Zijue mbinu za Kisasa za Kumkwepa kumlipa nauli Kondakta katika Daladala

Zijue mbinu za Kisasa za Kumkwepa kumlipa nauli Kondakta katika Daladala

Nitake radhi upesi Mkuu. Nimekuambia kuwa Ukomedi upo damuni mwangu na kama ungebatika kukutana na Wanafunzi niliosoma nao kuanzia Primary na hadi University wangekuambia vizuri. Na Kipaji hiki nimekirithi kutoka Kwa Baba, Babu na Bibi yangu. Nikipata tu platform nzuri Watanzania mnaweza mkawasahau hawa Makomedi wenu na kila siku mkawa mnatibu tu mbavu zenu kwa Kucheka.
Safi sana mkuu basi tutaweka vizuri na imekua vizuri kwa kuwa nipo kwenye hatua nzuri ya kuweka platform kufanya mapinduzi kwenye comedy na actually tutakua na weekly show kwenye TV maana director tayari yupo. Hope utasahau hata ajira tukomae na hii kitu. Unaweza cheki uzi niliotupiaga kwenye jukwaa la burudani kuhusu ku-invite watu wenye kipaji
 
Safi sana mkuu basi tutaweka vizuri na imekua vizuri kwa kuwa nipo kwenye hatua nzuri ya kuweka platform kufanya mapinduzi kwenye comedy na actually tutakua na weekly show kwenye TV maana director tayari yupo. Hope utasahau hata ajira tukomae na hii kitu. Unaweza cheki uzi niliotupiaga kwenye jukwaa la burudani kuhusu ku-invite watu wenye kipaji

Ila tutashindwana sehemu moja tu Mkuu kwani sitaki Mimi na Wewe tutambuane kwa sababu zangu zilizo nje ya uwezo wangu. Ukomedi wangu nitaufanyia humu humu tu Jamvini JF panatosha. Mpango wa kuanza kujulikana GENTAMYCINE ni nani hasa wala siutaki na hivi namulikwa na wengi ndiyo itakuwa hatari zaidi.

Naomba radhi sana kwa uamuzi wangu huu Mkuu na nina imani kubwa kuwa utakuwa umenielewa vyema tu na utaheshimu pia maamuzi yangu haya Kuntu kabisa.

Kila la kheri Mkuu.
 
  1. Epuka kupanda Daladala ambalo halijaa kwani utaumbuka kiurahisi sana bali subiria Daladala lenye nyomi / lililojaa ndiyo ulipande.
  2. Ukishaona Kondakta anaanza kuchukua nauli jifanye unaongea sana na Simu tena kwa Sauti kubwa huku ukiwa ' Seriuos ' kabisa halafu humtizami Kondakta. Mara nyingi sana Makondakta huwasau Watu ( Abiria ) wanaoongea sana na Simu katika Madaladala hadi kupelekea kusahau kuwadai nauli.
  3. Ikitokea alikupita wakati anachukua nauli akirudi Kwako na kukudai ' mkazie ' mimacho yako huku ukimuangalia ambapo Makondakta wengi hujawa na ' aibu ' kama si ' uwoga ' na kuondoka zao.
  4. Ukiona kaanza kuchukua nauli siti za mbele Wewe anza taratibu kujifanya kama vile unaonyesha unataka kushuka Kituo cha mbele na ukiona unakaribia kukutana nae katikati anzisha ' zogo ' la kuwataka abiria wenzako mliosimama wasogee kisha haraka sana ' Kiaina ' unahamia kule ambako Kondakta ameshamaliza kuchukua nauli.
  5. Pima saikolojia na Dereva na Kondakta wake ambapo ukiona wote wanapenda nyimbo za Seduce Me au Zilipendwa tiririka nazo kwa kuzisifia na kuzizungumzia sana au ukiona Dereva na Kondakta wake wanapenda sana mpira serereka na hizo hizo stori za akina Tshishimbi au Niyonzima na automatically tu utaona Kondakta au Dereva wamejenga Urafiki wa ghafla nawe na watasahau hata kukudai nauli yao.
  6. Pendelea sana kujifanya unasinzia ndani ya Daladala kwani mara nyingi sana Makondakta huwa wakiona Watu wamelala huwapita Kwanza ambapo akishamalizana na kule alikochukua nauli yake akirudi tena huku anakuwa amesahau.
  7. Kama hiyo njia mnayopita ina ' Yange Yange / Matrafiki ' wengi hakikisha kila mnapowapita basi Wewe unajifanya hata tu unawapungia mkono hao ' Matrafiki ' na kila unapomaliza kuwapungia mkono / kuwasalimia hakikisha macho yako yanamtizama Kondakta kitendo ambacho kitamfanya Yule Kondakta ahisi labda Wewe ni Askari au unaweza ' Kumlengesha ' kwa Matrafiki wengine wa mbele hivyo automatically tu utaona anakupita au hata akikupigisha stori lakini akiwa ni muoga muoga na hatothubutu kukuomba nauli.
ANGALIZO.

Hizi mbinu zitanoga endapo tu na Wewe basi mfukoni mwako una hata akiba ya Tsh 800/=. lakini kama ukizitumia halafu dili ' likabuma ' na ukashtukiwa unaweza ukaumbuka vibaya na kuishia tu Polisi na kufanya Kazi ya kufagia na kupiga deki hadi jioni.

Nawatakieni ukwepaji ulipaji nauli mwema Kesho asubuhi kwa tunaoamka na kutumia ' Daladala ' kwa ajili ya usafiri wa kutupeleka katika mihangaiko yetu na kwa wale ambao hizi mbinu Kuu Saba ( 7 ) zitwasaidieni msione aibu kuja kuniletea ' mrejesho / feedback '.

ONYO

Kuna wale ambao ni Mabingwa wa Kukopi na Kupesti kila ' Nyuzi ' nzuri ambayo GENTAMYCINE anakuja nayo humu JF na kuzifanya ni zao na kuzitumia katika ' Viblogu ' vyao kama si ' Viwebusaiti ' vyao. Tafadhalini hata Mimi huwa naumiza mno Kichwa kuja na ' taarifa ' mvuto kama hizi hivyo nawaombeni tu mkiikopi hii kitu fanyeni acknowledgement ama Kwangu Mimi GENTAMYCINE mwenyewe au huu ' Mtandao ' wangu pendwa wa JamiiForums nitawashukuruni mno.

Nawasilisha.
Kweli huna cha kufanya mpka uumize kichwa kwa kutoa post useles kma hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
,hehehehe JPM legeza kidogo......vyuma vimekaza huku mtaani.

Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
 
Ila tutashindwana sehemu moja tu Mkuu kwani sitaki Mimi na Wewe tutambuane kwa sababu zangu zilizo nje ya uwezo wangu. Ukomedi wangu nitaufanyia humu humu tu Jamvini JF panatosha. Mpango wa kuanza kujulikana GENTAMYCINE ni nani hasa wala siutaki na hivi namulikwa na wengi ndiyo itakuwa hatari zaidi.

Naomba radhi sana kwa uamuzi wangu huu Mkuu na nina imani kubwa kuwa utakuwa umenielewa vyema tu na utaheshimu pia maamuzi yangu haya Kuntu kabisa.

Kila la kheri Mkuu.
Sina tatizo na hilo mi lengo langu nipate masela kama wanne ambao ni the best kwenye performance so kwa kuwa umesema ni mwandishi mzuri hiyo inatosha kufanya biashara huku ukimaintain ur anonymity maana kwenye uandishi ndio kila kitu.
 
Sina tatizo na hilo mi lengo langu nipate masela kama wanne ambao ni the best kwenye performance so kwa kuwa umesema ni mwandishi mzuri hiyo inatosha kufanya biashara huku ukimaintain ur anonymity maana kwenye uandishi ndio kila kitu.

Kwani wakati wa kunilipa si itabidi nikupe details zangu zote ili unitumie mtonyo wangu? Je katika mchakato huo hutomjua GENTAMYCINE halisi kweli? Halafu kwa maelezo yako tu haya nimeshakuhisi kuwa Wewe ni mwana ' Eagle Wing House ' tena kwa 100%. Jaribu mbinu nyingine Mkuu kwani ulikoamkia leo Mimi nimelala juzi.
 
Kwani wakati wa kunilipa si itabidi nikupe details zangu zote ili unitumie mtonyo wangu? Je katika mchakato huo hutomjua GENTAMYCINE halisi kweli? Halafu kwa maelezo yako tu haya nimeshakuhisi kuwa Wewe ni mwana ' Eagle Wing House ' tena kwa 100%. Jaribu mbinu nyingine Mkuu kwani ulikoamkia leo Mimi nimelala juzi.
Mi nazungumza business mkuu we unaniletea habari za majanga yako ya jf kama unatumiaga ur unanimous ID vibaya it's non of my business kwani hata kama ni malipo ungeweza kufanya kupitia njia unayoona kwako ni salama. Wengine tunatumia mitandao kutafuta fursa na connection za kufanya mapinduzi sio kutafutana. Hiyo thread yangu hapo chini inazaidi ya mwezi sasa how comes ihusiane na majanga yako

Bongo Stand up comedy show
 
UKWEPAJI NAULI NILIUFANYA SANA NIKIWA SEKONDARI. INGAWA NAULI ILIKUWA SH 50 LAKIN MARA NYINGI SIKULIPA.

ULIKUWA UTOTO. ILA KWA SASA KONDA AKISAHAU KUCHUKUA NAULI NAMKUMBUSHA.

MTU MZIMA NA ALIYEBALEHE VEMA KABISAA, HAWEZ KUKWEPA NAULI, NI KUJIENDEKEZA UTAPELI, WIZI NA UMASKINI

Joseverest GENTAMYCINE
Alaa kumbe...sahihi kabisa
 
Zijaribu tu Mkuu hizo Saba ( 7 ) nina uhakika moja wapo ukiipatia vizuri utaokoa sana Tsh 400/= au Tsh 800/= daily.
Mkuu nimecheka sana wewe Kiboko
Bahati mbaya situmii daladala kwa sasa lakini wacha nipande nijaribu mbinu zako kama zitafanya kazi
 
Mi nazungumza business mkuu we unaniletea habari za majanga yako ya jf kama unatumiaga ur unanimous ID vibaya it's non of my business kwani hata kama ni malipo ungeweza kufanya kupitia njia unayoona kwako ni salama. Wengine tunatumia mitandao kutafuta fursa na connection za kufanya mapinduzi sio kutafutana. Hiyo thread yangu hapo chini inazaidi ya mwezi sasa how comes ihusiane na majanga yako

Bongo Stand up comedy show

Mkuu kwani ugomvi? Unalazimisha nini? Umetumwa kudili na GENTAMYCINE? Sikia huwa ni Kiwango changu cha uvumilivu wa Upumbavu unaoelekezwa Kwangu hivyo naomba uachane na Mimi kwani najijua mwenyewe na huenda next time nisikujibu Kidiplomasia hivi. Nimeshakuambia kwa sababu zangu zilizo nje ya uwezo wangu kwa vyovyote vile sitoweza kufanya Kazi nawe sasa unalazimisha nini? Endele tu Kushoboka nami nikupe dozi yako mujarab tuheshimiane vizuri.

Nimemaliza.
 
Mkuu kwani ugomvi? Unalazimisha nini? Umetumwa kudili na GENTAMYCINE? Sikia huwa ni Kiwango changu cha uvumilivu wa Upumbavu unaoelekezwa Kwangu hivyo naomba uachane na Mimi kwani najijua mwenyewe na huenda next time nisikujibu Kidiplomasia hivi. Nimeshakuambia kwa sababu zangu zilizo nje ya uwezo wangu kwa vyovyote vile sitoweza kufanya Kazi nawe sasa unalazimisha nini? Endele tu Kushoboka nami nikupe dozi yako mujarab tuheshimiane vizuri.

Nimemaliza.
You think I care ukinitukana kama unavyofanya kwa wengine labda? I was surprised kuniambia mambo ya ajabu eti namimi ni walewale do u think kwamba kila mtu humu jf anamambo ya hovyohovyo? I was only impressed with what u said you have and I don't lose a thing ukibaki na hicho unachosema ni kipaji coz ni chako na I was just trying to sell u an idea sasa unanitisha kunitukana eti hutotumia tena diplomasia hivi jf mnatumiaga kwa manufaa gani? Nimekuwekea na link ya 3 months ago to support what I meant halafu unasema unatafutwa hicho ndio kitu kimenishangaza ulipaswa tu kukataa na sio kuniambia nakutafuta.
 
Back
Top Bottom