Zijue mbwembwe za mawakili

Zijue mbwembwe za mawakili

Mheshimiwa, naona kuna sehemu umejielekeza vibaya. Defects nyingi ambazo mawakili wasomi huwa wanaweka mapingamizi ni zile ambazo haziwezi kurekebishika hata kwa kutumia Oxygen principle.

Mfano unakuta mtu kafungua kesi kwenye mahakama ambayo haina jurisdiction ku determine the matter, Au unakuta mtu kafungua kesi nje ya muda bila kufuata procedures zilizowekwa na sheria.

Kitu kingine cha kukumbuka, hiyo Oxygen principle sio Panacea ndiyo maana Kuna circumstances nyingi tu wazee wa mahakama ya rufani wamegoma ku invoke oxygen principle, mfano angalia kesi ya SGS Societe Generale de surveillance SA and another v. VIP Engineering & Marketing Ltd and another,( CAT, Civ appeal no 124,2017).

Kuhusu mbwembwe sidhani kama wanazo sana, Vitu vingi wanavyofanya ni professional Yao ndo inawahitaji wafanye hivyo japo sisi watu wa kada nyingine tunaweza kutafsiri kama mikwara.

Mfano mdogo tu, nakumbuka miaka kadhaa nyuma nikiwa college watu waliokuwa wanasoma sheria ndiyo waliokuwa wanaongoza kuvaa vizuri na kuwa maridadi, Sisi tuliokuwa tunasoma taaluma zingine tulikuwa tunawaona kama vile wanajidai, lakini baadae ndo nikajua kujua kumbe Ile ilikuwa ni mahitaji ya professional Yao.

Ni hayo tu.
Hapanq, sijajielekeza vibaya. Mahakamani mapingamizi mengi ni ya ajabu ajabu, mtu anapinga kuwa plaint haijasainiwa ilhali mlalamikaji yupo mahakamani... Si umpe tu asaini muendelee na kesi??

Kwenye comment yangu nilisema kuwa baadae mapingamizi yataisha, labda litabaki pingamizi la uwezo wa mahakama (jurisdiction) kwa maana ya kesi kufunguliwa katika mahakama isiyo sahihi au kuwa nje ya muda (hiyo time barred) na other vital.

Hizo za kufungua chini ya vifungu visivyo sahihi tayari mahakama ya Rufani imeshasema kuwa sio FATAL, kama kilichoandikwa ndani kinajitosheleza vifungu sio ishu, vinarekebishwa tu kesi iendelee. Ikumbukwe mahakamani watu hawaendi kutaka kuonesha umahiri wa sheria bali wanataka kupata haki zao, sasa PO lako kama halimalizi kesi, si unaleta usumbufu tu aisee?? Maana huyo mtu atarudi tu mahakamani..au ndio kujiongezea namna ya kupata fees??
 
Kiukweli mimi nikikutana na mtu akijitambulisha yeye ni wakili, basi naamini nimekutana na mshamba mwenye IQ sifuri anaejifanya kujua kilakitu, 90% waliosoma sheria wana akili ndogo sana... Na hao wanao onekana wapo vzuri kisheria ukiwaleta ktk maisha ya kawaida ni Useless Hopeless... Karibuni kwa makasiriko mawakili washamba 😅
 
Kiukweli mimi nikikutana na mtu akijitambulisha yeye ni wakili, basi naamini nimekutana na mshamba mwenye IQ sifuri anaejifanya kujua kilakitu, 90% waliosoma sheria wana akili ndogo sana... Na hao wanao onekana wapo vzuri kisheria ukiwaleta ktk maisha ya kawaida ni Useless Hopeless... Karibuni kwa makasiriko mawakili washamba 😅
-acha wivu, si na wewe ukasome Law School ili uitwe Wakili Msomi kama Kibatala.
 
Kwanza nikuweke sawa.Si kila mwanasheria ni wakili.Wakili ni zaidi ya mwanasheria manake anamuhuri,amesajiliwa.Hawa wanasheria hawajasajilia wala hawana mihuri.Na hi ndiyo mana huitwa wakili msomi.
Mbona unajichanganya? Umesema wakili ni mwanasheria aliyesajiliwa na ana mhuri. Sasa mwanasheria asiye sajiliwa na hana mhuri, anaitwa aje wakili?
 
Mbona unajichanganya? Umesema wakili ni mwanasheria aliyesajiliwa na ana mhuri. Sasa mwanasheria asiye sajiliwa na hana mhuri, anaitwa aje wakili?
Hili liunganiko la kuhusianisha mdau na mtu? Maneno yapo mengi mfano! Mwana+Mke
Mwana+Ume
Mwana+kwaya
Mwana+masumwbwi
Mwana+sheria
Mwana+jeshi
Mwana+mboka
Mwana+nyamaza~ mwananyala

Naimani umenielewa MWANAIZAYA
 
Back
Top Bottom