui mke akitaka kufanya kitu au kuenda mahali lazima aombe ruhusa kwa mumewe

Sasa huku wanaume bado mna ile mentality kwamba majukumu ya nyumbani na malezi ya watoto ni ya mwanamke, na bado mnataka mpewe utii na muwatawale wanawake katika kila angle halafu hapo hapo mnataka hao wanawake wajitegemee kiuchumi kama wanawake wa kizungu inaingia akili kweli hiyo, yani kwa kifupi mnataka wanawake wa afrika kiuchumi wawe kama wa magharabi huku wakibaki na uafrika wao ule ule halafu wakati huo huo ninyi hamtaki kuwa kama wanaume wa magharibi huoni kama ni ajabu hiyo
Endelea kujifariji ila wanaooa ni wanaume na ndio wanasema wanaoa wakina nani,wewe captain ya meli ya MV wasimbe unatetea kitu ambacho watekelezaji ndio unawabishia sasa?

Wewe umeoa wanauwake wangapi hadi ubishie wanaume ambao ndio waowaji?
Mimi sijifariji, naongea uhalisia ninaouona kwenye jamii, msinilazimishe niongee matamanio yenu
Ni wajinga kwa mujibu ya mitazamo ya kiume. Wewe kama mwanamke hauwezi elewa wala kuona ni wapi wanafeli sababu ujinga wao ndio source ya survival kwako.
Ujinga upi huo wa hao wanaume ambao mnaona ndio source ya survival kwa wanawake, mwanaume mjinga ni yule ambaye amechezea wanawake wa kutosha huko ujanani huku akijisifu kuwa yeye ni play boy halafu mwisho wa siku akitaka kuoa na kusettle anaanza kutafuta bikira, akishachoka kutafuta na kuzikosa anaanza kulalamika kwamba wanawake hawajitunzi na hawajiheshimu kana kwamba hao wanawake walikuwa wanafanya na viumbe toka sayari nyingine
Hakuna fantasies kwenye uhalisia wa maisha ya mwanaume. Bikra sio kitu cha kufikirika ni kitu cha uhalisia. Ni ninyi wanawake ndio ambao mnaunda uhalisia wenu wa kufikirika na kuamini unaweza kuwa kweli. Sasa wewe ufike miaka 30+ then usettle na mtu akuamini na kukupenda sawa na mwanamke aliyemtoa bikra hiyo inawezekana vipi?
Bikira ni kitu cha uhalisia ikiwa zilitunzwa na ikiwa wanaume hawakufanya na hao mabinti, which means na wanaume nao wangetakiwa kujitunza kwa sababu wanawake wakisema wote wajitunze hadi ndoa, maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao hadi pale watakapoamua kuoa

Sasa fantasy yenu inapokuja ni pale ambapo mmechezea mabinti wakiwa kwenye early 20s kwa madai kwamba wakiwa umri huo huwa wanaringa kuolewa, kwahiyo mnafanya hit and run halafu mkitaka sasa kuoa mnarudi kwa mabinti wengine wa early 20s mnaosema ndio wenye bikira, wakati mnadai kwamba wakiwa huo umri huwa wanaringa kuolewa na kweli wengi wao huo umri huwa hawataki kuolewa unaona sasa shida ilipo hapo

So mwisho wa siku mnajikuta option pekee mliyobaki nayo ni wale wale wanawake mlioruka nao ujanani ambao wao kwa wakati huo ndio wako tayari sasa kutulia na kuolewa, na ndicho tunachokiona kwenye maisha halisi wanawake wengi wanaoolewa ndio hao hao mliowatumia au wewe niambie siku hizi ni mabinti wangapi wenye bikira zao wanakubali kuolewa mapema, mind you siku hizi mabinti wengi wanatolewa bikira mapema sana wengine tangu wakiwa teenagers sasa niambie dunia ya leo ni mabinti wangapi wanaoolewa katika umri huo au labda kama unaongelea wanawake wa vijijini
Unafahamu kuwa wanaume wanao toa bikra au kutembea na wanawake wengi tena hovyo hawazidi 10% ya idadi ya wanaume wote? Kama unataka ufafanuzi hapa nitakuelekeza
Kama kawaida, na takwimu zako za mchongo, ofcourse weka ufafanuzi hapa
Kujitunza kwa mwanaume ina maana kupambana na maisja yake kwa kujijenga kiuchumi,kujiwekeza na kuwa na mali kwaajiri ya familia yake,unafananishaje kujitunza kwa mwanaume na kujitunza kwa mwanamke? Mwanaume ideal ni yule anayejipanga kimaisha na mwanamke ideal ni yule anaye tunza mwili.
Hapa hatuongelei masuala ya uchumi tunaongelea masuala ya ngono, sasa ninyi sijui ni nani aliyewaambia kwamba kwa sababu mwanaume anakuwa judged kwenye uchumi, basi ndio inamzuia kuwa judged kwenye ngono hizi hoja huwa mnazitoa wapi

Kwanza mwanaume kuwa judged kwenye uchumi ni suala la mgawanyo wa majukumu tu, ni kama ambavyo wanawake wanakuwa judged kwenye kujua kuhandle majukumu ya nyumbani, so mnapolinganisha linganisheni vinavyolinganishika msilazimishe yasiyowezekana

Yani suala la ngono linahusisha jinsia zote mbili hakuna namna utaijudge jinsia moja na kuikwepa jinsia nyingine, logic inakataa hapo yani ni either jinsia zote ziwe sahihi au zote ziwe na makosa kulingana na mazingira, narudia vinginevyo ni sawa na kusema zile pande mbili za shilingi upande mmoja uko sahihi kuwepo pale ila mwingine hauko sahihi kuwepo pale sasa hiyo ni logic ya wapi
Hatuwezi fanana hadi useme sote tuna makosa sababu mwanaume haendeshi maisha yake kwa namna sawa na mwanamke. Unafahamu kuwa kuna wanaume hadi wanafika miaka 40 hawajawahi kutana na mwanamke bikra sababu bikra wa sasa wanataka wanaume wenye mafanikio tu?
Nakukumbusha hoja siyo kutoa bikira tu bali kuwachezea wanawake huyo mwanaume hadi anafikisha huo umri maana yake naye ameshiriki kuongeza mileage kwa wanawake kadhaa na pengine wengi wao walikuwa bado hawajatumika sana, kwenye hili hakuna mwanaume anayeweza kukwepa hatia ya kuwaharibu hao wanawake unless uniambie kuna wanaume wanaofika umri huo wakiwa bado na uvulana wao kama kweli wapo hao ndio wana haki ya kudai hizo bikira, the rest haki yenu ni kupata hayo hayo mnayoyaita makombo kwa sababu mliokomba ni ninyi wenyewe sasa mnashindwaje kumalizia makombo yenu mnataka kina nani ndio waje wayamalizie unajua mnashangaza sana
Madhara yapo wazi. Mwanamke kutokuwa na bikra ni muhuri wa umalaya. Mwanaume akikutana na mwanamke asie bikra tayari anamshusha hadhi kutoka mke wa pekee kuwa mali ya uma.
Kwamba wanawake wanatembea na chata zinazowaonesha huwa huyu ametembea na wanaume wengi huyu katembea na wachache au unataka kusemaje, halafu nataka kujua madhara anayopata mwanamke kwa kushushwa hadhi na mwanaume waliyekutana tu randomly na uniambie faida anayopata ya kupandishwa hadhi na huyo mwanaume, wewe kama huna mpango wa kumuoa mwanamke fulani kwa sababu ya insecurities zako na mawazo yako uliyojijenga kichwani mwako dharau zako zinamdhuru nini huyo mwanamke
Sio kweli. Kwani akichelewa na akaoa baadae mgawanyo wa mali utapungua? Hapa umechemka.
Hapana wakichelewa kuoa mgawanyo wa mali haupungui bali huwa wanakuja kujua kwamba vyovyote iwavyo lazima at some point in their lives watawahitaji wanawake, hivyo potelea pote liwalo na liwe acha waoe tu na ndio maana wengine wanatumia mbinu mbalimbali kwa kuandikisha mali kwa wazazi au ndugu zao lakini wasikose ndoa, vinginevyo kwa sheria zao namna zinavyowabana basi wangeamua kutooa kabisa hadi uzeeni au hadi wanakufa kwani wangepungukiwa nini
Wanaume wa kizungu pia wanatambua thamani ya bikra ila kutokana na viburi vya wanawake zao ambao wanakaa kabisa na kusema bikra sio thamani kwa mwanamke upuuzi ambao hata huku mnatuletea wameona isiwe shida,wamepotezea bikra.
Yani unataka kusema kwamba wanaume wa kizungu wameamua kuacha matakwa yao na kufuata matakwa ya wanawake, aise hivi kati ya mimi na wewe ni nani sasa hapa anayelazimisha mawazo yake ndio yawe uhalisia hivi kwanini unapenda kulazimisha uongo mradi tu utetee hoja zako, wanaume wa kizungu siyo wajinga kama wa kiafrika ni kwamba wanajua kuwa wao ni sehemu ya hizo bikira za wanawake kupotea hivyo hawawezi kudai kitu ambacho wao wameshiriki kukipoteza kama siyo uwendawazimu ni nini
Hakusema kuwa wanaume hawapo amesema kuna wanawake wanajiuza kwenye dating market ikiwamo apps za dating of which 99% ya encounters huwa si successful na huishia na watu kulana tu na kupotezeana muda.
Ndio na mimi nikamuuliza mbona huko kwenye dating sites kuna hadi mabinti wa early 20s ambao mnadai ndio wana soko na hawapati shida kupata wanaume huku kwenye jamii, yani kwanini mkiona mishangazi huko mseme sababu ni kukosa soko na kutafuta ndoa ila mkiona mabinti au wanaume basi sababu ziwe ni nyingine ninyi mmetumia vigezo gani kuja na hasty generalizations kama hizo, kukulana na kuachana ni matokeo tu ila wapo wanaume wengi wanaojiunga kwenye hizo dating sites kwa ajili ya kutafuta wenza wa ndoa ni wachache ambao wanaingia na direct motive ya kupiga na kusepa tu so usipotoshe haoa
Kutongozwa sio hoja, sababu ni gear ya kuomba mchezo ili watu wapige na kusepa. Kutongozwa haimaanishi utaolewa. Ni sawa na kusema watu kuja dukani kuuliza bidhaa ndio wanunuzi wa bidhaa.
Unachagua mwanaume sahihi wewe ni sahihi?🤔
Sawa lakini haimaanishi kwamba wote wanatongozwa kwa lengo la kuchezewa wapo wanaotongozwa kwa lengo la kuolewa kabisa, na ndio hao tunaowaona wanaolewa kila siku na wengine ndoa zinadumu hadi uzeeni, wanawake nao wana haki ya kuchagua wanaume kama ninyi mnavyochagua wanawake sasa labda niwaulize na ninyi mnapotafuta wanawake sahihi je ninyi pia huwa ni sahihi
Simps ni wanaume wasiojielewa. Ukitaka kujua hilo jiulize wewe ukiwa na mtoto wako wa kiume umesomesha kwa shida sana na kuunga unga ada. Anafanikiwa anapata maisha mazuri na kuwa tajiri ila hakuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke before.

Then anakuja kukuletea mkamwana mwenye watoto 3 baba tofauti anataka amuoe anataka baraka zako kama mama yake na hao watoto anasema atawaandika kama warithi wake kwa mali zake.

Wewe kama mama utakubali kijana wako aoe single mother wa miaka 38 mwenye watoto 4 na hayupo tayari kuzaa soon, wakati huko nje kuna mabinti kibao waliojitunza na hawana hata mtoto wala kuwahi kutoa mimba?
Hapa suala siyo kujadili hisia zangu kama mama wa huyo kijana, bali ni kukubaliana na hisia zake na maamuzi yake, kwa sababu mimi nisingeweza kumchagulia mwanangu aina ya mwanamke wa kuoa

Na mzazi kutokupenda mwanaye aoe wanawake wa aina fulani, haimaanishi kwamba wanawake wote wa aina hiyo ni wabaya au hawafai, kinachomatter siyo hisia za mzazi juu ya wanawake wa aina fulani bali ni uhalisia wa mwanamke husika ambaye kijana amemchagua

Na hilo halipo kwenye mahusiano tu mfano kwani ni wazazi wangapi hawapendi watoto wao waje kufanya kazi fulani mfano uaskari au ukuli, kwahiyo napo utasema hizo kazi ni mbaya au kila anayefanya hizo kazi ana matatizo kwa sababu tu kuna wazazi hawazipendi hizo kazi wakati kiuhalisia ni kazi halali, na je kwani hakuna wanaofanya hizo kazi na wakaja kufanikiwa maishani
Nyani huwa anatetea nyani wenzake. So kama unatetea kundi fulani la wanajamii then una fanania nao vizuri sana.
Kama ungenisaidia kunielewesha hii kauli yako inatokana na kanuni gani ya kiulimwengu basi ingekuwa vizuri sana
Kimsingi unataka mjadala ukidhi haja zako za kihisia na kukufariji jambo ambalo sisi wanaume hatuna muda wa kulifanya sababu you owe as nothing but blames and instructions.
Sasa kati ya mimi na ninyi nani ambaye anatala mijadala ikidhi hoja zake za kihisia na kufarijiwa, maana mimi huwa naandika uhalisia uliopo kwenye jamii ila ninyi ndio huwa mnaandika matamanio yenu, ninyi kugeneralize kwamba wanawake wasipojitunza hawaolewi ni uongo na ndicho mnachotamani ila kiuhalisia tunaona kila siku wanaolewa sasa hapo nani anaandika nadharia
Kuhusu wanaume hao kuoa wanawake wa hovyo ndio matokeo ya kukalia kimya utomvu wa nidhamu wa wanawake unaoendelea kwenye jamii. Kizazi cha wanaume wa sasa tumesema enough is enough na tumeamua kukaza. Tunaanza kutambulisha rasmi kuwa bikra ndio namba one qualification ya mwanamke bora.
Sasa mlikuwa wapi toka mwanzo kukubali, kwamba kwa sasa wanawake kutojitunza haipelekei wao kutokuolewa, ila ndio mko kwenye harakati za kuwahamasisha wanaume waache kuoa wanawake wasiojitunza

Sasa nadhani mnazidi kuona kwamba kati ya mimi na ninyi ni nani anayeandika uhalisia na nani anayeandika nadharia, maana kwa sasa hali iliyopo ni wanaume kuoa wanawake wasiojitunza, bado hatujafikia hicho kipindi cha wanaume kukataa kabisa kuoa wanawake wa aina hiyo na sijui kama kitafika

Anyway kila la heri kwenye harakati zenu za kuhamasishana kuachana na wanawake wasiojitunza kana kwamba wanaume ni watoto hawajui wanachofanya, ila katika kuhamasishana kwenu huko msisahau tu kukemea na maovu yenu na mkumbuke tu kwamba wanawake wa sasa siyo kama wa zamani, sisi tuko hapa tunasubiri hizo kampeni zenu zifanikiwe maybe one day yes but till then msibishane na uhalisia uliopo sasa hivi
Kwahiyo wewe unajitunza kwaajiri ya mwanaume tu au pia hata wewe kulinda heshima yako kama mtoto wa kike kwenye jamii? Hivi mwanaume anapotafuta pesa na mali ni kwaajiri ya familia yake tu au na kwaajiri yake binafsi kujipa heshima kwenye jamii na kuwa mtu muhimu?
Ndio maana nikasema mniambie faida anayopata mwanamke yeye kama yeye kwa kujitunza (faida ambayo haimhusishi mwanaume), kwenye mahusiano heshima siyo kipaumbele kikubwa kwa mwanamke bali siku zote huwa ni kipaumbele kwa mwanaume, wanawake wana vipaumbele vyao tofauti ambavyo kama wanavipata basi wana uwezo wa kuvumilia hata kama heshima hakuna sasa wewe niambie heshima ya mwanaume inamsaidia nini mwanamke
Kimsingi una address tatizo la kikundi cha watu kama tatizo la watu wote. Nitakuuliza swali hili tena kuwa je unafahamu kuwa wanawake wapo after kundi dogo sana la wanaume yaani 10% ya wanaume wote sababu idadi kubwa ya wanaume hawana vigezo vya kuwapa mahitaji yao katika lile rika la miaka kati ya 16 hadi 26?🤔 Why sasa unataka kulaumu matokeo ya tabia za 10% ya watu kwa 90% ya population?
Aise kwahiyo unataka kusema hao wanaume wasio na uwezo wa kukidhi mahitaji ya wanawake ndio hawafanyi kabisa ngono kwamba wamebaki na uvulana wao, hebu tusifanyane watoto wadogo hapa kwamba unataka kusema wanawake wote wanafuata hela tu kwenye mahusiano na hao wanawake wa uswahilini na vijijini nao wanafanya na kina nani, ninachojua mwanaume hata awe masikini vipi atakosa vyote ila kamwe hawezi kukosa mwanamke wa kumalizia haja zake hilo hata wanaume masikini wenyewe huwa wanakiri
Unakuwa na tofauti gani na mwafrika anae laumu wazungu wa sasa kwasababu ya matokeo ya ukoloni ambao hata hawakushiriki?

Hata CHADEMA hawezi kukemea CHADEMA mwenzake eti kwasababu CCM anamuelekeza kukemea maovu ya wanachadema. Wewe kama unayajua maovu ya wanaume ambayo wanaume hatuyaongei then badala ya kuja hapa na kujikuta ni attorney general mtetezi wa maovu ya wanawake na kutoa povu kwenye nyuzi za wanaume then why don't you do the expected yaani uanzishe thread kuelezea maovu na shida wanaume ambazo hazikemewi ili uisaidie jamii kukemea upande ambao haukemewi? Nje ya hapo,kuwa msomaji mpitaji tu acha kuja kutetea ujinga kwa kigezo kuwa wanaume wanakandamiza upande m'moja bila kugusia upande wao.
Sasa kama mnalijua hilo mbona nikikemea maovu ya wanaume mnaanza kupinga na kuniita majina ya ajabu na kuniletea personal attacks, mara mseme nashindana na wanaume halafu hapa unajifanya kwamba kama nimeona maovu ya wanaume niyakemee, sasa si ndio haya maovu yenyewe ambayo nakemea ni maovu gani mnayotaka nikemee au mnataka niwe nakemea yale yanayowafurahisha na mnayopenda kusikia hebu acheni huu unafiki wenu
Usichokijua ni kuwa mwanaume hahitaji dating site kupata mwanamke wa kufanya nae maisha akiwa serious. Most of those unawaona kule wanatafuta easy prey and target za kupiga na kuyeya kama unabisha fuatilia. Ila wanawake naweza kukuhakikishia wanashida ya mahusiano serious kule mtandaoni sababu wameshakichafua sana huku mtaani na sasa wanakwenda kutafuta wanaume wa mbali wasiowajua ili wawaambie kwamba wao sio tatizo bali tatizo ni wanaume waliokutana nao huko mtaani kwao waliwachezea na kuwaacha. Ukweli ni umalaya tu hapo.
Nimeshakuambia dunia hii hakuna mwanamke asiyetongozwa hata awe na sifa mbaya kiasi gani lazima tu atatongozwa whether ni mitaani au mitandaoni, sasa sijui umetumia vigezo gani kuconclude kwamba wanaume wanaowatongoza mitaani lengo lao ni kuwachezea tu ila wanaowatongoza mitandaoni lengo lao ndio kuwaoa, halafu aliyekuambia kwamba wanaume huku mitaani ndio hawakataliwi ni nani kwanini unaassume kwamba wanaume wote wana uwezo wa kumpata mwanamke yeyote wanayemtaka muda wowote wanaotaka hivi unaishi dunia gani wewe
Kuwa na pesa na mali hakudefine ubora wa wanaume tena ni rahisi kumjua mwanaume dhaifu wakati ana mali. Aziz K kumchagua mobeto ni matokeo ya kuwa mwanaume dhaifu ambaye amechagua kuwa mjinga katika jamii na ndio sababu ya kampeni zetu. Ingekuwa pesa ndio kipimo kamili cha ubora wa mwanaume then niambie kabla ya pesa kugundulika wanaume hawakuwapo? So acha kutumia mfano wa mtu mjinga na asiyejutambua kwenye mada ya utambuzi, futa huu upuuzi umeandika hapa.

Bado nitakwambia kitu kile kile,usipime ubora wa mwanaume kwa kutumia utajiri,kuna wauza madawa wanapesa nyingi,wala rushwa wanapesa nyingi, human traffickers wanapesa nyingi,je hawa ni mfano wa kuiga kwenye eneo la ubora wa mwanaume?🤔
Sasa hapa mbona unajicontradict tena ninyi si ndio mnasema thamani ya mwanaume inapimwa kwa uchumi aliona, na thamani ya mwanamke inapimwa kwa kutunza mwili wake sasa hapa tena mbona unageuza maneno, unasema ubora wa mwanaume haupimwi kwa utajiri alionao kipi ni kipi
Haya kumchagua Nandy na kutaka kumuoa still ikupe picha ya tatizo tulilonalo kwenye jamii la kuzalisha na kutengeneza wanaume masimp ambao hata wakiwa na mali na utajiri bado watafanya poor choices. Huyo Nandy sio classy woman, Bill Nas ni Mwanaume mjinga na ipo wazi,huyo Ruge eneo la mahusiano ana performance mbaya, hii tayari ikupe picha hata wewe ufahamu kuwa una poor judgment katika kujua ni katika mifano ipi unaweza kujenga hoja ya mwanamke au mwanaume bora.
Bado narudia kukuambia hao wanaume siyo wajinga bali wanajua namna walivyochezea wanawake huko nyuma ndio maana hawajataka kulazimisha yasiyowezekana, sasa mtu kama Ruge unataka atafute bikira ya nini wakati si ajabu enzi za ujana wake kazitoa kibao na uwezo wa kuoa bikira alikuwa nao ila kwa sababu siyo mbinafsi akaona awajibike kwa maamuzi aliyoyafanya ujanani, sasa ninyi kina pangu pakavu mnataka mchezee watoto wa watu weee halafu mwisho mkitaka kuoa eti ndio mtafute vibinti vibichi nawaambia hivi hiyo nature kabla haijaanza kuwahukumu wanawake itawahukumu kwanza ninyi pale ambapo hivyo vibinti vibichi vitakataa kuolewa katika umri huo hadi na vyenyewe vitumike kwanza
Usichokijua huwa ni usiku wa giza kubwa sana na utapata shida. Usipoujua ukweli utahisi kila uongo ndio ukweli. Hakuna mtu amesema huko mtaani wanaume wapuuzi huwa hawaoi wanawake wa hovyo, tunasema kuoa wanawake wa hovyo ni makosa na ninatuletea changamoto katika eneo la ustawi wa jamii sababu tunakuwa tunapromote umalaya,ukahaba,malezi mabaya ya watoto,mporomoko wa maadili na mbaya zaidi wanaodhurika sio hao watu maarufu unaotuletea kama mifano bali ni sehemu kubwa ya mabinti na wanawake wa huku uswahili wasiojulikana wala kuwa na utetezi.

Wewe unatype at the comfort zone of your lifestyle wenzako huku chini wakiharibu wanakutana na backlash ya wanaume wa kisasa tusio entertain ujinga unao tetea. Acha kuwa mzembe wewe.

Utu uzima huja na busara kwasababu busara ni mtoto wa hekima. Hata Malaya akizeeka huwa anajua ubaya na uharamu wa matendo yake. So,yes busara huja na umri mkubwa.
Kama kweli mnataka kukomesha umalaya kwenye jamii basi anzeni kuwaambia wanaume wenzenu waache kutembea na wanawake wasio na malengo nao, huwezi kumuambia mtoto wa kike ajitunze na kusema eti uzinzi kwake ni kosa wakati huo huo, unamuambia mtoto wa kiume uzinzi kwake ni sawa tu hauna madhara sasa unategemea nini

Yani obviously huyu mtoto wa kiume ataendelea tu kuwasumbua wanawake wanaojitunza, atatafuta kila namna kuwashawishi na kuwarubuni ili atembee nao sababu naye hawezi kuvumilia hadi aoe ndio aanze kufanya ngono, kwahiyo kwa vile wanawake nao ni binadamu msitegemee wataweza kukwepa vishawishi miaka yote

Sasa kama wanaume hawawezi kujitunza na kuvumilia hadi ndoa kwanini mwisho wa siku mje kuwalaumu wanawake tu, kwa upumbavu mliofanya nyote wawili huku ninyi mkijiona mko innocent, wakati mnajua fika huko mbeleni mtakaokuja kuzihitaji hizo bikira za wanawake ni ninyi wenyewe kwa ajili ya ufahari wenu
Shida ni moja unacheza mchezo wa tit for tat badala ya reality check. Mengi unayojibu ni kama unafanya kujibu kushindana na sio kujadili ajenda iliyopo mezani. Kwenye kila comment unayojibiwa direct unaanzisha mjadala mwingine ambao unatutoa kwenye original agenda na kupoteza maana ya kujadili.

It's like unalenga kupata ushindi wa "mimi ni mwanamke wa shoka sishindwi na mwanaume kirahisi" badala ya " let me learn and explore the topic na ni navigate na hawa wachangiaji in a most communicating manner.

Sijajua kwenye mahusiano yako sijui boyfriend au mchumba wako kama huwa anapata last and final say kwenye mijadala yenu.
Hizi ni assumptions zako tu binafsi baada ya kuona umeishiwa hoja, mimi huwa sibishana kushindana au unadhani mimi ndio sichoki kuandika haya magazeti kwa watu wenye vichwa vizito na vigumu kuelewa kama ninyi, mimi huwa nabishana na ninyi sababu nazijua hoja zenu hamnaga hoja za maana zaidi ya visingizio vyenu vile vile vya miaka yote visivyo na uhalisia
It's a headache plus migraine kuongea na mtu ambaye target yake ni kushindana badala ya kujadili hoja iliyopo mezani kwa madhara yake yanayoonekana.
Hivi kati ya mimi ambaye najadili hoja direct na ninyi ambao mko busy kunishambulia na kuongelea namna nikoje kwenye maisha yangu halisi nani ambaye anatoka nje ya mada na anapenda kushindana, hebu zungumzeni ukweli acheni kuwa biased mimi hakuna siku nimemshambulia mtoa hoja kuwa nje ya jf atakuwa yuko hivi na hivi ila ninyi kutwa kuassume maisha yangu halisi nje ya jf kwa kuzingatia maandiko yangu humu, halafu mbaya zaidi kwenye kuotea kwenu mnaishia kujicontradict tu mara leo huyu anaongea hivi kesho yule anaongea vile basi mi nawachora namna mnavyohangaika utadhani mnanijua kumbe mnajifariji tu
Unatumia vibaya neno mjadala (discussion) rather tumia neno marumbano (argument) of which is something u r good at.
Umetumia vigezo gani, kunituhumu kuwa mimi narumbana ila ninyi ambao nabishana nanyi ndio mnajadiliana, hebu jadilini hoja acheni kulialia na kutafuta visingizio
 
Mwanaume thamani yake ipo kwenye pesa maana ndo ana jukumu la kuihudumia familia, lakini mwanamke hana jukumu hilo, thamani yake siyo pesa bali ni kujitunza mwili wake. Huyo Jadda anayelalamika kuwa tunawaharibu wanawake kwani tunawabaka? Si makubaliano, kwanza ktk mahusiano mwanaume ndo anapata hasara, hapo nani anamharibu mwenzie?
Sasa kuna mwenzako hapo anasema ubora wa mwanaume siyo pesa tu, mbona mnakinzana tena hebu ongeeni lugha moja mueleweka basi, na ninyi mnapolalamika kuwa wanawake hawana bikira kwani waliwalazimisha muwatoe hizo bikira
Wanawake wakijitunza hatutakosa pa kupndolea genye, tutawakwepa bikra ili tuje tuwaoe, kisha tutakuwa tunawala mliotobolewa kama wewe.
Si unaona sasa namna mnavyofikiria mbele ya pua zenu tu, nasema hivi si mnataka wanawake wote wajitunze hadi ndoa sasa ndio tuassume kizazi cha wanawake wasiojitunza kimeisha kimebaki cha wanaojitunza tu, na sheria imewekwa kuwa hakuna mwanamke kufanya ngono kabla ya kuolewa ndio nauliza sasa wanaume watafanya na kina nani kabla ya kuoa
Jadda pamoja na Natafuta Ajira nimependa hoja zenu, mnaonekana ni watu wasomi sana, mko smart sana na mnanua kujenga hoja

Mbumbumbu kama mimi hawezi Jenga hoja kama za kwenu

Lakini ushauri wangu kwenu jitaidini basi mtunze maadili yetu ya kitanzania na ya kikanisa mnafika mahali mnadhalilishana sana

Pendaneni

Yote kwa yote nawapenda MUNGU MWENYEZI awabariki sana

AMINA
Mkuu mimi sina shida na mtu yeyote ila nawaambia tu ukweli hawa wanaojifanya wanataka jamii ibadilike, halafu badala ya kudeal na mzizi wa tatizo wao wanadeal na matokeo ya tatizo, sasa hapo si ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kazi bure tu
 
Sasa kuna mwenzako hapo anasema ubora wa mwanaume siyo pesa tu, mbona mnakinzana tena hebu ongeeni lugha moja mueleweka basi, na ninyi mnapolalamika kuwa wanawake hawana bikira kwani waliwalazimisha muwatoe hizo bikira

Si unaona sasa namna mnavyofikiria mbele ya pua zenu tu, nasema hivi si mnataka wanawake wote wajitunze hadi ndoa sasa ndio tuassume kizazi cha wanawake wasiojitunza kimeisha kimebaki cha wanaojitunza tu, na sheria imewekwa kuwa hakuna mwanamke kufanya ngono kabla ya kuolewa ndio nauliza sasa wanaume watafanya na kina nani kabla ya kuoa

Mkuu mimi sina shida na mtu yeyote ila nawaambia tu ukweli hawa wanaojifanya wanataka jamii ibadilike, halafu badala ya kudeal na mzizi wa tatizo wao wanadeal na matokeo ya tatizo, sasa hapo si ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kazi bure tu
Kwahiyo mzizi wa tatizo hapo maana yake ni wanaume waache kurubuni mabinti wakiwa bado wadogo siyo?
 
Generation ipi ya mwanamke unaiongelea ambayo ni mbaya zaid ya mtoto wa kiume ku act like woman? Hebu sema? Ooh Kuna mashangaz huko kwenye app za mahusiano bull shit Kuna app za watoto wakiume wakitafuta wanaume wenzao
Bora mtoto wangu wa kike awe lishangazi hapo nyumban au awe single mama ila sio mtoto wangu wa kiume awe kama mwanamke hebu Kaa vuta picha kipi kina aibu kat ya hayo kipi?? Wanaume mnajisahau kuzungumza na watoto wenu wa kiume mnakuja humu kuzungumza kuhusu wasichana bikra na wasio bikra sijui mashangaz jaman Hali mbaya huku mitaan narudia Hali mbaya sana Kwa vijana wetu wa kiume
Ila Dear unatoka nje ya mada, hapa suala sio Ushoga.
Suala ni la straight (man & woman) ktk masuala ya mahusiano na ndoa.

Ungejadili huko huko ktk mada husika, bila kuingilia kwingnee.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Uko juu nimeona kuna sehemu umesema accountability inawashinda wanawake wa kisasa. Popote atakapoaribu atatafuta escaping route either kwa kumlaumu mwanaume, kutaka ionekane kosa lake ndio mtindo wa maisha ya kisasa au kutoa mfano wa watu wachache waliobahatika kubaki kuwa salama baada ya kufanya kosa kama lake
Precisely mzee.
 
Jadda Yupo poorly trained eneo la mahusiano plus anaonekana kuwa over spoiled yenye mchanganyiko wa Daddy issues. Mitazamo yake mingi ni copy and paste ya eurocentric feminist agenda propaganda,hanaga tija ya kijinsia eneo la uafrika.
 
Yani mimi naandika uhalisia wewe unaleta habari za nature ya mchongo, hebu tuje huku kwenye maisha halisi hawa wanawake wenye hizo pasts mnazoziita mbovu mbona wanaolewa kila siku, mngekuwa mnaoa hao wanawake wenye sifa nzuri mnazoziota basi ndoa zisingekuwa zinavunjika kila siku

Halafu kama hilo suala la mwanamke kupata trauma lingekuwa nature kwanini linawapata wanawake wa jamii fulani tu mfano waafrika, kwanini lisiwapate wanawake wote dunia nzima au wewe umesikia wapi wanawake wa kizungu wanapata trauma sababu ya kuwa single mothers na past mbaya, wao wanaolewa hata wakiwa wakiwa na miaka 50 ila huku mwanamke akifikisha miaka 30 tu anaanza kusakamwa hadi anakuwa desperate na ndoa sasa ni nature ya wapi hiyo au hujui hata maana ya nature

Au ulisikia wapi wanawake wa kizungu wakifikisha umri fulani wanaanza kukimbilia makanisani kutafuta ndoa jiulize kwanini hayo mambo yako afrika tu na jamii nyingine zisizostaarabika, jiulize hizo trauma zinatokana na nini yani mtu kuwa tu mdangaji au single mother ghafla tu apate trauma from nowhere bila kisababishi chochote, halafu nimekuambia nipe madhara ya moja kwa moja anayopata mwanamke yeye kama yeye (ambayo hayamhusishi mwanaume) kwa kukosa bikira
Acha kujidanganya wanawake dunia nzima kuna weñgi wao wakifikisha 30+ wanakua desperate sana na ndoa
 
Sasa mbona hapa mnabadili maneno tena wimbo wenu wa kila siku si huwa kwamba wanawake waliochezewa hawaolewi na ndio maana wana stress, mara hii mnajifanya tena oo wanaolewa ila sijui ndoa hazidumu na blah blah kibao unaona sasa jinsi ambavyo mnaumbuka na hoja zenu, sasa ndio nawapa hali halisi kwamba huku kwenye maisha halisi wanawake waliochezewa wanaolewa kila siku na wengine ndoa zinadumu vizuri tu
Shida yako unamtazamo kama wa kifaru kila jicho lina upande wake ila anafosi kutazama kwa macho yote kwapamoja kuelekea direction moja. Nani aliyekwambia tunabadili maneno?

Ni kweli wanawake wanaochezewa wengi wao hawaolewi wanaishia kuwa masingle mother au wasimbe for life at yhe the same time wapo wanaochezewa na kisha kuolewa na ndoa zao hazina maisha marefu sababu hakunaga mwanaume atadumu na Mwanamke ambaye amechezewa sana na hata wakiwa ndoani basi huputia magumu kama matokeo ya historia zao
Unadhani ni kwanini muda unavyozidi kuenda, ndivyo mwanamke anavyoona umuhimu wa mahusiano, kwanini asianze kuuona huo umuhimu toka akiwa binti mbichi
Hili swali limeshajibiwa na mleta uzi kama umesoma vema stages alizoongelea. Binti akiwa mdogo anataka uhuru ili kupata vitu vinavyokuja kama hongo kutoka kwa wanaume plus anakuwa anataka kuexplore maisha ya usichana kama matokeo ya kukosa muongozo wa namna ya kujipanga na maisha ya baaae
Na hapa ndipo tatizo lenu lilipo mimi hoja yangu siyo kwamba wanawake wanatakiwa kuwalaumu ninyi, bali hoja yangu ni kwamba ninyi ndio mnatakiwa kuacha kuwalaumu wanawake kwa sababu hayo maovu ya uzinzi mmeshiriki wote, kumbuka hapa wanaoanza kulalamika huwa ni wanaume na siyo wanawake sasa unaposema wanawake ndio hawataki kuwa accountable sijui unamaanisha nini
Tunaposema wanawake hawataki kuwa accountable tuna maanisha kukwepa sehemu yao ya lawama ya matokeo ya matendo yao. Mwanamke asipolaumiwa na kusemwa matokeo yake anahisi yupo sawa ila matendo yake yanakuja kuigharimu jamii nzima. Kumuacha mwanamke afanye anachojiskia ndio chanzo cha haya majanga ya sasa ya magonjwa ya zinaa, watoto haramu,usingle mother na kadharika.
Mnapowalaumu wanawake maana yake ninyi ndio ambao mnaplay victims na hamtaki kuwa accountable kwa kuwashawishi na kuwachezea hao wanawake kwa madai kwamba ni jukumu lao kujitunza, huku mkisahau kwamba wanawake nao ni binadamu kama ninyi na siyo malaika kwamba wataweza kukwepa vishawishi vya wanaume miaka yote, kumbuka katika hali ya kawaida siku zote anayeanza kushawishi ni mwanaume ukiwaweka hapo kijana bikira na binti bikira ni ngumu binti bikira kumuanza kijana bali lazima yeye ndio ataanzwa
Unaposema tunawalaumu wanawake its like unaongelea general population ya wanawake wakati sisi tumetarget a certain group of individuals ndani ya population ya wanawake,why sasa upo concerned kuwatetea badala ya kuobserve shida ipo wapi?

Again, usichokijua ni sawa na usiku wa giza nene. Usichojua ni kuwa mabinti siku hizi wanajitongozesha ili kuweza kupata kitu kwa mwanaume,imekuwa ni biashara huria. Sasa unaongelea as if tupo miaka ya 1920 nyakati ambazo wanawake walikuwa hawawezi hata kumtazama mwanaume usoni kwa haya. Ila sasa mtoto wa kike wa miaka 16 yeye ndie anakutongoza na kutaka ukamle ili uwe sponsor wake. Sasa ukinikatalia hapa nitakuuliza wewe unawajua vipi wanawake eneo la ngono?
Na mnaposema eti wao ndio wanaoteseka kwa kukubali huwa nashindwa kuelewa wanateseka wapi ikiwa ninyi ndio mnaoteseka kutafuta wake wa kuoa, kwa sababu in real sense ninyi ndio wenye shida na hizo bikira za wanawake sasa kuzitoa mzitoe wenyewe halafu mwisho wa siku mje kuwalalamikia tena wanawake huku ninyi mkifanya mko innocent, mimi hoja yangu ni kwamba kama mnajijua mmechezea wanawake kadhaa ujanani basi mkitaka kuoa msilalamike mkishaanza kulalamika ndipo mnapoibua hiyo hoja ya nani aliyewatuma muwachezee hao wanawake mngewaacha na bikira zao wala wasingewalazimisha
Nimekuuliza kule juu kuwa unafahamu kuwa wanawake hao bikra unaowaongelea unajua kuwa hizo bikra huwa wanawapa a very small percentage ya wanaume katika general population ya wanaume?
So how can you be serious kusema wanaume wanalaumu wanawake wanaowatoa bikra kwa kutokuwa bikra? Hivi mfano darasani,kazini au hata mtaani,wanaume wenye mvuto huwa ni wengi kuliko wasio na mvuto? Unadhani mabinti huwa wanakimbilia kundi gani kati ya wenye mvuto na wasio nao?
Hoja yangu ni kwamba ulisikia wapi wanaume wa magharibi wanalalamika kuwa hawaoi au wanachelewa kuoa, kwa sababu eti wanawake wao hawana bikira na wametumika sana maana hao sababu yao kubwa ni sheria za ndoa zinawabana, sasa wewe hizo blah blah za uchumi hata sijui umezitoa wapi
Inaweza kuwa swala la Bikra kwao hawajalipa kipaumbele sababu ya nature ya wanawake wao ni wawazi na wakitia boko wanakuwa wawazi tofauti na nyie wa huku utapeli mwingi na uongo. But,wanawake wa magharibi vipaumbele vyao ukilinganisha na wa huku dunia ya tatu wanatofautiana.
Lakini kwa sababu umegusia suala la wanawake wa magharibi kujihudumia wenyewe na kuchangia uchumi wa familia, naomba nikukumbushe tu kuwa huko kwa wenzetu majukumu ya nyumbani na malezi ya watoto siyo ya wanawake pekee bali ni either mfanye wote au muajiri housemaid au nanny, na pia huko hakuna masuala ya mwanamke kumtii mwanaume au sijui mke akitaka kufanya kitu au kuenda mahali lazima aombe ruhusa kwa mumewe
Hayo ni maoni yako binafsi but wapo wanaoishi hivyo na wapo wanaoishi kwa mfumo wa mke kukaa nyumbani kufanya majukumu yake kama kawaida (traditional wives).

Nilikugusia hiyo point ili kukukata wenge kwenye issue yako ya kuhoji wanaume huwa tunalalamika wanawake kuwa magoli kipa lakini mkitoka kutafuta tunalalamika tena ndio nikasema wenzenu wanatoka ila hawana 50/50 na wanaume zao wanakwenda 100% kwenye majukumu ndani ya ndoa na mahusiano bila kutegea wala kuvizia. Wakati ninyi huku mnataka 50/50 ya mdomoni ila mkiachiwa mlipie watoto bili mnaona kuonewa na mnaleta dharau plus kutaka kujitenga na mwanaume ili muishi wenyewe. You can't have you whole cake 🎂 and eat it at the same time.
Sasa huku wanaume bado mna ile mentality kwamba majukumu ya nyumbani na malezi ya watoto ni ya mwanamke, na bado mnataka mpewe utii na muwatawale wanawake katika kila angle halafu hapo hapo mnataka hao wanawake wajitegemee kiuchumi kama wanawake wa kizungu inaingia akili kweli hiyo, yani kwa kifupi mnataka wanawake wa afrika kiuchumi wawe kama wa magharabi huku wakibaki na uafrika wao ule ule halafu wakati huo huo ninyi hamtaki kuwa kama wanaume wa magharibi huoni kama ni ajabu hiyo
Sasa wewe aliyekwambia ukijitegemea kiuchumi kama mwanamke ndio tiketi ya kumkosea adabu mwanaume au kutomheshimu ni nani? Hii ikupe tu taswira ya namna ulivyo inferior.
Hivi wewe ambae unahisi ukiwa na financial power then kumtii mwanaume wako na kumheshimu inakuwa ni option una tofauti na mwanaume ambaye ana amini akiwa anafinance kila kitu kwenye ndoa then anatakiwa kumtreate mwanamke wake kwa dharau na kumuona kama punda na kutompa upendo wa mke? Unaona jinsi gani ulivyo mweupe eneo la uelewa wa how relationship ina fanya kazi?🤔
Mimi sijifariji, naongea uhalisia ninaouona kwenye jamii, msinilazimishe niongee matamanio yenu

Ujinga upi huo wa hao wanaume ambao mnaona ndio source ya survival kwa wanawake, mwanaume mjinga ni yule ambaye amechezea wanawake wa kutosha huko ujanani huku akijisifu kuwa yeye ni play boy halafu mwisho wa siku akitaka kuoa na kusettle anaanza kutafuta bikira, akishachoka kutafuta na kuzikosa anaanza kulalamika kwamba wanawake hawajitunzi na hawajiheshimu kana kwamba hao wanawake walikuwa wanafanya na viumbe toka sayari nyingine
Hakuna uhalisia unaoongea ninachoona unaunda unda vipande vya scenario tofauti ili ujenge picha ya uhalisia wako binafsi kama director wa bongo movie.

Hiyo ni picha uliyo nayo kuhusu imaginary man katika maisha yako na mitazamo yako. On average wanaume wa sasa hadi anafika miaka 35 ukitoa wanawake wa kununua kama makahaba na wale wa kupiga kimasihara,unakuta hajawahi hata kubahatika kuchezea mwanamke sababu ili apate hiyo chance inabidi awe na leverage ya kuwashika kiakili, anapata wapi hiyo nguvu na hana pesa kama akina diamond platinum (who is the perfect example and a fit for this narrative umeleta hapa). So hii hoja yako again haijazingatia uhalisia ambao kwasasa mabinti wapo more interested na tamaa zao na sio mapenzi wala kupendwa on the other hand by average wanaume wapo more interested na mapenzi na mahusiano seiro ndio maana wapo busy kulalamikia tabia za hovyo za mabinti na wanawake wa kisasa.
Bikira ni kitu cha uhalisia ikiwa zilitunzwa na ikiwa wanaume hawakufanya na hao mabinti, which means na wanaume nao wangetakiwa kujitunza kwa sababu wanawake wakisema wote wajitunze hadi ndoa, maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao hadi pale watakapoamua kuoa
So by your own words una maanisha kuwa wanawake wana lack intelligence ya maamuzi sahihi juu ya miili yao kwamba mwanaume ndie mwenye last say juu ya bikra ya mwanamke na si yeye mwenyewe kutojua uzito na umuhimu wake?
Sasa fantasy yenu inapokuja ni pale ambapo mmechezea mabinti wakiwa kwenye early 20s kwa madai kwamba wakiwa umri huo huwa wanaringa kuolewa, kwahiyo mnafanya hit and run halafu mkitaka sasa kuoa mnarudi kwa mabinti wengine wa early 20s mnaosema ndio wenye bikira, wakati mnadai kwamba wakiwa huo umri huwa wanaringa kuolewa na kweli wengi wao huo umri huwa hawataki kuolewa unaona sasa shida ilipo hapo
Again, unarudia hoja zile zile kwa maneno tofauti. Nimekujibu kule juu kuwa wewe unaassume kuwa mwanaume kwa wastani anapata idadi kubwa ya Wanawake wa kulala nao na kuwatoa bikra and its like unaongelea kuwa hii privilege wanaipata wanaume wote kwa wastani. Nikakufahamisha kule juu kwamba unafahamu kuwa kwa wastani mwanaume wa sasa anaweza fika hadi 35 na hajapata hata kukutana na mwanamke bikra? Na unajua wanaowala na kuwafungua mabikra kwa wastani ni kundi dogo sana la wanaume yaani 10% ya population ya wanaume wote. Na hao ni badboys,wanaume za watu na watu wenye pesa nyingi.
So mwisho wa siku mnajikuta option pekee mliyobaki nayo ni wale wale wanawake mlioruka nao ujanani ambao wao kwa wakati huo ndio wako tayari sasa kutulia na kuolewa, na ndicho tunachokiona kwenye maisha halisi wanawake wengi wanaoolewa ndio hao hao mliowatumia au wewe niambie siku hizi ni mabinti wangapi wenye bikira zao wanakubali kuolewa mapema, mind you siku hizi mabinti wengi wanatolewa bikira mapema sana wengine tangu wakiwa teenagers sasa niambie dunia ya leo ni mabinti wangapi wanaoolewa katika umri huo au labda kama unaongelea wanawake wa vijijini
Rejea juu kule it seems unasoma haraka haraka ujibu badala ya kuelewa kwanza una kichwa kigumu sana cha kuelewa unaonekana ni kabishi mno.
Kama kawaida, na takwimu zako za mchongo, ofcourse weka ufafanuzi hapa
Prove me wrong badala ya kusema takwimu cha mchongo.
Hapa hatuongelei masuala ya uchumi tunaongelea masuala ya ngono, sasa ninyi sijui ni nani aliyewaambia kwamba kwa sababu mwanaume anakuwa judged kwenye uchumi, basi ndio inamzuia kuwa judged kwenye ngono hizi hoja huwa mnazitoa wapi
So unaassume kila mwanaume anaishi maisha ya kingono?
Kwanza mwanaume kuwa judged kwenye uchumi ni suala la mgawanyo wa majukumu tu, ni kama ambavyo wanawake wanakuwa judged kwenye kujua kuhandle majukumu ya nyumbani, so mnapolinganisha linganisheni vinavyolinganishika msilazimishe yasiyowezekana
Majukumu kivipi,mfano diamond, Chris brown hawa unawafananisha na Wanaume wa kawaida kimafanikio?
Yani suala la ngono linahusisha jinsia zote mbili hakuna namna utaijudge jinsia moja na kuikwepa jinsia nyingine, logic inakataa hapo yani ni either jinsia zote ziwe sahihi au zote ziwe na makosa kulingana na mazingira, narudia vinginevyo ni sawa na kusema zile pande mbili za shilingi upande mmoja uko sahihi kuwepo pale ila mwingine hauko sahihi kuwepo pale sasa hiyo ni logic ya wapi
Kinachokugharimu ni kuamini Mwanaume na mwanamke ni sawa na hivyo ni sahihi kuwa judge the same.
Nakukumbusha hoja siyo kutoa bikira tu bali kuwachezea wanawake huyo mwanaume hadi anafikisha huo umri maana yake naye ameshiriki kuongeza mileage kwa wanawake kadhaa na pengine wengi wao walikuwa bado hawajatumika sana, kwenye hili hakuna mwanaume anayeweza kukwepa hatia ya kuwaharibu hao wanawake unless uniambie kuna wanaume wanaofika umri huo wakiwa bado na uvulana wao kama kweli wapo hao ndio wana haki ya kudai hizo bikira, the rest haki yenu ni kupata hayo hayo mnayoyaita makombo kwa sababu mliokomba ni ninyi wenyewe sasa mnashindwaje kumalizia makombo yenu mnataka kina nani ndio waje wayamalizie unajua mnashangaza sana
Kuchezea kwa namna gani? Ukisema kuchezea wanawake una maanisha kuwa wanawake wanakuwa serious na true intentions while wanaume wanakuwa hawapo serious na wanalenga kuwapotezea muda hao mabinti wakiwatumia kingono.

Hivi wewe huwa unawasikiliza wanawake wenzako namna wakiwa wanapanga kumchuna,kudangia wanaume? Sio nyie akiitwa m'moja mnakuja crew nzima? Sio ninyi ambao mwanaume akikutongoza siku hiyo hiyo simu kioo kinavunjika, gesi inaisha,nywele zinafumuka, unataka huyu mwanaume akuchukulie serious wakati intentions zako ni kumtumia kumaliza shida zako?🤔
Kwamba wanawake wanatembea na chata zinazowaonesha huwa huyu ametembea na wanaume wengi huyu katembea na wachache au unataka kusemaje, halafu nataka kujua madhara anayopata mwanamke kwa kushushwa hadhi na mwanaume waliyekutana tu randomly na uniambie faida anayopata ya kupandishwa hadhi na huyo mwanaume, wewe kama huna mpango wa kumuoa mwanamke fulani kwa sababu ya insecurities zako na mawazo yako uliyojijenga kichwani mwako dharau zako zinamdhuru nini huyo mwanamke
Mwanamke kuwa na hadhi au kushushwa ni yeye binafsi sio swala la mwanaume. Faida au hasara ni matokeo ya yeye amejiweka vipi. Madhara ya mwenendo wako mwanaume anaingaje sasa mbona unauliza swali la kitoto?

Mfano wewe umelala na wanaume mtaa mzima,unahisi utakuwa unachukuliwaje hapo mtaani kama mwanamke wa hadhi au takataka ya mtaa ambayo kila mtu anaweza pita nayo na kuikojolea akitaka?
Hapana wakichelewa kuoa mgawanyo wa mali haupungui bali huwa wanakuja kujua kwamba vyovyote iwavyo lazima at some point in their lives watawahitaji wanawake, hivyo potelea pote liwalo na liwe acha waoe tu na ndio maana wengine wanatumia mbinu mbalimbali kwa kuandikisha mali kwa wazazi au ndugu zao lakini wasikose ndoa, vinginevyo kwa sheria zao namna zinavyowabana basi wangeamua kutooa kabisa hadi uzeeni au hadi wanakufa kwani wangepungukiwa nini
Unahisi mwanaume anaoa ili iweje?🤔
Yani unataka kusema kwamba wanaume wa kizungu wameamua kuacha matakwa yao na kufuata matakwa ya wanawake, aise hivi kati ya mimi na wewe ni nani sasa hapa anayelazimisha mawazo yake ndio yawe uhalisia hivi kwanini unapenda kulazimisha uongo mradi tu utetee hoja zako, wanaume wa kizungu siyo wajinga kama wa kiafrika ni kwamba wanajua kuwa wao ni sehemu ya hizo bikira za wanawake kupotea hivyo hawawezi kudai kitu ambacho wao wameshiriki kukipoteza kama siyo uwendawazimu ni nini
Ushawahi kukutana na msemo "My body my choice" unajua maana yake?🤔 Kuna vingi haujui ila unaongea kwa kujiamini as if una uelewa mkubwa sana na jamii za majuu.
Ndio na mimi nikamuuliza mbona huko kwenye dating sites kuna hadi mabinti wa early 20s ambao mnadai ndio wana soko na hawapati shida kupata wanaume huku kwenye jamii, yani kwanini mkiona mishangazi huko mseme sababu ni kukosa soko na kutafuta ndoa ila mkiona mabinti au wanaume basi sababu ziwe ni nyingine ninyi mmetumia vigezo gani kuja na hasty generalizations kama hizo, kukulana na kuachana ni matokeo tu ila wapo wanaume wengi wanaojiunga kwenye hizo dating sites kwa ajili ya kutafuta wenza wa ndoa ni wachache ambao wanaingia na direct motive ya kupiga na kusepa tu so usipotoshe haoa
Binti wa miaka 20 anakuwa kwenye dating app kutafuta nani exactly?😂 Au unasema yale mabonge nyanya yasiyo na mvuto at 20?
Hapa suala siyo kujadili hisia zangu kama mama wa huyo kijana, bali ni kukubaliana na hisia zake na maamuzi yake, kwa sababu mimi nisingeweza kumchagulia mwanangu aina ya mwanamke wa kuoa
Nimekuuliza wewe kama wewe as a personal question usikwepe swali na majibu ya chenga. Jibu hilo swali,wewe kama ni mama wa mtoto wako wa kumzaa utasemaje acha kukwepa?🤔
Na mzazi kutokupenda mwanaye aoe wanawake wa aina fulani, haimaanishi kwamba wanawake wote wa aina hiyo ni wabaya au hawafai, kinachomatter siyo hisia za mzazi juu ya wanawake wa aina fulani bali ni uhalisia wa mwanamke husika ambaye kijana amemchagua
Wewe katika hiyo scenario ungetumia approach gani? Hii ikupe taswira kamili ya unafiki wako Jadda unapenda sana kukwepesha magoli.
Na hilo halipo kwenye mahusiano tu mfano kwani ni wazazi wangapi hawapendi watoto wao waje kufanya kazi fulani mfano uaskari au ukuli, kwahiyo napo utasema hizo kazi ni mbaya au kila anayefanya hizo kazi ana matatizo kwa sababu tu kuna wazazi hawazipendi hizo kazi wakati kiuhalisia ni kazi halali, na je kwani hakuna wanaofanya hizo kazi na wakaja kufanikiwa maishani
Sijakuuliza maswala ya kazi,swali langu lipo very open na specific. Kama umeshindwa kujibu ni bora useme.
Sasa kati ya mimi na ninyi nani ambaye anatala mijadala ikidhi hoja zake za kihisia na kufarijiwa, maana mimi huwa naandika uhalisia uliopo kwenye jamii ila ninyi ndio huwa mnaandika matamanio yenu, ninyi kugeneralize kwamba wanawake wasipojitunza hawaolewi ni uongo na ndicho mnachotamani ila kiuhalisia tunaona kila siku wanaolewa sasa hapo nani anaandika nadharia
We kuelewa ni tatizo sana. Unaongea kitu unakibadilisha then mbeleni unakirudia tena kile kile ulichojibiwa unahoji tena. Wewe kule juu mimi nimeseme vipi kuhusu wanaume wanaooa hao wanawake ambao sisi tunasema hawana vigezo? Yaani mfano huyu Hamisa mobeto,hana vigezo vya kuwa mke wa mtu kaliwa na Diamond,alikiba,abdu kiba, Majizo,Rick Ross,yule jamaa mnaijeria,haya hao ni baadhi tu ya watu maarufu kuna ambao hatuwajui huko faraghani.

Bado ana watoto wawili with two different men. Halafu huyo Aziz K anakuja pigia goti,analipia ng'ombe 30, then wewe unakuja kuuliza why tunasema huyo Hamisa anaolewa na hana vigezo? Upo serious wewe?

Kaka yako au mdogo wako aliyefanikiwa kiuchumi akiwaletea mwanamke mwenye profile ya Hamisa mobeto wewe kama dada au mdogo mtu wa kike uta approve kaka yao au mdogo wako alete aina hiyo ya wifi awe mwanafamilia kwenu?🤔

Utakuwa kichaa ukisema ndio.
Sasa mlikuwa wapi toka mwanzo kukubali, kwamba kwa sasa wanawake kutojitunza haipelekei wao kutokuolewa, ila ndio mko kwenye harakati za kuwahamasisha wanaume waache kuoa wanawake wasiojitunza
Wewe unavyosema wanawake wasiojitunza wanaolewa vizuri tu, hivi upo serious? Huku mtaani hawa masingle mother ni akina nani hawa? Wewe pia hapo mfano hai hapo umeolewa?🤔 Tabia zako za ubishi na ujuaji unajiona ukienda kuwa mke wa mtu na ukawa mtii na mwenye heshima kwa mumeo?
Sasa nadhani mnazidi kuona kwamba kati ya mimi na ninyi ni nani anayeandika uhalisia na nani anayeandika nadharia, maana kwa sasa hali iliyopo ni wanaume kuoa wanawake wasiojitunza, bado hatujafikia hicho kipindi cha wanaume kukataa kabisa kuoa wanawake wa aina hiyo na sijui kama kitafika
Haya ni maoni yako na ni kufahamishe kuwa upo wrong. Nipe jibu moja wewe umeolewa hapo ulipo na una miaka mingapi kufika 30?🤔
Anyway kila la heri kwenye harakati zenu za kuhamasishana kuachana na wanawake wasiojitunza kana kwamba wanaume ni watoto hawajui wanachofanya, ila katika kuhamasishana kwenu huko msisahau tu kukemea na maovu yenu na mkumbuke tu kwamba wanawake wa sasa siyo kama wa zamani, sisi tuko hapa tunasubiri hizo kampeni zenu zifanikiwe maybe one day yes but till then msibishane na uhalisia uliopo sasa hivi
Injiri itaendelea kusonga mbele. Tutawala na kuwahonga but heshima ya ndoa ni ya bikra sio mwanamke asiyetunza mwili wake. Ukiona hauna bikra na umevalishwa pete then umeonewa huruma but hauna hiyo hadhi.
Ndio maana nikasema mniambie faida anayopata mwanamke yeye kama yeye kwa kujitunza (faida ambayo haimhusishi mwanaume), kwenye mahusiano heshima siyo kipaumbele kikubwa kwa mwanamke bali siku zote huwa ni kipaumbele kwa mwanaume, wanawake wana vipaumbele vyao tofauti ambavyo kama wanavipata basi wana uwezo wa kuvumilia hata kama heshima hakuna sasa wewe niambie heshima ya mwanaume inamsaidia nini mwanamke
Swali lako sijalielewa maana umeuliza kama as if wew sio mwanamke na hauna ufahamu mwanamke ana stahiki kuwa namna gani ili kuitwa mke bora.
Aise kwahiyo unataka kusema hao wanaume wasio na uwezo wa kukidhi mahitaji ya wanawake ndio hawafanyi kabisa ngono kwamba wamebaki na uvulana wao, hebu tusifanyane watoto wadogo hapa kwamba unataka kusema wanawake wote wanafuata hela tu kwenye mahusiano na hao wanawake wa uswahilini na vijijini nao wanafanya na kina nani, ninachojua mwanaume hata awe masikini vipi atakosa vyote ila kamwe hawezi kukosa mwanamke wa kumalizia haja zake hilo hata wanaume masikini wenyewe huwa wanakiri
Sio tu mwanamke hata dumu la maji atalitomba akikosa demu ila sasa ataoa dumu la maji? 🤔

Mwanaume hawezi kosa mwanamke wa kufanya nae na hao wapo wengi tu wengine ni wake za watu. But issue tunaongelea wanawake ambao wanataka kuingia ndoani ila maandalizi yao ni hafifu.
Sasa kama mnalijua hilo mbona nikikemea maovu ya wanaume mnaanza kupinga na kuniita majina ya ajabu na kuniletea personal attacks, mara mseme nashindana na wanaume halafu hapa unajifanya kwamba kama nimeona maovu ya wanaume niyakemee, sasa si ndio haya maovu yenyewe ambayo nakemea ni maovu gani mnayotaka nikemee au mnataka niwe nakemea yale yanayowafurahisha na mnayopenda kusikia hebu acheni huu unafiki wenu
Huwa haupingi na haupo specific na hoja zako una hama hama. Kama kweli una hoja tengeneza uzi. Wewe huwa tunakutana kwenye comment sections tu ila sio kwenye uzi wako maalumu.
Sasa hapa mbona unajicontradict tena ninyi si ndio mnasema thamani ya mwanaume inapimwa kwa uchumi aliona, na thamani ya mwanamke inapimwa kwa kutunza mwili wake sasa hapa tena mbona unageuza maneno, unasema ubora wa mwanaume haupimwi kwa utajiri alionao kipi ni kipi
Soma tena vizuri. Nimesema utajiri sio kipimo pekee au cha msingi cha mwanaume.
Bado narudia kukuambia hao wanaume siyo wajinga bali wanajua namna walivyochezea wanawake huko nyuma ndio maana hawajataka kulazimisha yasiyowezekana, sasa mtu kama Ruge unataka atafute bikira ya nini wakati si ajabu enzi za ujana wake kazitoa kibao na uwezo wa kuoa bikira alikuwa nao ila kwa sababu siyo mbinafsi akaona awajibike kwa maamuzi aliyoyafanya ujanani, sasa ninyi kina pangu pakavu mnataka mchezee watoto wa watu weee halafu mwisho mkitaka kuoa eti ndio mtafute vibinti vibichi nawaambia hivi hiyo nature kabla haijaanza kuwahukumu wanawake itawahukumu kwanza ninyi pale ambapo hivyo vibinti vibichi vitakataa kuolewa katika umri huo hadi na vyenyewe vitumike kwanza
Na mimi nakwambia tena ni wajinga kwasababu hakuna sifa hata moja inayoreflect uanaume katika maamuzi yao. Unaita sio wajinga kwasababu ujinga wao ndio unaowafanya ninyi wanawake wa sampuli yako msio na vigezo vya kuwa mke wa mtu mpate mabwege wa kuwapumzisha.
Kama kweli mnataka kukomesha umalaya kwenye jamii basi anzeni kuwaambia wanaume wenzenu waache kutembea na wanawake wasio na malengo nao, huwezi kumuambia mtoto wa kike ajitunze na kusema eti uzinzi kwake ni kosa wakati huo huo, unamuambia mtoto wa kiume uzinzi kwake ni sawa tu hauna madhara sasa unategemea nini
Hiyo sio kazi yetu sababu tunaamini wanawake wanauwezo wa kujua baya na zuri na wanaweza kufanya maamuzi sahihi. Mbona hamkubali kukaa nyumbani na kuwa wavumilivu kwa wanaume wakitoka kutafuta chochote kitu huko uraiani.
Yani obviously huyu mtoto wa kiume ataendelea tu kuwasumbua wanawake wanaojitunza, atatafuta kila namna kuwashawishi na kuwarubuni ili atembee nao sababu naye hawezi kuvumilia hadi aoe ndio aanze kufanya ngono, kwahiyo kwa vile wanawake nao ni binadamu msitegemee wataweza kukwepa vishawishi miaka yote
Hivi unadhani kijana anaefanya ngono anakuwa interested na bikra ya mwanamke?🤔
Sasa kama wanaume hawawezi kujitunza na kuvumilia hadi ndoa kwanini mwisho wa siku mje kuwalaumu wanawake tu, kwa upumbavu mliofanya nyote wawili huku ninyi mkijiona mko innocent, wakati mnajua fika huko mbeleni mtakaokuja kuzihitaji hizo bikira za wanawake ni ninyi wenyewe kwa ajili ya ufahari wenu
Mwanaume akitomba nje anapata ujuzi na namna ya kuishi na mwanamke anamuelewa vema. Mwanamke akiliwa nje anaharibu maumbile yake,anarisk kubeba na kutoa mimba hovyo,anakuwa na mfadhaiko wa kihisia hatoweza tulia na mwanaume m'moja.

Again, acha kulinganisha mwanaume na mwanamke.
Hizi ni assumptions zako tu binafsi baada ya kuona umeishiwa hoja, mimi huwa sibishana kushindana au unadhani mimi ndio sichoki kuandika haya magazeti kwa watu wenye vichwa vizito na vigumu kuelewa kama ninyi, mimi huwa nabishana na ninyi sababu nazijua hoja zenu hamnaga hoja za maana zaidi ya visingizio vyenu vile vile vya miaka yote visivyo na uhalisia
Ingekuwa mi mimi tu nakusema hivyo ningesema sawa but haustaajabu watu tofauti kukuona na shida ya aina moja?
Hivi kati ya mimi ambaye najadili hoja direct na ninyi ambao mko busy kunishambulia na kuongelea namna nikoje kwenye maisha yangu halisi nani ambaye anatoka nje ya mada na anapenda kushindana, hebu zungumzeni ukweli acheni kuwa biased mimi hakuna siku nimemshambulia mtoa hoja kuwa nje ya jf atakuwa yuko hivi na hivi ila ninyi kutwa kuassume maisha yangu halisi nje ya jf kwa kuzingatia maandiko yangu humu, halafu mbaya zaidi kwenye kuotea kwenu mnaishia kujicontradict tu mara leo huyu anaongea hivi kesho yule anaongea vile basi mi nawachora namna mnavyohangaika utadhani mnanijua kumbe mnajifariji tu
Unajua unachokifanya,yaani kubishana. Ikifika watu wanakudescribe kwa assumption then jua umefika point wanastaajabu kuwa unafananiaje in real life.
Umetumia vigezo gani, kunituhumu kuwa mimi narumbana ila ninyi ambao nabishana nanyi ndio mnajadiliana, hebu jadilini hoja acheni kulialia na kutafuta visingizio
Kwasababu huwa unaanzisha counter arguments na haukubali kuelewa upande wa pili. Mfano naweza kusema ,Juice ya embe ni kiboko" wewe unarespond " Kwann embe tu, mbona kuna maparachichi na ni kiboko pia".

Kwa waliosoma cuba wanajua tu hapa huyu mtu anataka tu kuanzisha mijadala nje ya mada kwani nikipenda embe bila kupenda parachichi ninakuwa sipo sahihi? Kwann kwanza ulete hoja ya parachichi kwenye mjadala wa maembe ?

This is how you come off as an argumentative and illogical being to others .
 
Kwahiyo mzizi wa tatizo hapo maana yake ni wanaume waache kurubuni mabinti wakiwa bado wadogo siyo?
Nafikiri wewe umenielewa
Jadda Yupo poorly trained eneo la mahusiano plus anaonekana kuwa over spoiled yenye mchanganyiko wa Daddy issues. Mitazamo yake mingi ni copy and paste ya eurocentric feminist agenda propaganda,hanaga tija ya kijinsia eneo la uafrika.
Hivi mnajua ninyi mna matatizo sana, kwahiyo mwanamke akikosoa wanaume ndio ana shida kwenye mahusiano na malezi yake, ila mwanaume akikosoa wanawake ndio yuko sahihi na anataka jamii ibadilike hivi huwa mnatumia nini kufikiri
Shida yako unamtazamo kama wa kifaru kila jicho lina upande wake ila anafosi kutazama kwa macho yote kwapamoja kuelekea direction moja. Nani aliyekwambia tunabadili maneno?

Ni kweli wanawake wanaochezewa wengi wao hawaolewi wanaishia kuwa masingle mother au wasimbe for life at yhe the same time wapo wanaochezewa na kisha kuolewa na ndoa zao hazina maisha marefu sababu hakunaga mwanaume atadumu na Mwanamke ambaye amechezewa sana na hata wakiwa ndoani basi huputia magumu kama matokeo ya historia zao
Ndio mmebadili maneno kwa sababu wimbo wenu wa kila siku ni kwamba generally mwanamke aliyechezea usichana wake haolewi kabisa, baada ya kuambiwa kwamba wapo wengi tu wanaoolewa mkahamisha magoli na kusema ndio wanaolewa ila ndoa zao hazidumu, baada ya kuambiwa wapo ambao ndoa zao zinadumu mkahamisha tena magoli na kusema ndio mnawaamsha wanaume wenzenu ili waache kuoa wanawake wasiojitunza unaona sasa namna mnavyo hamahama kwenye hoja zenu
Hili swali limeshajibiwa na mleta uzi kama umesoma vema stages alizoongelea. Binti akiwa mdogo anataka uhuru ili kupata vitu vinavyokuja kama hongo kutoka kwa wanaume plus anakuwa anataka kuexplore maisha ya usichana kama matokeo ya kukosa muongozo wa namna ya kujipanga na maisha ya baaae
Mimi sidhani kama kutaka uhuru ni kosa kwa sababu tunaambiwa kila binadamu ana haki ya kudai uhuru wake mradi hamdhuru mtu wala havunji sheria za nchi, kwani ninyi wanaume ni nani anayewabana kuwa huru mbona ninyi mnafanya mambo yenu na starehe zenu huko na hakuna anayewasimanga kwanini akifanya mwanamke iwe nongwa, najua utasema nahamasisha wanawake kushindana na wanaume ila hayo ni mawazo yenu tu kwanini kila jambo analofanya mwanamke inaonekana kama anataka kushindana na wanaume na siyo kwamba anataka tu kuifurahisha nafsi yake
Tunaposema wanawake hawataki kuwa accountable tuna maanisha kukwepa sehemu yao ya lawama ya matokeo ya matendo yao. Mwanamke asipolaumiwa na kusemwa matokeo yake anahisi yupo sawa ila matendo yake yanakuja kuigharimu jamii nzima. Kumuacha mwanamke afanye anachojiskia ndio chanzo cha haya majanga ya sasa ya magonjwa ya zinaa, watoto haramu,usingle mother na kadharika.
Ndio maana nikakuambia ambao hamtaki kuwa accountable ni wanaume ninyi ndio ambao mnakwepa lawama ya matokeo ya matendo yenu wanawake sidhani kwamba wanakwepa hizo lawama bali wanataka muwajibike wote, wanawake wameshasemwa sana na kuona kwamba wao kufanya ngono ni kosa lakini bado hayo maovu yanaendelea unadhani sababu ni nini hapo, ni kwa sababu jamii imemuaminisha mwanaume kwamba yeye kufanya ngono ni sawa hivyo hata akitembea na wanawake na kuwaacha hatapata madhara lakini mwisho wa siku madhara ndio hayo tunayaona ya wanaume kukutana na limited supply ya wanawake waliojitunza pale wanapotaka kuoa
Unaposema tunawalaumu wanawake its like unaongelea general population ya wanawake wakati sisi tumetarget a certain group of individuals ndani ya population ya wanawake,why sasa upo concerned kuwatetea badala ya kuobserve shida ipo wapi?
Wewe unaweza kudhani kwamba unatarget a certain group kumbe hiyo certain group ni zaidi ya asilimia 90 ya wanawake wote sasa hapo si ni sawa tu na kuwalaumu wanawake wote, au wewe kwa dunia ya leo ni mabinti wangapi wanaofikisha miaka 25 wakiwa bado na bikira zao yani mara nyingi ukikuta binti bado ana bikira basi ujue hayuko tayari kuolewa, narudia tena mimi siwatetei wanawake bali hoja yangu ni kwamba wote wanawake na wanaume wana makosa na wanapata madhara tofauti na ninyi ambao mnalazimisha kwamba wenye makosa na wanaopata madhara ni wanawake tu
Again, usichokijua ni sawa na usiku wa giza nene. Usichojua ni kuwa mabinti siku hizi wanajitongozesha ili kuweza kupata kitu kwa mwanaume,imekuwa ni biashara huria. Sasa unaongelea as if tupo miaka ya 1920 nyakati ambazo wanawake walikuwa hawawezi hata kumtazama mwanaume usoni kwa haya. Ila sasa mtoto wa kike wa miaka 16 yeye ndie anakutongoza na kutaka ukamle ili uwe sponsor wake. Sasa ukinikatalia hapa nitakuuliza wewe unawajua vipi wanawake eneo la ngono?
Aise kumbe hadi mabikira nao wana uwezo wa kuwatongoza wanaume ili wakaliwe sasa kama ni hivyo hiyo decency ya mabinti wenye bikira iko wapi, ikiwa hata wao wana uwezo wa kuingia kwenye mahusiano na wanaume kwa ajili ya tamaa tu, maana mimi nilidhani mabinti bikira wanasifiwa kuwa wanafaa kuolewa kwa sababu ni naive na wako decent

Lakini kumbe nao wanaweza kuwa micharuko hata kabla hawajakutana na wanaume sasa huoni kama kwa kauli hiyo umefuta sifa zote nzuri za mabikira na kuonekana kitabia hawana tofauti na wanawake waliotumika, anyway kama kweli kuna mabikira wanatongoza wanaume kwanini na ninyi wanaume msifanye kile ambacho mnataka wanawake wafanye, ninyi si mnasema mwanamke akitongozwa ni maamuzi yake kukubali au kukataa halafu hapa unasema kuwa kuna wanawake nao wanatongoza wanaume ili wakaliwe

Sasa kama kweli ninyi wanaume mngekuwa mnataka jamii isiharibike kwanini msivikatalie hivyo vibinti vinavyowatongoza ili vitunze hizo bikira zao, kama ninyi mnaona ni ngumu kwenu kukataa vishawishi vya wanawake kwanini mnalazimisha kwamba ni rahisi kwa wanawake kukataa vishawishi vya wanaume, wewe lini ulishawahi kuwa mwanamke ukajua kwamba ni rahisi mwanamke kukwepa vishawishi vyote vya wanaume kwa miaka yote hadi atakapoolewa
Nimekuuliza kule juu kuwa unafahamu kuwa wanawake hao bikra unaowaongelea unajua kuwa hizo bikra huwa wanawapa a very small percentage ya wanaume katika general population ya wanaume?
So how can you be serious kusema wanaume wanalaumu wanawake wanaowatoa bikra kwa kutokuwa bikra? Hivi mfano darasani,kazini au hata mtaani,wanaume wenye mvuto huwa ni wengi kuliko wasio na mvuto? Unadhani mabinti huwa wanakimbilia kundi gani kati ya wenye mvuto na wasio nao?
Mimi nimekuambia fafanua ni kwa namna gani idadi ya wanaume wanaotoa bikira za wanawake ni ndogo kuliko idadi ya wanaume wasiozitoa, kwa mantiki hiyo unaniambia kwamba kuna wanaume wao asilimia kubwa ya wanawake wanaotembea nao ni mabikira huku wanaume wengine wakizikosa kabisa, hapo uliposema kwamba wanaume wasio na mvuto hawatoi bikira za wanawake ni uongo wa mchana kweupe nenda karudie hiyo research yako
Inaweza kuwa swala la Bikra kwao hawajalipa kipaumbele sababu ya nature ya wanawake wao ni wawazi na wakitia boko wanakuwa wawazi tofauti na nyie wa huku utapeli mwingi na uongo. But,wanawake wa magharibi vipaumbele vyao ukilinganisha na wa huku dunia ya tatu wanatofautiana.
Sasa hapa unajaribu kusema nini mbona kama unajizungusha tena kwani hoja ni wanawake kuwa wawazi au kutumika, kwani mwanamke akiwa muwazi ndio inabadili ukweli kama katumika au akisema afiche ndio inabadili nini, hoja ni kwamba bikira siyo kipaumbele kwa wanaume wa kizungu sababu wanajua wao ndio walioshiriki kuzitoa hizo bikira
Hayo ni maoni yako binafsi but wapo wanaoishi hivyo na wapo wanaoishi kwa mfumo wa mke kukaa nyumbani kufanya majukumu yake kama kawaida (traditional wives).
Wewe hujanielewa hoja yangu mimi sijasema kwamba wazungu wote wanaishi mfumo wa 50 50, ila nimesema ukikuta wanaoishi huo mfumo basi huwa wanagawana majukumu yote pasu kwa pasu hakuna cha kusema haya ni majukumu ya mwanamke wala haya ni ya mwanaume, lakini wale ambao wanaishi huo mfumo wa mke kukaa nyumbani maana yake mke atafanya majukumu ya nyumbani na mume atafanya majukumu ya kiuchumi
Nilikugusia hiyo point ili kukukata wenge kwenye issue yako ya kuhoji wanaume huwa tunalalamika wanawake kuwa magoli kipa lakini mkitoka kutafuta tunalalamika tena ndio nikasema wenzenu wanatoka ila hawana 50/50 na wanaume zao wanakwenda 100% kwenye majukumu ndani ya ndoa na mahusiano bila kutegea wala kuvizia. Wakati ninyi huku mnataka 50/50 ya mdomoni ila mkiachiwa mlipie watoto bili mnaona kuonewa na mnaleta dharau plus kutaka kujitenga na mwanaume ili muishi wenyewe. You can't have you whole cake 🎂 and eat it at the same time.
Ndio maana nikakuambia wenzetu huko 50 50 yao imenyooka na inaeleweka wanagawana majukumu yote ya nyumbani na ya kiuchumi pasu kwa pasu hawategeani, sasa ninyi huku mnataka majukumu ya mwanaume tu ndio yagawanywe pasu kwa pasu ila ya mwanamke aahh yafanywe na wanawake wenyewe hapo ndipo wanawake wanapowaona wababaishaji, shida ni kwamba wanaume wa kiafrika hamtaki haki sawa ila mnataka majukumu sawa tena ikibidi mwanamke afanye zaidi kwani ni wanawake wangapi leo hii wanafanya majukumu ya wanaume halafu linganisha na idadi ya wanaume wanaofanya majukumu ya wanawake
Sasa wewe aliyekwambia ukijitegemea kiuchumi kama mwanamke ndio tiketi ya kumkosea adabu mwanaume au kutomheshimu ni nani? Hii ikupe tu taswira ya namna ulivyo inferior.
Hivi wewe ambae unahisi ukiwa na financial power then kumtii mwanaume wako na kumheshimu inakuwa ni option una tofauti na mwanaume ambaye ana amini akiwa anafinance kila kitu kwenye ndoa then anatakiwa kumtreate mwanamke wake kwa dharau na kumuona kama punda na kutompa upendo wa mke? Unaona jinsi gani ulivyo mweupe eneo la uelewa wa how relationship ina fanya kazi?🤔
Tofautisha kati ya kumkosea adabu mwanaume na kutofuata matakwa yake usichanganye hivi vitu kumkosea adabu ni kama kumfokea au kumtukana lakini mimi hoja yangu ni kwamba utii wa mwanamke kwa mwanaume unajengwa kwa misingi ya mwanaume kumhudumia mwanamke na si vinginevyo, kwahiyo kama mwanamke anajitegemea kiuchumi kunakuwa hakuna sababu tena ya mwanaume kumtawala huyo mwanamke kwa sababu mamlaka aliyonayo mwanaume juu ya mwanamke yanatokana na wajibu alionao juu ya mwanamke huwezi kukitawala usichokiwajibikia, hilo lina tofauti kubwa sana na mwanaume kumnyanyasa mkewe eti kisa anamhudumia hilo ni kosa kwa sababu mke siyo kwamba anahudumiwa bure bure tu naye ana majukumu yake ya nyumbani ambayo mwanaume hawezi kuyafanya kwahiyo hata kama mke hatafuti pesa basi anahudumiwa kwa sababu ya majukumu ya nyumbani anayoyafanya hivyo anastahili kuheshimiwa walau kwa hayo
Hakuna uhalisia unaoongea ninachoona unaunda unda vipande vya scenario tofauti ili ujenge picha ya uhalisia wako binafsi kama director wa bongo movie.

Hiyo ni picha uliyo nayo kuhusu imaginary man katika maisha yako na mitazamo yako. On average wanaume wa sasa hadi anafika miaka 35 ukitoa wanawake wa kununua kama makahaba na wale wa kupiga kimasihara,unakuta hajawahi hata kubahatika kuchezea mwanamke sababu ili apate hiyo chance inabidi awe na leverage ya kuwashika kiakili, anapata wapi hiyo nguvu na hana pesa kama akina diamond platinum (who is the perfect example and a fit for this narrative umeleta hapa). So hii hoja yako again haijazingatia uhalisia ambao kwasasa mabinti wapo more interested na tamaa zao na sio mapenzi wala kupendwa on the other hand by average wanaume wapo more interested na mapenzi na mahusiano seiro ndio maana wapo busy kulalamikia tabia za hovyo za mabinti na wanawake wa kisasa.
Kwamba unataka kusema wanawake wakiingia kwenye mahusiano ni kwa ajili ya pesa tu lakini wanaume wakiingia kwenye mahusiano ndio wana mapenzi ya dhati, hivi huoni aibu kuandika huu uongo wako na kuupaka rangi ili uvutie na uonekane kuwa ndio ukweli yani wanawake wana matatizo gani hadi wote waingie kwenye mahusiano kwa ajili ya pesa tu na wanaume wana utakatifu gani hadi wote waingie kwenye mahusiano kwa ajili ya mapenzi, kwani ni wanaume wangapi wanaingia kwenye mahusiano kwa lengo la kupiga na kusepa tena wengine wakiwadanganya hao wanawake kuwa watawaoa mradi tu wapate wanachokitaka waondoke hivi kwanini wanaume mnapenda kujiona mko innocent sana
So by your own words una maanisha kuwa wanawake wana lack intelligence ya maamuzi sahihi juu ya miili yao kwamba mwanaume ndie mwenye last say juu ya bikra ya mwanamke na si yeye mwenyewe kutojua uzito na umuhimu wake?
Ndio maana nikakuambia nitajie umuhimu wa mwanamke kutunza bikira yake mpaka sasa hii hoja hujaijibu unarukaruka tu kama kitenesi, kwa sababu hata wanawake nao wanalipenda hilo tendo kwahiyo wakitunza bikira zao, maana yake wanakosa utamu wa lile tendo hivyo kusema wasubiri hadi ndoa ikiwa hawajui wataolewa lini na nani ni uongo usiowezekana

Kwahivyo wenye shida na hizo bikira ni wanaume na siyo wanawake na ndio maana ninyi ndio mnazipigia sana chapuo, ninyi wenyewe mnadai kuoa wanawake bikira kunawafanya mjisikie fahari na kujiona vidume pekee kwa hao wanawake mliowatoa bikira, kwahiyo tunaona bikira ya mwanamke haina faida kwa mwanamke mwenyewe bali kwa mwanaume atakayetoa

Sasa kitu kinachokufaidisha wewe mwenyewe kwanini hutaki kufanya jitahidi zozote kuhakikisha kinatunzwa unataka huyo mwenye nacho ndiye akitunze hadi ndoa, sawa wakati huo huo katika jitihada zake za kukitunza unamsumbua tena akupe kabla ya ndoa kisha akikubali unaanza kumtukana tena kuwa ni ujinga wake, halafu ukifika wakati unataka kuoa unaanza kukitafuta tena hicho kitu ulichokitoa kwa tamaa zako za kijinga na kushindwa kuvumilia hadi utakapomuoa mtoto wa watu
Again, unarudia hoja zile zile kwa maneno tofauti. Nimekujibu kule juu kuwa wewe unaassume kuwa mwanaume kwa wastani anapata idadi kubwa ya Wanawake wa kulala nao na kuwatoa bikra and its like unaongelea kuwa hii privilege wanaipata wanaume wote kwa wastani. Nikakufahamisha kule juu kwamba unafahamu kuwa kwa wastani mwanaume wa sasa anaweza fika hadi 35 na hajapata hata kukutana na mwanamke bikra? Na unajua wanaowala na kuwafungua mabikra kwa wastani ni kundi dogo sana la wanaume yaani 10% ya population ya wanaume wote. Na hao ni badboys,wanaume za watu na watu wenye pesa nyingi.
Hilo la kusema kwamba wanaume wanaowatoa bikira wanawake ni asilimia ndogo haliwezi kuwa kweli kwa sababu huna takwimu rasmi za idadi hiyo zaidi ya kutunga uongo wako ili mradi tu utetee hoja yako, na kama ni hivyo basi anzeni kwanza kuwakemea hao wanaume wenzenu mnaodai wanawamalizia hizo bikira kabla ya kuwakemea wanawake yani ambianeni ninyi kama ninyi wanaume kwamba wasiwatoe bikira wasichana ambao hawana malengo nao, na narudia kukuambia hoja siyo kutoa bikira tu bali ni kutembea na wanawake kabla ya ndoa hata ninyi ambao hamtoi bikira lakini bado mnatembea na wanawake na kuwaacha mnashiriki kuongeza mileage kwa hao wanawake sasa kwanini mwisho wa siku muende kutafuta ambao hawajatumika hawa waliotumika mnamuachia nani
Rejea juu kule it seems unasoma haraka haraka ujibu badala ya kuelewa kwanza una kichwa kigumu sana cha kuelewa unaonekana ni kabishi mno.
Yani bado nashangaa inakuwaje mimi ndio naonekana mbishi halafu wewe ambaye nabishana naye unajiona siyo mbishi kana kwamba hapa nabishana peke yangu wewe ungekuwa siyo mbishi si ungeacha kubishana, na hivi ndivyo namna mnavyofikiri kwenye kila angle wala sijakosea kuhusu ninyi hata kwenye mahusiano ndio ninachokisema hiki kwamba wewe na mwanamke mmetoka kufanya ngono halafu mkitoka hapo unamuita mwanamke mzinzi huku wewe ukijiona siyo mzinzi kana kwamba hilo tendo huyo mwanamke kafanya peke yake, halafu mbaya zaidi mnashindwa kuelezea the logic behind mnabaki kuleta visingizio visivyo na kichwa wala miguu na kudai eti ni nature ilihali hiyo nature yenyewe inawakataa
Prove me wrong badala ya kusema takwimu cha mchongo.
Hivi uliona wapi mtu anaanza kuwa proven wrong kabla yeye mwenyewe hajajiprove right kama siyo dalili ya kukwepa kuwajibika ni nini, yani wewe hujamaliza kuprove hizo takwimu zako za kubumba umejiandikia tu kutoka kichwani mwako halafu ghafla umenitwika mimi jukumu la kukuprove wrong umechanganyikiwa au, katika hali ya kawaida ukiraise issue yoyote inayohitaji ushahidi halafu hujaweka huo ushahidi maana yake lazima mtu akupinge hivyo ni jukumu lako wewe sasa kuweka huo ushahidi kisha ndio umuambie yeye akuprove wrong kwa ushahidi na siyo huu uhuni uliofanya wewe
So unaassume kila mwanaume anaishi maisha ya kingono?
Siyo mimi ninayeassume bali wanaume wenyewe ndio husema kwamba hakuna mwanaume asiyefanya ngono haijalishi kaoa au hajaoa
Majukumu kivipi,mfano diamond, Chris brown hawa unawafananisha na Wanaume wa kawaida kimafanikio?

Kinachokugharimu ni kuamini Mwanaume na mwanamke ni sawa na hivyo ni sahihi kuwa judge the same.
Mwanaume na mwanamke wanaweza kuwa tofauti kwenye masuala mengine ila siyo kwenye suala la ngono kwa sababu kwenye hilo suala ni kama pande mbili za shilingi, ninyi ndio mnaolazimisha huo utofauti hadi kwenye mambo mengine ambayo logic inakataa ili mradi tu mtetee maovu yenu, tendo linalohusisha jinsia zote mbili haliwezi kuwa kosa kwa jinsia moja halafu liwe sahihi kwa jinsia nyingine vinginevyo kama kwa wanawake ni kosa ilitakiwa wanaume wafanye na kina nani sasa
Kuchezea kwa namna gani? Ukisema kuchezea wanawake una maanisha kuwa wanawake wanakuwa serious na true intentions while wanaume wanakuwa hawapo serious na wanalenga kuwapotezea muda hao mabinti wakiwatumia kingono.
Hapana kuchezea ninakomaanisha mimi ni kwamba kwenye jamii yetu inachukuliwa kuwa mwanaume ana uwezo wa kupata mwanamke wa kuoa katika umri wowote ule hata miaka 50 lakini mwanamke akishafikisha miaka 30 tu tayari anaanza kuonekana mzee na ameshatumika, hivyo inakuwa ngumu kupata mwanaume wa maana wa kumuoa kwahiyo kutokana na mtazamo huu mwanaume na mwanamke wakiwa kwenye mahusiano kisha wakaachana lazima mwanamke ndio aonekane kapotezewa muda, sababu umri wake unazidi kuenda na uwezekano wa kuolewa unazidi kupungua so hii inawapa wanaume jeuri ya kuendelea kuchezea wanawake huku wakijua wao wako kwenye safe side na wana uwezo wa kuoa muda wowote suala la umri kuenda kwao siyo tatizo
Hivi wewe huwa unawasikiliza wanawake wenzako namna wakiwa wanapanga kumchuna,kudangia wanaume? Sio nyie akiitwa m'moja mnakuja crew nzima? Sio ninyi ambao mwanaume akikutongoza siku hiyo hiyo simu kioo kinavunjika, gesi inaisha,nywele zinafumuka, unataka huyu mwanaume akuchukulie serious wakati intentions zako ni kumtumia kumaliza shida zako?🤔
Lazima mjue hawa wanawake hawafanyi haya out of blue ni sababu wanajua siku hizi mapenzi hakuna wenyewe huwa mnasema hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, sasa assume mwanaume unatongoza wanawake saba kwa mpigo wote unawaambia unawapenda na wote unawaahidi utawaoa, ilihali unajua fika mwisho wa siku hapo utakuja kuoa mmoja tu kati yao wengine utawaacha au unaweza usiwaoe wote kabisa

Sasa kwa hali hiyo ndio mnataka mkipata wanawake wajicommit kwenu ilihali ninyi wenyewe hamjajicommit kwao mnakuwa mko kwenye majaribio tu, sasa kwanini na wanawake nao wasiangalie interests zao kwanza kisha wakiona mwanaume yuko serious ndio nao wanaamua kuwa serious, ninyi msichukulie poa suala la kujicommit kwa mtu halafu mwisho wa siku anakutenda

Ukumbuke mwanaume ndiye anayeamua anamuoa nani na anaoa lini mwanamke hawezi mlazimisha mwanaume amuoe, kwahiyo akiachwa anabaki kuugulia tu maumivu yake moyoni sasa ninyi sijui mnadhani wanawake wana mioyo ya vyuma, kwamba wakitendwa hawaumii hadi mnataka wawe wanajicommit kwenye mahusiano kirahisi rahisi tu
Mwanamke kuwa na hadhi au kushushwa ni yeye binafsi sio swala la mwanaume. Faida au hasara ni matokeo ya yeye amejiweka vipi. Madhara ya mwenendo wako mwanaume anaingaje sasa mbona unauliza swali la kitoto?

Mfano wewe umelala na wanaume mtaa mzima,unahisi utakuwa unachukuliwaje hapo mtaani kama mwanamke wa hadhi au takataka ya mtaa ambayo kila mtu anaweza pita nayo na kuikojolea akitaka?
Yani sijui kama unanielewa msingi wa huyo mwanamke kushushwa hadhi na kuchukuliwa kama takataka ni upi, kwa sababu mimi ninachojua mwanamke akifanya ngono naye anafaidi hilo tendo hivyo naye anajiburudisha nafsi yake sasa inakuwaje mtu aumie kwa kuifurahisha nafsi yake, wewe nipe hasara ya moja kwa moja anayopata mwanamke yeye kama yeye kwa kutojitunza usiniambie eti sijui wanaume watamdharau na kumshusha hadhi kwani yeye inampunguzia nini
Unahisi mwanaume anaoa ili iweje?🤔
Sasa ungewauliza wanaume wenzio ambao pamoja na mabaya yote ya wanawake wa sasa pamoja na sheria kali za mgawanyo wa mali baada ya talaka lakini bado wanaoa
Ushawahi kukutana na msemo "My body my choice" unajua maana yake?🤔 Kuna vingi haujui ila unaongea kwa kujiamini as if una uelewa mkubwa sana na jamii za majuu.
Huwa siongelei jambo ambalo sina uelewa nalo ukiona naliongelea jambo kwa kina basi ujue nina uelewa nalo au unataka mpaka niseme kwamba nimeshafanya kazi na hao watu na kutembelea baadhi ya nchi zao, ili mseme nina show off maana jf ndio pigo zenu hizo hata kama jambo ni la kawaida tu mnasema mtu ana show off kumbe ni inferiority complex ndio inawasumbua, kwahiyo mimi sina shaka na uelewa wangu kuhusu jamii za majuu na wala sihitaji validation kwenye hilo
Binti wa miaka 20 anakuwa kwenye dating app kutafuta nani exactly?😂 Au unasema yale mabonge nyanya yasiyo na mvuto at 20?
Si unaona sasa umehamisha tena magoli kutoka kusema ni mishangazi ya 30+ mpaka kusema ni mabinti wa 20s ila mabonge nyanya yasiyo na mvuto, maana hapa hoja ilikuwa ni wanawake kujazana kwenye dating sites wakishakosa wanaume baada ya kutumika, baada ya kuambiwa kwamba kuna mabinti unasema tena hawana mvuto ni nani aliyekuambia kwamba mabinti walioko huko ni wasio na mvuto na kingine aliyekuambia suala la mvuto ni objective ni nani
Nimekuuliza wewe kama wewe as a personal question usikwepe swali na majibu ya chenga. Jibu hilo swali,wewe kama ni mama wa mtoto wako wa kumzaa utasemaje acha kukwepa?🤔

Wewe katika hiyo scenario ungetumia approach gani? Hii ikupe taswira kamili ya unafiki wako Jadda unapenda sana kukwepesha magoli.

Sijakuuliza maswala ya kazi,swali langu lipo very open na specific. Kama umeshindwa kujibu ni bora useme.
We sema tu ulitaka nikupe jibu linalokufurahisha wewe ila usiseme kwamba nimeshindwa kujibu maana huo mfano niliokupa ni relevant kabisa sema kwa vile umeona utakosa namna ya kuchomoka hapo, umejifanya kupotezea jibu langu na kusema sijajibu mimi nimeshakujibu kwamba kinachomatter siyo hisia zangu juu ya mwanamke ambaye kijana wangu angemchagua, bali ni sifa za mwanamke husika mimi siwezi kuchukua approach yoyote labda kama unataka niseme approach ambayo ungechukua wewe sasa
We kuelewa ni tatizo sana. Unaongea kitu unakibadilisha then mbeleni unakirudia tena kile kile ulichojibiwa unahoji tena. Wewe kule juu mimi nimeseme vipi kuhusu wanaume wanaooa hao wanawake ambao sisi tunasema hawana vigezo? Yaani mfano huyu Hamisa mobeto,hana vigezo vya kuwa mke wa mtu kaliwa na Diamond,alikiba,abdu kiba, Majizo,Rick Ross,yule jamaa mnaijeria,haya hao ni baadhi tu ya watu maarufu kuna ambao hatuwajui huko faraghani.

Bado ana watoto wawili with two different men. Halafu huyo Aziz K anakuja pigia goti,analipia ng'ombe 30, then wewe unakuja kuuliza why tunasema huyo Hamisa anaolewa na hana vigezo? Upo serious wewe?

Kaka yako au mdogo wako aliyefanikiwa kiuchumi akiwaletea mwanamke mwenye profile ya Hamisa mobeto wewe kama dada au mdogo mtu wa kike uta approve kaka yao au mdogo wako alete aina hiyo ya wifi awe mwanafamilia kwenu?🤔

Utakuwa kichaa ukisema ndio.
Yani hapa hoja ni kwamba wanawake type ya hamisa wanaolewa sana tu tofauti na ninyi mnaosema kwamba hawaolewi kabisa, mnaposema hao wanaume hawana akili mmetumia vigezo gani kuhitimisha hivyo siyo kwamba wasio na akili ni wale ambao wamerukaruka na wanawake huko halafu wakitaka kuoa wanadai bikira as if waliziweka, nasisitiza mwanaume yeyote ambaye ameshatembea na wanawake kadhaa enzi za ujana wake hana haki wala hastahili kudai bikira mnastahili hao hao wanawake mliowatumia ndio maana wanawake wengi hawakubali kuolewa na ninyi wakiwa bikira nature inawahukumu ninyi kwa staili hiyo
Wewe unavyosema wanawake wasiojitunza wanaolewa vizuri tu, hivi upo serious? Huku mtaani hawa masingle mother ni akina nani hawa? Wewe pia hapo mfano hai hapo umeolewa?🤔 Tabia zako za ubishi na ujuaji unajiona ukienda kuwa mke wa mtu na ukawa mtii na mwenye heshima kwa mumeo?

Haya ni maoni yako na ni kufahamishe kuwa upo wrong. Nipe jibu moja wewe umeolewa hapo ulipo na una miaka mingapi kufika 30?
Sasa mimi kuolewa au kutokuolewa inahusiana nini na mada kwani marital status yangu mimi ndio itatoa picha halisi ya mamilioni ya wanawake walioko kwenye jamii, wewe ukishaijua marital status yangu ndio itabadili ukweli kwamba hata wanawake wasiojitunza nao wanaolewa tena kwa wingi kuliko hao mabikira, hao ambao bado hawajaolewa ni suala la muda tu lakini wote tunajionea hali halisi wanawake wengi wanaoolewa ni hao hao waliotumika kuliko mabikira sababu mabinti wengi bikira zinatolewa mapema kabla hawajakubali kuingia kwenye ndoa
🤔

Injiri itaendelea kusonga mbele. Tutawala na kuwahonga but heshima ya ndoa ni ya bikra sio mwanamke asiyetunza mwili wake. Ukiona hauna bikra na umevalishwa pete then umeonewa huruma but hauna hiyo hadhi.
Hapa umeendelea kubadili maneno tena kwamba kama hujajitunza na umeolewa basi umeonewa huruma tu wakati mwanzo wimbo ulikuwa unasema kama hujajitunza basi huolewi kabisa, hapo pa kuendelea kuwala na kuwahonga ndipo hasa ninaposisitiza kwamba hamuwakomoi wanawake bali mnajikomoa wenyewe, sana sana mnawafaidisha hao wanawake kiuchumi halafu mwisho wa siku mkitaka kuoa hizo bikira mnazisaka kwa manati na wengi wenu kuzikosa na kurudi kuoa hao hao mliowatumia na kujifariji kuwa mmechagua angalau wenye 'afadhali'
Swali lako sijalielewa maana umeuliza kama as if wew sio mwanamke na hauna ufahamu mwanamke ana stahiki kuwa namna gani ili kuitwa mke bora.
SIfa za mke bora zinatofautiana baina ya jamii, kuna jamii mke bora ni yule anayemsaidia mumewe majukumu kutafuta pesa na kuchangia uchumi wa familia, sasa jambo likishatofautiana baina ya jamii hakuna namna utalazimisha kwamba jamii fulani ndio iko sahihi na nyingine haiko sahihi
Sio tu mwanamke hata dumu la maji atalitomba akikosa demu ila sasa ataoa dumu la maji? 🤔

Mwanaume hawezi kosa mwanamke wa kufanya nae na hao wapo wengi tu wengine ni wake za watu. But issue tunaongelea wanawake ambao wanataka kuingia ndoani ila maandalizi yao ni hafifu.
Na hapo ndipo tatizo hasa lilipo mnanichanganya mnaposema mwanaume hawezi kukosa mwanamke wa kufanya naye sasa hao wanawake atawatoa wapi ikiwa mnataka wote wajitunze, tuseme labda jamii ikaamua kuanzia sasa mabinti wote wenye bikira hakuna kufanya ngono hadi pale watakapoolewa maana yake hiki kizazi cha wasiojitunza kitaenda kitaisha kitabaki cha wanaojitunza sasa ndio nauliza katika kizazi hicho wanaume watafanya na kina nani kabla ya ndoa, unaposema watafanya na wake za watu maana yake unaona ni sawa vijana kutembea na wake za watu mind you katika hoja yetu hii tunaassume kwamba wake za watu wa kizazi hicho wote wataolewa mabikira hivyo hawatacheat maana mnasema mwanamke akiolewa bikira hawezi cheat sasa hao wanaume watafanya na kina nani
Huwa haupingi na haupo specific na hoja zako una hama hama. Kama kweli una hoja tengeneza uzi. Wewe huwa tunakutana kwenye comment sections tu ila sio kwenye uzi wako maalumu.
Ni sheria gani inayonitaka kila ninapowakosoa wanaume basi nianzishe uzi wangu kwani nikiandika kwenye comments ujumbe haufiki au tofauti yake ni nini na nikiandika uzi, by the way kuna nyuzi kibao tu nimeanzisha kuhusu both wanaume na wanawake kama una muda fuatilia labda wewe ni mgeni jf ila wanaonifahamu wanajua namna nilivyokuwaga naanzisha mada za aina hii, kinachonifanya nisianzishe nyuzi za aina hii ni sababu wanaume wengi huwa hamna hoja badala ya kujikita kwenye mada mnaanza kunishambulia mimi mtoa mada sasa unataka nani apoteze muda wake kujishana na watu kama hao mimi ukija na hoja tutaenda sambamba ila ukija na matusi nakuacha ukatafute mahali pengine pa kumalizia stress zako
Soma tena vizuri. Nimesema utajiri sio kipimo pekee au cha msingi cha mwanaume.
Basi kama ni hivyo acheni kusema kwamba thamani na ubora wa mwanaume katika kuoa unapimwa kwa pesa, maana kwa kusema hivyo tayari mnakuwa mnajicontradict kwa sababu kwa mujibu wenu ni kwamba kumbe hata mwanaume masikini anaweza kuoa, by the way kama ubora na thamani ya mwanaume havipimwi kwa pesa tu niambie katika hali ya kawaida kati ya masikini aliyeoa bikira na tajiri aliyeoa single mother ni nani anayeheshimika hapo
Na mimi nakwambia tena ni wajinga kwasababu hakuna sifa hata moja inayoreflect uanaume katika maamuzi yao. Unaita sio wajinga kwasababu ujinga wao ndio unaowafanya ninyi wanawake wa sampuli yako msio na vigezo vya kuwa mke wa mtu mpate mabwege wa kuwapumzisha.
Yani unavyoandika ni kana kwamba wanaume ni watoto wadogo wana akili za kushikiwa na hawajui wanachofanya, hivi toka wanaume wameanza kuimbiwa hizi ngonjera zenu za kuacha kuoa wanawake wasiojitunza tena na shuhuda juu toka kwa ndugu na jamaa unaona kuna hatua zozote zimechukuliwa au dalili zozote za wanaume kuacha kuoa wanawake wa aina hiyo, unadhani wao hawaujui umuhimu wa bikira au unadhani hawajui ni wapi pa kuwapata wanawake mabikira ukishajiuliza hayo jiulize kwanini bado wanaoa hao hao wanawake wasiojitunza kisha uniambie kosa la hao wanawake liko wapi hapo ikiwa wanaume ndio wenye maamuzi ya kuoa
Hiyo sio kazi yetu sababu tunaamini wanawake wanauwezo wa kujua baya na zuri na wanaweza kufanya maamuzi sahihi. Mbona hamkubali kukaa nyumbani na kuwa wavumilivu kwa wanaume wakitoka kutafuta chochote kitu huko uraiani.
Oohh kwahiyo wanawake tu ndio wenye uwezo wa kujua baya na zuri ila wanaume ndio hamna uwezo huo, wanawake nao wanaangalia mambo yanayowafaidisha sasa kama kutoka kutafuta chochote kitu kunawafaidisha kwanini wakomae kukaa nyumbani, sidhani kama kuna mtu anakubali kufanya jambo ambalo halimfaidishi hata kidogo kama wanawake wanaamua kukubali kufanya ngono kabla ya ndoa maana yake nao wanafaidi hiyo ngono wangekuwa hawafaidi basi wasingefanya
Hivi unadhani kijana anaefanya ngono anakuwa interested na bikra ya mwanamke?
Kwamba wanaume wote wenye interest na bikira za wanawake hawafanyi ngono ama unataka kusemaje hapo
🤔

Mwanaume akitomba nje anapata ujuzi na namna ya kuishi na mwanamke anamuelewa vema. Mwanamke akiliwa nje anaharibu maumbile yake,anarisk kubeba na kutoa mimba hovyo,anakuwa na mfadhaiko wa kihisia hatoweza tulia na mwanaume m'moja.

Again, acha kulinganisha mwanaume na mwanamke.
Sasa mimi ndio nataka nijue huo ujuzi wanaume wataupata wapi ikiwa wanawake wote wanatakiwa kujitunza, mbona kama hamjui mnachokitaka wala mnachokipigania kama wanawake wote wakijitunza wanaume watafanya na kina nani, hapo ndipo ninapotaka sasa niuone huo utofauti kati ya mwanamke na mwanaume linapokuja kwenye suala la ngono hebu fafanua vizuri
Ingekuwa mi mimi tu nakusema hivyo ningesema sawa but haustaajabu watu tofauti kukuona na shida ya aina moja?

Unajua unachokifanya,yaani kubishana. Ikifika watu wanakudescribe kwa assumption then jua umefika point wanastaajabu kuwa unafananiaje in real life.
Tatizo siyo watu kunidescribe tatizo ni aina ya watu wanaonidescribe wote ni wale wale misogynists aina ya wanaume ambao mada zao kutwa ni za kutukana wanawake tu na mbaya zaidi ninyi hamjioni kama mna matatizo ila wanawake wakikosoa wanaume ndio wana matatizo, mimi mbona kuna wanaume wengi tu humu huwa wananisifia na kunipongeza kwa mitazamo yangu hii hii sasa kipi kinachofanya ninyi misogynists muwe sahihi juu yangu na wao ndio wawe wanakosea, by the way usichokijua mimi kinachonipa nguvu ya kuendelea kuwakosoa wanaume ni ile jeuri ya kwamba sijachezewa na wanaume niko kwenye safe side, tofauti na wanawake wengi wa humu jf waliochezewa ndio huwa wanaogopa kuwakosoa sababu zile personal attacks zenu zinawaumiza maana kwao ni ukweli mchungu, ila sisi wengine huwa hatuumii wala hatujali sababu tunajijua hatuko hivyo mnavyotusema yani kwa kifupi mngejua jinsi mwenzenu ninavyowachora na kuona kama mnajifariji tu na stress zenu sababu yote mnayojisemesha kuhusu mimi hayana ukweli so hainiathiri chochote
Kwasababu huwa unaanzisha counter arguments na haukubali kuelewa upande wa pili. Mfano naweza kusema ,Juice ya embe ni kiboko" wewe unarespond " Kwann embe tu, mbona kuna maparachichi na ni kiboko pia".

Kwa waliosoma cuba wanajua tu hapa huyu mtu anataka tu kuanzisha mijadala nje ya mada kwani nikipenda embe bila kupenda parachichi ninakuwa sipo sahihi? Kwann kwanza ulete hoja ya parachichi kwenye mjadala wa maembe ?

This is how you come off as an argumentative and illogical being to others .
Tatizo siyo wewe kupenda juisi ya embe tatizo ni kusifia juisi ya embe na kuponda juisi ya parachichi kama umeamua kusifia basi sifia ya embe bila kuponda ya parachichi, tena mbaya zaidi katika kusifia na kuponda huko unageneralize na kulazimisha kwamba juisi ya embe ni nzuri kwa kila mtu na ya parachichi ni mbaya kwa kila mtu, kwahiyo wewe ndiye unayetakiwa kuwa makini na namna unavyowasilisha hoja zako vinginevyo ukikosolewa usianze kulialia kwamba watu wanapenda kubishana na kuhamisha mada
 
Hii ni trend ya maisha ambayo wanawake wa kisasa wameichagua, ni timeline ya chaos, delusions na entitlements zao ambazo zina-influence maamuzi yao.

HOE PHASE

12-15: Hapa anaanza mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi wenzake shuleni au mtaani. Mara nyingi ndio kipindi ambacho anatolewa bikira.

16-18; Hapa anaanza kuwapiga chini wale boys wa age yake kwa sababu anaona hao sio hadhi yale tena. Hao boys atawaweka tu kwenye cycle yake kwa ajiri ya kumsaidia kimasomo darasani. Hapa anajiwekea standard za juu sio kutokana na character yake bali kutokana na delusions. Wengi hapa huwa wanachakatwa na bodaboda na kupewa vijisent kidogo na lift.

19-20: Hapa sasa ego yake inakua kwenye peak, hii kwa sababu anapumbazwa na attention anayoipata kutoka kwa wanaume. Kiukweli wanaume wanamtolea macho kwa matamanio ya kingono tu, nothing serious. Hapa bodaboda sio hadhi yake tena atajipandisha chat kidogo mpaka kwa wanafunzi wa chuo au wafanyakazi wa level za kawaida uko maofisini. Hii ndio hatua ambayo anaanza kujihusisha na maisha ya usiku yaani club na pombe

21-23: Hiki ndicho kipindi ambacho mara nyingi mwanaume mwema mwenye malengo mazuri nae ndio huwa anajitokeza, lakini unajua nini? hapa nice guys wanakua sio chaguo lake. At this stage she prefer bad boys because these players and irresponsible men provide her with dramas. She think she is still in control but she is just a pawn in her own game of self-destruction.

24-25; Bado analanda landa na bad boys hajaamua kutulia. Akiulizwa kuhusu kuolewa anasema anataka kuwa huru kufanya mambo yake(maana iliyojificha hapo ni kwamba anataka uhuru wa kuishi reckless life bila kuwa accountable kwa yoyote) Kumbuka hapo mileage ya body count inazidi kusogea. Hii ndio hatua ya mwisho ya hoe phase.

PANIC PHASE

26-27: Nature inaanza kumuhukumu. Taratibu bad boys wanamkimbia wanaenda kwa batch mpya ya watoto wabichi walioingia sokoni. Taratibu anaanza kuwapa nafasi wanaume aliowafungia vioo akiwa kwenye ubora wake, ila nao baada ya kupiga wanaona hakuna maajabu wanaingia mitini. Lakini delusions zake bado hazijamtoka akilini completely kwaiyo bado anakua na mawazo atajitokeza mwanaume mwema. Wengi wao huwa wanafika hii hatua wakiwa single mother.

28-29; Hapa ndipo anagundua ukweli kwamba thamani yake sokoni imeshaisha, anaanza kutafuta mwanaume mwenye hofu ya Mungu yaani anamtafuta simp mmoja hapa atakaepuuzia past yake.

30-32; Anaweka kambi kanisani. Anakalili vifungu vya biblia, hakosi ibada. Kumbuka hayo anayafanya kinafiki tu akitegemea kwa kufanya hayo ataifuta past yake chafu.

TOXIC PHASE

33+; Kabeba vinyongo moyoni, hana matumaini ya ndoa, amekua feminist-anapandikiza chuki za kijinsia ili na wanawake wenzake waishie kuwa miserable kama yeye. Kutwa kulaumu wanaume kwa maamuzi yake mabovu wakati ashahau yeye mwenyewe ndie ambae hakuitumia vizuri peak yake.

My brothers, listen to me very careful. The modern woman who follows this path will target you as her last option after the streets damage her. Don't be her retirement plan. You were made for the fresh, not for left overs
Good analyisis, kuna kaukeli najua humu watu ni wabishi
 
Naongezea na hii

Timeline: How does the Female Genital System develop?

20 years old -Peak fertility

At 20 years old, women reach the peak of fertility. Estrogen and Progesterone
function optimally, ovulation occurs regularly and the uterus is in its best
condition to support pregnancy. Statistics show that this age has the highest
natural conception rate about 86% with one year.

25 years old -Maintaining fertility
Fertility remains high, but the number of oocytes starts to slightly decrease from
about 250,000 to 200,000.

30 years old -Fertility decline begins
After the age of 30, a woman's fertility begins to decline due to a decrease in both
the quantity and quality of eggs. Studies show that natural conception rates drop
to 75% within one year and the risk of miscarriage slightly increase. Estrogen
levels remain stable but the number of ovarian follicles gradually decreases.

35 years old -Noticeable fertility decline
The number of oocytes drops to around 25,000 - 30,000. Egg quality also begins
to decline, reducing fertility and increasing the risk of fetal abnormalities.

40 years old -Significant fertility drop
The number of oocytes drops to around 10,000. Data shows that natural
conception rates drop to about 36% within one year and miscarriage risk rises to
34%. Menstrual cycles may became irregular and ovulation rates significant
decline.

45 years old -Perimenopause phase
Estrogen levels drop significantly, affecting the endometrium and menstrual
cycles become irregular or cease altogether. Studies show that only about 3-5% of
women at this age can conceive naturally. Symptoms like hot flashes and mood
swings often appear.

50 years old -Onset of menopause
Menstrual cycles officially cease. The ovaries stop ovulating and reproductive
hormones like estrogen and progesterone significantly decline.

55 years old -Reproductive organs regress
External and internal reproductive organs begin to shrink. The vaginal lining thins,
leading to dryness and reduced elasticity.

60 years old -Postmenopause stability
Reproductive hormones are at very low and stable levels. The risk of osteoporosis
and other health issues related to estrogen deficiency increases.

Bibi turingie sasa........60+ years old . Kazi kwisha
 
Back
Top Bottom