Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kuna hizi zinakuwaga kwenye msafara wa rais zenye herufi ya
E1 na E2 - escote 1 na 2
 
kwa nini plate number za magari ya watu binafsi hayana herufi I. Mfano T 289 DGI ?.
 
RPC hana namba badala yake anatumia PT, pia mkuu wa wilaya hana anatumia ST, hivyo vyeo inaonekana vipo kisiasa,havitambuliki kikatiba, ndoo maana hata makonda anawafokea ma RPC
Hakuna cheo kinaitwa RPC hayo ni madaraka.
 
UFAFANUZI:
1. gari za ikulu zikiandikwa E zinamaanisha Escort. ni xile za kusindikiza misafara ya viongozi
2. tutambue kinachozungumzwa hapa sio vifupi vyovyote vya viongozi bali vifupi kwenye namba za gari. kumbe aliyesema DC(mkuu wa wilaya) nadhani hii haipo kwenye namba za gari.
3. RC-mkuu wa mkoa. hii kweli ipo. ila RPC kwenye magari cjaiona kwangu itakuwa ni elimu mpya. asante kwa uliyetujuza.
4. kweli gari za TISS kwa maadili na mazingira yao hazipaswi kuwa na namba maalumu iki zisiharibu kazi.
5.Polisi pia ktk idara ya upelelezi wanaweza wasitumie PT ili kufanikisha kazi za kiintelijensia
6. gari za kibalozi ukiacha ile CD, kuna namba maalum wamepewa kila ubalozi kiac kwamba gari yoyote ya ubalozi ikipita wapo wanaojua ni ubalozi gani. naomba anayejua atujuze.
116 US EMBASSY
117 UK EMBASSY

Sio zote za usalama. Polisi idara ya upelelezi nao wanazo. lakini tambua pia gari za wenye special number wanazo namba nyingine za kiraia kwa gari hilohilo.
 
ukiona "PLATNUMZ" ujue bishoo fulani hivi mwenye uswahili-swahili mwingi licha ya kuwa na jina, mke mzuri, mijengo ya maana na mkwanja wa kumtosheleza yeye na jamaa zake
Sababu kakulia uswahilini!ulitaka awe mzungu mzungu????
 
Hizi plate number mpaka ufike Dar ndo utaziona lakini huku kajificheni Tarime kuna magari makuu kuu tu yaliyochaka yanakuja kutupwa huku
 
Back
Top Bottom