- Thread starter
- #81
Makabrasha na vitabu vya sheria kwa ajili ya marejeo madesaHivi ni Kwanini wanabeba begi la nguo? Zinakuwa za nn? Au sio nguo ni makablasha tu ya kesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makabrasha na vitabu vya sheria kwa ajili ya marejeo madesaHivi ni Kwanini wanabeba begi la nguo? Zinakuwa za nn? Au sio nguo ni makablasha tu ya kesi
Misconduct hiyo...Vipi tetesi za tabia ya kula pande mbili na wakili wa adui zinaukweli wowowte?
Mkuu unamuuliza swali lay man..-ukitaka kuisimamia Plaint unafanyaje kwani?
- na ukiwasimamia kwenye kesi unafanyaje mkuu?
Huenda ni wakili msomi msikilizeMkuu unamuuliza swali lay man..
Hapana Kobello ni Layman!!Huenda ni wakili msomi msikilize
Bush loya auHapana Kobello ni Layman!!
Google babu maana ya Lay manBush loya au
Hapanq, sijajielekeza vibaya. Mahakamani mapingamizi mengi ni ya ajabu ajabu, mtu anapinga kuwa plaint haijasainiwa ilhali mlalamikaji yupo mahakamani... Si umpe tu asaini muendelee na kesi??Mheshimiwa, naona kuna sehemu umejielekeza vibaya. Defects nyingi ambazo mawakili wasomi huwa wanaweka mapingamizi ni zile ambazo haziwezi kurekebishika hata kwa kutumia Oxygen principle.
Mfano unakuta mtu kafungua kesi kwenye mahakama ambayo haina jurisdiction ku determine the matter, Au unakuta mtu kafungua kesi nje ya muda bila kufuata procedures zilizowekwa na sheria.
Kitu kingine cha kukumbuka, hiyo Oxygen principle sio Panacea ndiyo maana Kuna circumstances nyingi tu wazee wa mahakama ya rufani wamegoma ku invoke oxygen principle, mfano angalia kesi ya SGS Societe Generale de surveillance SA and another v. VIP Engineering & Marketing Ltd and another,( CAT, Civ appeal no 124,2017).
Kuhusu mbwembwe sidhani kama wanazo sana, Vitu vingi wanavyofanya ni professional Yao ndo inawahitaji wafanye hivyo japo sisi watu wa kada nyingine tunaweza kutafsiri kama mikwara.
Mfano mdogo tu, nakumbuka miaka kadhaa nyuma nikiwa college watu waliokuwa wanasoma sheria ndiyo waliokuwa wanaongoza kuvaa vizuri na kuwa maridadi, Sisi tuliokuwa tunasoma taaluma zingine tulikuwa tunawaona kama vile wanajidai, lakini baadae ndo nikajua kujua kumbe Ile ilikuwa ni mahitaji ya professional Yao.
Ni hayo tu.
Inatofautigan na Local manGoogle babu maana ya Lay man
-acha wivu, si na wewe ukasome Law School ili uitwe Wakili Msomi kama Kibatala.Kiukweli mimi nikikutana na mtu akijitambulisha yeye ni wakili, basi naamini nimekutana na mshamba mwenye IQ sifuri anaejifanya kujua kilakitu, 90% waliosoma sheria wana akili ndogo sana... Na hao wanao onekana wapo vzuri kisheria ukiwaleta ktk maisha ya kawaida ni Useless Hopeless... Karibuni kwa makasiriko mawakili washamba 😅
[emoji3][emoji3] dah kumbe nao kama wasanii tuHata aambulie laki saba ktk kesi flani atakwambia alipiga milioni 7 kwenye ile kesi.
[emoji3][emoji3]Sikia ushauri wa huyu mwambaView attachment 2337367
Mbona unajichanganya? Umesema wakili ni mwanasheria aliyesajiliwa na ana mhuri. Sasa mwanasheria asiye sajiliwa na hana mhuri, anaitwa aje wakili?Kwanza nikuweke sawa.Si kila mwanasheria ni wakili.Wakili ni zaidi ya mwanasheria manake anamuhuri,amesajiliwa.Hawa wanasheria hawajasajilia wala hawana mihuri.Na hi ndiyo mana huitwa wakili msomi.
Hili liunganiko la kuhusianisha mdau na mtu? Maneno yapo mengi mfano! Mwana+MkeMbona unajichanganya? Umesema wakili ni mwanasheria aliyesajiliwa na ana mhuri. Sasa mwanasheria asiye sajiliwa na hana mhuri, anaitwa aje wakili?
Wale ni Makarani wao yaani legal officersWanaowabebea mikoba na mabegi wenzao mahakaman huwa ni sehemu majukumu?
Hii kitu ipo kwa ma pp, wanazingua sana.Vipi tetesi za tabia ya kula pande mbili na wakili wa adui zinaukweli wowowte?
NomaHii kitu ipo kwa ma pp, wanazingua sana.
HahahWa kwangu siku ya kwanza picha limeanza kalala na tungi na kapoteza simu😂