Zijue hoe phase, panic phase na toxic phase katika lifecycle ya mwanamke wa kisasa

Zijue hoe phase, panic phase na toxic phase katika lifecycle ya mwanamke wa kisasa

Sasa hapo mwenzako anajiona bonge la shujaa anayepigania masilahi ya wanawake.😂😂😂
Hata wanawake wenyewe wanamchora tu. Hakuna mwanamke mwenye nia njema na mahusiano/ndoa yake anaweza kutumia miongozo ya jadaa.
 
Tatizo lako uelewa mdogo ndio maana umeshindwa kutambua hoja yangu hapa kinacholinganishwa ni pesa za mwanaume vs aina ya mwanamke anayeolewa na mwanaume, ndio maana nimevitenganisha hivyo vitu ili tuone heshima itaenda wapi sababu kipaumbele cha kwanza cha mwanaume ni heshima, kwahiyo wewe unavyoona kwenye jamii yetu mwanaume masikini akioa bikira ndio ataheshimika kuliko mwanaume tajiri akiona single mother
Kubishana na mtu mwenye akili za hivi ni kupoteza muda na nguvu,kwamba mwanaume hata aweke ronya la aina gani ndani bora kama ana hela basi huyo ana heshima.

Single mamaz mnajua sana kujifariji,ukiolewa na tajiri (na kwanza wangapi mnaoolewa na hao matajiri?) unajifananisha na mwanamke aliyeolewa hana mtoto kwa kuangalia hali ya mumewe.
 
Namuonea huruma sana mwanaume atakayeamua kujifunga kifungo kimoja na huyu binti endapo bado akawa na akili hizi.
Huyo ni bibi tayari hamna hamna mileage inasoma 43 na body count za kutosha mixer watoto wawili wasiojulikana baba zao.
 
Mkuu tunaongelea heshima kwa ujumla heshima ni heshima tu sidhani kama ina categories, wewe ulisikia wapi mwanaume anapewa heshima kisa kaoa mwanamke bora, ni kipi wanachofanyiwa hao wanaume hadi utafsiri kuwa ni heshima wanapewa
Una argue kitoto toto sana,unaitafsiri vipi heshima ktk uhalisia wa maisha ya kifamilia kwa ujumla?
 
Wewe una kipi cha kumzidi aziz ki tuanzie hapo kwanza, na siyo aziz ki tu kuna wanaume wengi tu wenye heshima zao wanaoa masingle mother, wewe una kipi cha kuwazidi wanaume wa aina hiyo
Unaponiuliza mtu kama mimi swali ulilomuuliza mwenzangu hapo mi nitakujibu simply kuwa Azizi Ki nimemzidi manhood na exposure ya mahusiano..
Maana yeye kwanza kwangu ni mdogo kuanzia maisha mpaka umri..
Yeye kaoa juzi mi nilifanya hivyo eleven years ago
So hapo wewe mwenyewe utaona..

Pili Azizi Ki ni mchezaji na maarufu pia ameona awe na staa wa kike mwenye influence kubwa kwa malaya wengine!!
Tactically hii ni attractive factor ili kesho iwe rahisi kumpata malaya mwingine wa level ile ile wa Kutafuna na kupita hivi..

Wanawake wanaitazama ndoa ya Azizi Ki na Mobeto na kuitolea mfano wakati haijapiga hatua hata ya mwaka.
 
Wanawake wanaitazama ndoa ya Azizi Ki na Mobeto na kuitolea mfano wakati haijapiga hatua hata ya mwaka.
Hawa ni damaged women, ukifawafatilia tangu wameingia kwenye dating pool rekodi zao zina makando kando kwaiyo kupitia hili sakata la Azizi na Hamisa wamepata case study ya kutetea reckless past zao. Azizi kii lazima atalindwa sana na hawa retired and undercover prostitutes kwa sababu ni kundi la wanaume wapumbavu ambao hawa wakina dada wanawatumiaga kama retirement plan.

Na kwa kuthibisha kwamba Azizi kii ni mpumbavu, hata hawa wanawake wanaomtetea hawawezi kuruhusu/kufurahia ndugu yao wa kiume aoe mwanamke mwenye profile kama ya hamisa. A woman thinks it ok to manipulate a man and take advantage of his loyalty, kindness and reaources, but when another woman do that to her brother or son it becomes a war

Ukitaka kujua uhalisia wa mawazo ya mwanamke katika hili sakata, yaani kwenye case study kama hii bila unafiki mwanamke ana mawazo gani, tafuta kauli ya mama ake na dada zake azizi wanasemaje kuhusu hii ndoa, nina uhakika kabisa mama mkwe na mawifi wa hamisa uko Ivory Coast hawajapendezwa na hili suala na hii ni kwa sababu wana uchungu na ndugu yao na wanazijua cheating code za wanawake wenzao
 
Toxic Phase ndiyo kipindi anapatikana kwa urahisi mno akiwa mkweli na kutoa mbunye kwa roho safi.. Moyoni mwake anajisemea liwalo na liwe..
Hawa ndo nawapenda kusuuza rungu na kupiga chini
 
Sasa hapo mwenzako anajiona bonge la shujaa anayepigania masilahi ya wanawake.😂😂😂

Nafikiri ni mtu ambae bado hayupo ndani ya ndoa na umri umeenda, kwahiyo ni kama kuna namna amekata tamaa na maisha ya mahusiano hasa kuhusu wanaume.

Hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza kuoa hicho kifurushi.
Masikini ona yanavyofarijiana mnatamani sana hayo mnayoyasema kuhusu mimi yawe ya ukweli, hata mimi bora niwe single kuliko kuwa na mwanaume mpumbavu au mnadhani wanaume wote huku nje wana stress kama ninyi, hebu poneni kwanza hayo maumivu mliyonayo kuwa toxic kwa wanawake haiwasaidii mnazidi kujiumiza tu
 
Masikini ona yanavyofarijiana mnatamani sana hayo mnayoyasema kuhusu mimi yawe ya ukweli, hata mimi bora niwe single kuliko kuwa na mwanaume mpumbavu au mnadhani wanaume wote huku nje wana stress kama ninyi, hebu poneni kwanza hayo maumivu mliyonayo kuwa toxic kwa wanawake haiwasaidii mnazidi kujiumiza tu
Wewe ni msimbe na hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza kuoa mtu kama wewe. Hata wanawake wenzako wanakusoma tu(na wanaweza kukuunga mkono wakiwa nyuma ya keyboard) lakini ukija kwenye uhalisia hawawezi kufanyia kazi unayaandika kwa sababu wanazipenda ndoa zao na wajua kimaadili mwanamke wa kiafrika anapaswa kucheza role ipi kwenye ndoa/mahusiano.
 
Kubishana na mtu mwenye akili za hivi ni kupoteza muda na nguvu,kwamba mwanaume hata aweke ronya la aina gani ndani bora kama ana hela basi huyo ana heshima.

Single mamaz mnajua sana kujifariji,ukiolewa na tajiri (na kwanza wangapi mnaoolewa na hao matajiri?) unajifananisha na mwanamke aliyeolewa hana mtoto kwa kuangalia hali ya mumewe.
Sasa kwani jamii inajudge vipi utofauti kati ya single mother na mwanamke asiye na mtoto kama siyo kupitia ndoa
 
Una argue kitoto toto sana,unaitafsiri vipi heshima ktk uhalisia wa maisha ya kifamilia kwa ujumla?
Jibu swali acha kuzunguka ni matendo gani anayofanyiwa mwanaume aliyeoa mwanamke bikira ambayo wewe unatafsiri kama ndio heshima, wanaume wenye pesa tunaona jinsi wanavyokuwa appreciated kwa namna mbalimbali kwenye jamii, ila sijawahi kuona wanaume waliooa mabikira wanakuwa appreciated na mtu yeyote kwanza hata huku mitaani hatuwasikii kabisa
 
Unaponiuliza mtu kama mimi swali ulilomuuliza mwenzangu hapo mi nitakujibu simply kuwa Azizi Ki nimemzidi manhood na exposure ya mahusiano..
Maana yeye kwanza kwangu ni mdogo kuanzia maisha mpaka umri..
Yeye kaoa juzi mi nilifanya hivyo eleven years ago
So hapo wewe mwenyewe utaona..

Pili Azizi Ki ni mchezaji na maarufu pia ameona awe na staa wa kike mwenye influence kubwa kwa malaya wengine!!
Tactically hii ni attractive factor ili kesho iwe rahisi kumpata malaya mwingine wa level ile ile wa Kutafuna na kupita hivi..

Wanawake wanaitazama ndoa ya Azizi Ki na Mobeto na kuitolea mfano wakati haijapiga hatua hata ya mwaka.
Wanawake wanaitolea mfano hiyo ndoa sababu wanaume huwa mnawatolea mifano wanawake aina ya hamisa kuwa hawaolewi, so inapotokea wanaolewa ndipo wanawake wanapoibuka na kuwaprove wrong kuwa maneno yenu hayana ukweli bali mna agenda zenu tu binafsi, na ndio maana hii ndoa imewachukiza wanaume wengi kwa kuona kwamba wale wanaowatolea mifano kuwa hawaolewi ndio hao wanaolewa mwisho wa siku wanahamia kuwatukana wanaume wenzao wanaooa hao wanawake
 
Wanawake wanaitolea mfano hiyo ndoa sababu wanaume huwa mnawatolea mifano wanawake aina ya hamisa kuwa hawaolewi, so inapotokea wanaolewa ndipo wanawake wanapoibuka na kuwaprove wrong kuwa maneno yenu hayana ukweli bali mna agenda zenu tu binafsi, na ndio maana hii ndoa imewachukiza wanaume wengi kwa kuona kwamba wale wanaowatolea mifano kuwa hawaolewi ndio hao wanaolewa mwisho wa siku wanahamia kuwatukana wanaume wenzao wanaooa hao wanawake
Hatuachi kuwatukana maana amefanya uzembe mkubwa sana tu..
 
Wewe ni msimbe na hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza kuoa mtu kama wewe. Hata wanawake wenzako wanakusoma tu(na wanaweza kukuunga mkono wakiwa nyuma ya keyboard) lakini ukija kwenye uhalisia hawawezi kufanyia kazi unayaandika kwa sababu wanazipenda ndoa zao na wajua kimaadili mwanamke wa kiafrika anapaswa kucheza role ipi kwenye ndoa/mahusiano.
Hahaha sasa wangekuwa wanaplay roles zao kwenye hizo ndoa si zingekuwa hazivunjiki kila siku tunasikia milio ya wanaume kwenye ndoa halafu mnakuja kutusingizia sisi kwamba ndio tunawaharibu wanawake wenzetu oh please give me a break, ukweli ni kwamba wanawake wamechoka kuwa watumwa wa propaganda za wanaume na hamkutegemea haya ndio maana mayowe kila mahali, wewe ukiniita mimi msimbe hainiumi kwa sababu najijua mimi siyo msimbe zaidi sana nakuona kama ni wewe ndio una stress na unatafuta tu namna ya kujifariji kwa umasikini wako hadi kuwa marioo na kudangia mishangazi..pathetic!!
 
Wanawake wanaitolea mfano hiyo ndoa sababu wanaume huwa mnawatolea mifano wanawake aina ya hamisa kuwa hawaolewi, so inapotokea wanaolewa ndipo wanawake wanapoibuka na kuwaprove wrong kuwa maneno yenu hayana ukweli bali mna agenda zenu tu binafsi, na ndio maana hii ndoa imewachukiza wanaume wengi kwa kuona kwamba wale wanaowatolea mifano kuwa hawaolewi ndio hao wanaolewa mwisho wa siku wanahamia kuwatukana wanaume wenzao wanaooa hao wanawake
Jadda huwa unalopoka bila kufanya utafiti wa kutosha. Embu fuatilia kauli ya mama Azizi anasemaje kuhusu hili sakata.
 
Hahaha sasa wangekuwa wanaplay roles zao kwenye hizo ndoa si zingekuwa hazivunjiki kila siku tunasikia milio ya wanaume kwenye ndoa halafu mnakuja kutusingizia sisi kwamba ndio tunawaharibu wanawake wenzetu oh please give me a break, ukweli ni kwamba wanawake wamechoka kuwa watumwa wa propaganda za wanaume na hamkutegemea haya ndio maana mayowe kila mahali, wewe ukiniita mimi msimbe hainiumi kwa sababu najijua mimi siyo msimbe zaidi sana nakuona kama ni wewe ndio una stress na unatafuta tu namna ya kujifariji kwa umasikini wako hadi kufikia hatua ya kuwa marioo na kudangia mishangazi..pathetic!!
Wewe ni msimbe unaishi na trauma na hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza ku-settle na mwanamke kama wewe. Kwanza inawezekana ukawa upinde wewe, sio mwanamke kama wengi wanavyofikiria
 
Hatuachi kuwatukana maana amefanya uzembe mkubwa sana tu..
Sawa endeleeni kuwatukana labda ndio njia inayowasaidia kupunguza hasira zenu juu ya wanawake na kuwafanya mjisikie vizuri
Jadda huwa unalopoka bila kufanya utafiti wa kutosha. Embu fuatilia kauli ya mama Azizi anasemaje kuhusu hili sakata.
Wewe ndiye ambaye hujafanya utafiti mimi hiyo ishu nimeisikia na aziz ameshajibu kuwa yeye hana wazazi wote walishafariki, na hata kama mama yake angechukizwa na uamuzi huo je ndio inamaanisha huo uamuzi ni mbaya, ni wazazi wangapi hawapendi watoto wao wafanye kazi fulani mfano uaskari au ukuli, je ina maana hizo kazi ni mbaya kisa kuna wazazi wanazichukia, mna uwezo mdogo wa kujenga hoja na kupambanua mambo ndio maana mnaropoka tu bila kufikiria kwa kina na mapana
Wewe ni msimbe unaishi na trauma na hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza ku-settle na mwanamke kama wewe
Acha kulazimisha kila mtu awe na hali kama yako we pambana tu na hali yako
 
Acha kulazimisha kila mtu awe na hali kama yako we pambana tu na hali yako
hakuna alielazimisha wewe ni msimbe na trauma unazoishi nazo ndizo zimeijenga iyo mentality.

Hakuna young, feminine and innocent woman anaweza kuwa na mentality kama yako.
 
hakuna alielazimisha wewe ni msimbe na trauma unazoishi nazo ndizo zimeijenga iyo mentality.

Hakuna young, feminine and innocent woman anaweza kuwa na mentality kama yako.
Ni kwa sababu huwajui wanawake ndio maana unasema hivyo ila mimi ninayewajua wanawake nasema rudi darasani, bado una mengi ya kujifunza kuhusu wanawake sisi wengine tunajifunza kwa waliotuzunguka hatusubiri yatukute, ndio shida mwanaume ukishakuwa unadangia mishangazi huwezi kuwa na akili timamu hata siku moja
 
Ni kwa sababu huwajui wanawake ndio maana unasema hivyo ila mimi ninayewajua wanawake nasema rudi darasani, bado una mengi ya kujifunza kuhusu wanawake sisi wengine tunajifunza kwa waliotuzunguka hatusubiri yatukute, ndio shida mwanaume ukishakuwa unadangia mishangazi huwezi kuwa na akili timamu hata siku moja
Yaani wewe msimbe ndio unataka kutufundisha kuhusu wanawake.! Watu tumeoa na tuna familia ambayo ipo kwenye mstari halafu msimbe mmoja ndo uibuke from norwhere utupe somo la kuishi na mwanamke.! Ungekua umebobea kwenye suala la mahusiano kwa umri wako ungekua na ndoa sahivi.


Women like you who claim to be feminist or right advocates you are not in your husband's house. Just continue to prove your rights from one bed to another, no respectful woman will follow your path.
 
Back
Top Bottom